Pages

Saturday, July 28, 2012

WABUNGE WA BUNGE LA TANZANIA WAKIFAIDI FUTARI

Wabunge wakifuturu kwenye ukumbi wa basement, Bungeni Mjini Dodoma Julai 28, 2012. Futari hiyo iliandaliwa na wabunge waislamu na waliofuturu ni wabunge wa dini zote.

Popular Posts