Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(kulia) akisaini kitabu cha wageni jana mjini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma kuona shughuli mbalimbali za Wizara hiyo katika maonyesho ya nanenae.Kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Fedha Ramadhan Omary.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(wa pili kulia) akisamiliana na watumishi na Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM)Mchambuzi wa Mifumo ya Komputya Ibrahim Sultan (katikati) na Afisa Taalum Mwandamizi Mkiramwene Msafiri(kushoto) jana mjini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma.