Mamia ya wanahabari na wakazi wa jijini D'Salaam wakiongozwa na viongozi wa vyama vya siasa leo wameuanga mwili wa aliyekuwa mhariri mkuu wa gazeti la Jamboleo marehemu Willy Edward aliyefariki usiku wa kuamkia jumapili akiwa kikazi mkoani Morogoro
PICHA KWA HISANI YA http://francisgodwin.blogspot.com/