Pages

Showing posts with label Hotuba - Speech. Show all posts
Showing posts with label Hotuba - Speech. Show all posts

Tuesday, April 9, 2013

President Kenyatta's inauguration speech


SPEECH BY H.E. HON. UHURU KENYATTA, C.G.H., PRESIDENT AND COMMANDER-IN-CHIEF OF THE DEFENCE FORCES OF THE REPUBLIC OF KENYA DURING HIS INAUGURATION AND SWEARING-IN CEREMONY ON TUESDAY, 9TH APRIL 2013 AT THE MOI INTERNATIONAL SPORTS COMPLEX, NAIROBI.
o Your Excellency Hon.Mwai Kibaki, C.G.H., M.P.;
o Your Excellency Daniel arap Moi;
o Your Excellencies, Visiting Heads of State & Government;
o Chief Justice Willy Mutunga;
o All our Invited Guests;
o Fellow Kenyans,
Let me begin by thanking all Heads of State present and the representatives of Heads of State for choosing to be here as a symbol of your continued support and goodwill towards Kenyans.
I particularly note, with gratitude, the large presence of our brothers and sisters from across the continent. This is a clear indication of your commitment to the Pan-African agenda. You have bestowed a great honor on me and our country by being here. On behalf of the Kenyan people I welcome all of you to Kenya. Karibuni Sana!
Let me also acknowledge with gratitude and respect the distinguished service of my predecessors. President Mwai Kibaki, a true statesman and a great leader who over the past 10 years has laid a firm foundation for the future prosperity of our country. Asante sana Mzee. Shukrani nyingi sana.
I pay tribute also to former President Moi who is with us today and thank him for his years of leadership and dedication to our nation. Asante Mzee!
With humility and respect, I acknowledge and pay tribute to the memory of my father, the late founding father of our nation, Mzee Jomo Kenyatta. May he and his fellow architects of liberation in Kenya and Africa as a whole rest in peace with the knowledge that this generation is committed to fulfilling their dreams of for our nation and our continent.
I would like to thank all my worthy opponents in the recently completed presidential election. Every one of you helped define and make stronger our democracy. Because of you, Kenyans had real choices. Because of you, Kenyans felt free to exercise their sovereign will. Thank you all.
In an open and free democracy, there is a vital role for a vibrant opposition that helps to hold the Government to account. Kenya is such a democracy, and as President I will respect that role just as I will champion the right of every Kenyan to speak their mind free of fear of reprisal or condemnation.
Fellow Kenyans,
Our nation has now successfully navigated the most complex general election in our history. Our journey began three years ago, with the promulgation of a new constitution, and ended eleven days ago, with a landmark Supreme Court decision. Ours has been an unusual story. An unconventional path. We have been praised and criticized in turn – depending on who was telling our story. Yet while some watched the unfolding national events with skepticism, resigned to what they believed was the inevitability of chaos, others, the vast majority, looked upon our nation with a tempered hope; cheering us on not only because they believed in us but because they knew that if Kenya succeeded they too would succeed. For all that has been said of our nation, the records of history will attest to a number of undeniable facts.
They will outline the long queues we made, the long hours we waited to vote and the historic voter turnout of these elections. They will detail the decisions that the Kenyan media made – the professionalism and responsibility with which they acted. They will remind us of the fact that we embarked on a feat that few other countries have attempted, holding six elections simultaneously. They will call our attention to the fact that the youth were meaningfully engaged in the entire electoral period and that the political consciousness of Kenyans was at an all time high. They will list and honor the individuals, institutions and service organizations that played a strong role in this defining chapter of our nation’s history. They will contrast our accomplishments, with the fact that Kenya ventured into multi-party politics only 20 years ago further strengthening and entrenching our democracy. When the records remind us of these truths, we will recognize that at the end of the day, it is the indomitable spirit of the Kenyan people; their commitment to peace; their desire for progress and their respect for the rule of law – that was the true headline of this election story.
Where systems failed, Kenyans did not. Where decisions were delayed and ambiguity prevailed, Kenyans were patient – seeking and waiting for clarity. Where contentious issues arose to stir up dissent, Kenyans exercised restraint; peacefully sought redress and submitted themselves again to the constitution and the rule of law – united in the belief that God’s judgment would guide that of men.
Today, I am humbled and honouredhonoured to accept the mantle of leadership that the people of Kenya have bestowed on me. I will lead all Kenyans – those who voted for me – and those who voted for our competitors – towards a national prosperity that is firmly rooted in a rich and abiding peace in which unity can ultimately be realized. Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities. We will not settle for a perfunctory peace that is disrupted every five years by an election cycle. Rather, we are calling and working towards a permanent peace, through which democracy is glorified rather than undermined. A peace that fosters unity.
Indeed, national unity will only be possible if we deal decisively with some of the issues that continue to hinder our progress. It will come through job creation. It will be founded on economic growth. It will be strengthened by a globally competitive education system: by the building of more schools across the nation and by ensuring that we have well thought out curricula that prepares our children for the challenges and opportunities of the 21st century. It will be upheld when all citizens are able to access affordable healthcare and protect themselves, and their children, from preventable diseases that still wage war on our populace.
It will be strengthened through the promotion of public-private partnerships and through the creation of a friendly and enabling environment for business. It will be reflected in our men and women working side by side as equals to move our country forward. It will be realized when we become a food-secure nation by investing in and modernizing the agricultural sector by equipping it with the relevant information and technology that it needs to grow. It will be confirmed when the rights of all citizens are protected through legislation that upholds the spirit of our constitution. When women and young people are both seen and heard at the decision-making table, at national as well as devolved levels of government. When all communities in Kenya are confident that they have a Government that listens to and addresses their needs.
Achieving peace and strengthening unity will be the goal of my Government.
This work begins now. We welcome all Kenyans to hold us to account.
Within the first one hundred days – we will ensure that maternity fees are abolished and that all citizens of Kenya are able to access government dispensaries and health centers free of charge. Within the first one hundred days, we will develop a framework to direct the 6 billion Kenya Shillings previously allocated for the election run-off towards establishing a new Youth and Women Fund that will be open to the youth and women from every part of this country. Within the first one hundred days, we will put measures in place to ensure that all students, joining class one next year, within the public school system receive a laptop. We made a promise to our children and we will keep it because we believe that early exposure to technology will inspire future innovation and be a catalyst for growth and prosperity.
Fellow Kenyans,
My government will immediately begin the process of supporting devolution and enabling county leadership to carry out their constitutional mandate and fulfill the pledges they made to the Kenyan people. Let us all be clear – supporting devolution is not a choice, as some claim it to be – it is a duty. A constitutional duty. One that I have sworn to uphold. Our constitution does not suggest devolution, it demands it. I urge all Kenyans to be persistent, pragmatic, patient and non-partisan, as we pursue the promise of devolved governance.
Fellow Kenyans,
Dealing with unemployment will be a priority for my government. We are committed to creating jobs and opportunities for our people – especially our young people. We will do this, by creating an enabling environment for the private sector. We will harness the gifts and talents of our youth, in order to enable sports and entertainment providers earn a profitable livelihood and make Kenya a global leader in these areas. We will make the procurement process faster, more accessible, and transparent. We will simplify the process of starting and running a business ,business, in order to make it friendly and cost-effective to do business in Kenya. We will expand electricity generation, extend the transmission network and ensure that electricity supply is more consistent and reliable. We will build on the accomplishments of the last administration in infrastructure, by increasing accessibility through roads and rail networks, as well as increasing digital connectivity. To the private sector, my promise to you is that we will create an enabling environment, so that you can play your part in creating employment and fostering economic growth.
Fellow Kenyans,
For too long our nation has exported jobs that should rightly belong to our citizens. We have focused on exporting primary products, instead of promoting value addition and manufacturing finished goods thereby creating jobs and improving our standard of living. Today, I pledge, that my administration will work towards diversifying our economic base. We will support the manufacturing industry and support all enterprises, both local and international, that strive to create finished goods using local labour and materials. I also pledge, that this Government, as the largest buyer of goods and services will take the lead in supporting local industry, by buying Kenyan first.
