Pages

Friday, January 4, 2013

MAZISHI YA MSANII SAJUKI


Picture
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa msanii wa filamu Marehemu Juma Kilowoko ' Sajuki' nyumbani kwao wafiwa Tabata Bima jijjini Dar es Salaam leo
Picture
Mke wa Rais, Mama, Salma Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa wafiwa Tabata Bima jijjini Dar es Salaam leo Januari 4, 2013.
Picture
Picture
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba akimpokea Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Mhe. Zitto Kabwe alipokuwa akiwasili msibani (nyumbani).
Picture
Picture
Picture
Picture
Picture
Rais Kikwete (aliyevaa koti la kijivu, miwani na kushikamanisha vidole) akiwa na baba mzazi wa marehemu (aliyevaa kanzu) na Simon Mwakifamba (aliyevaa shati la rangi ya machungwa) na Meya wa Ilala, Jerry Slaa (aliyevaa suti nyeusi, na miwani) wakati wa shughuli ya maziko ya SaJuKi yaliyofanyika leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Picture
Rais Kikwete akiwa ameshika sepetu kwa ajili ya kuliwekea udongo kaburi la Marehemu Sadick Juma Kilowoko (SAJUKI) katika shughuli ya maziko yaliyofanyika mchana wa leo kwenye Makaburi ya Kisutu, Jijini Dar es Salaam.
Picture
Rais Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya msanii Sajuki leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Picture
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Kikwete akiwa ni mmoja ya waombolezaji waliojitokeza katika maziko ya msanii huyo.
Picture
Rais Kikwete akijadiliana jambo na Rais wa Shirikisho la Wasanii wa Filamu nchini Simon Mwakifwamba mara baada ya mazishi kwenye makaburu ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo, kushoto ni baba mzazi wa marehemu Mze Juma Kilowoko.
Picture
Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh Zitto Kabwe akifafanua jambo mbele ya baadhi ya Wanahabari kabla ya mazishi
Picture


Source: http://www.wavuti.com/#ixzz2H2hjTvlI

Popular Posts