Pages

Thursday, July 5, 2012

Baraza La Wawakilishi Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haji Omar Kheri akiwasilisha Hotuba ya Makadirio na Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2012/2013 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Fatma Abdulhabib Fereji akibadilishana maweazo na Dk Bakari S, Asseid nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Wawakilishi wamajimbo mbaliombali Zanzibar wakipitia Bajeti na masuala mbalimbali kabla ya kuiongia ndani ya Baraza la Wawakilishi huko mbweni nje ya mji wa Zanzibar.Picha na Yussuf Simai-Maelezo,Zanzibar

Popular Posts