I have consulted with Parliament and on the 16th of April, I will address both Houses and announce a detailed government program and legislative agenda.
Fellow Kenyans,
One of the biggest challenges to national unity is the feeling of exclusion in the decision making process, hence our desire and need for devolution. That notwithstanding, my commitment to Kenya is that our national Government shall and will reflect the true face of Kenya, with the clear understanding that as we bring decision making and services closer to the people, the integrity and solidarity that binds us as citizens of one nation, must not only remain, but must be strengthened.
I am equally committed to ensuring that interests of women and the interests of young people are represented in my government. A department in my office will be dedicated to ensuring that the interests of these groups not only inform every decision I make as President, but also those of every department and government ministry. Our doors will always be open. We will never turn a deaf ear to the needs of any person or group.
We will leave no community behind.
Fellow Kenyans
To achieve these goals and to achieve Vision 2030, we must be responsible stewards of our natural resources. In light of this – my commitment and the commitment of the Government will be to support the National Land Commission as they seek to provide the land answer. My government will strive to work with all actors to ensure that the issue of land will never again be a contentious or a divisive subject but rather that land will be seen as what it truly is, a factor of production.
I also promise that we will exploit our natural resources in a way that benefits the current generation while safeguarding the interests of generations to come. I want to assure all Kenyans that we shall use all the money that comes from natural resources for development programs.
Fellow Kenyans
We will ensure that the harmony we are striving for extends to the environment. It is our heritage. It is our duty as guardians and custodians of that heritage to protect it for future generations. Indeed, my government will strike a decisive blow against all those that threaten it. My fellow Kenyans, poaching and the destruction of our environment has no future in this country. The responsibility to protect our environment belongs not just to the Government, but to each and every one of us. We will do all this, and more. Where there is uncertainty, we will revive confidence in the government’s ability to protect its citizens. Where there is disillusionment – we will restore hope. Where there is opportunity denied – we will open new frontiers, and through our actions, we will renew our faith in government as an instrument of good.
Let me reiterate that even as we work together to promote inclusion, open new frontiers and create new opportunities, we will not tolerate those who continue to threaten the peace and security of our citizens. Criminals, cattle rustlers, drug barons and agents of terror, who disrupt the peace of our society, will be met with the full force of the law and the strength of Kenya’s Security Forces. On this matter, we are resolute.
To our men and women in uniform, I say, this nation is indebted to you.
You continue to lay down your lives in service, protecting Kenyans from threats both external and internal. My government will continue to work with you and do all that is in its power to support you as you continue in your noble duty.
To our sister countries in the region – we understand that our future is joined to yours. Our peace is linked to the security and stability of the region. We deployed our armed forces to Somalia because terrorism and piracy affects all of us. Indeed in the last two decades, Kenya has invested immense diplomatic energy and resources in the quest for a stable Somalia. Our commitment to fight terrorism and eradicate piracy will remain a central pillar of my government’s policy on peace and security.
As President, I will work with the international community to strengthen its support for IGAD and the AU peace process in Somalia because a stable and prosperous Somalia is in the interest of all nations.
My fellow Kenyans
The future of Kenya depends not only on our National Unity but also on deepening our bonds with our brothers and sisters in East Africa and Africa as a whole. It is with this unity that we will prosper and truly deliver on the promise of independence and liberation from our colonial past. My administration is therefore committed to regional trade and cooperation and will continue to strengthen ties through the free movement of people, goods and investment, including the removal of tariff and non-tariff barriers to trade within the EAC. My goal is to see the continued growth of our community towards ultimate integration.
As Kenya celebrates its Jubilee year of freedom and independence, Africa too marks slightly over 50 years since the fall of colonialism. The breakaway from colonialism has not been easy. Indeed it has been fraught with great challenges and setbacks. Without fail however, the trajectory of our recent history, in Kenya as in Africa, has been one of great hope, renewed progress and palpable determination. Africa, Ladies and Gentlemen, is on the rise. Kenya sees herself as an integral part of this exciting awakening. The great renaissance spoken of a mere 20 years ago is upon us. Across the continent evidence of renewal and growth is everywhere, built on the bedrock of rising self-confidence, a growing educated, youthful population and God given abundance of natural wealth and resources.
To the Nations of Africa and The African Union – we assure you that in Kenya, you will continue to have a partner and an ally. If we stand together in solidarity I am confident that we will find the strength to thrive and innovate solutions that work for us. Of course, we join you in continuing to insist on relating with all nations as equals – not juniors.
As partners, not subordinates. In our history as nations, we have seen some of the most ardent promoters of ideals of national sovereignty and democracy sometimes fail to live by the principles they espouse, but let us remember that their failure does not justify ours.
To the nations of the world – we acknowledge that in this age of globalization, all of us are interdependent. Our economies are interconnected as indeed are our people. I pledge to continue cultivating the relationships we have had with our traditional trade partners and I say to all developing and developed nations who desire a deeper and more mutually beneficial relationship with Kenya: we are ready for partnerships, we are open for business and we invite you to invest in our country. I also want to remind the International Community that for the last fifty years, Kenya has been one of the most engaged members and one of the most prolific co-authors of international treaties and instruments.
I assure you again that under my leadership, Kenya will strive to uphold our international obligations, so long as these are founded on the well-established principles of mutual respect and reciprocity.
Central to our continued contribution to the international community, will be the understanding that the world is made up of many countries, cultures, political experiences and world-views. We must remember that no one country or group of countries should have control or monopoly on international institutions or the interpretation of international treaties. While each state has a right to its own view, it must respect the fact that it holds just one view amongst many in the community of nations.
Fellow Kenyans,
Today, work begins. The time has come, not to ask what community we come from but rather what dreams we share. The time has come not to ask what political party we belong to but rather what partnerships we can build.
The time has come to ask, not who we voted for, but what future we are devoted to. Fellow Kenyans we must move forward together. Let us remember that although we are may not be bound together by ethnicity, or cultural practices or religious conviction – our kinship rests solidly upon the fact that we have all been adopted by Kenya’s borders; we are all children of this nation, we are all bound to one constitution which calls us to rise above our individual ideologies and march to our national anthem.
That anthem reminds us of the fundamental principles upon which our prosperity must be built. It calls us to reflect on the power of peace; to recall the supreme value of freedom; to believe, once more, in the beauty of service and brotherhood; to aspire each day, to the dignity that results from hard work, and to contend for the hope that justice brings.
Brothers and sisters; Fellow Kenyans – let us move forward, together, in the spirit of our anthem and in the spirit of our constitution being confident that if we turn neither to the left nor to the right of our national values, we, as a people, will see the promised land of prosperity that our forbearers set out for.
God bless you, God bless the Republic of Kenya and God bless Africa.

Wednesday, November 14, 2012

Shaping Solutions For A World In Transition


(Being Speech By UN Secretary-General At The Yale University George Herbert Walker Jr. Lecture On November 13th, 2012) 


I am honoured to deliver the George Herbert Walker lecture. I have been privileged to work with members of his family through the years, including both Presidents Bush, 41 and 43.

It is also good to be here on campus again.  I visited in January 2010, almost three years ago. It was one day after Haiti was struck by a devastating earthquake. President Levin and the Yale community generously contributed to help the Haitian people.

He has also actively participated in the Global Colloquium of University Presidents, which advances global thinking on a range of important issues, from climate change to gender empowerment and the Millennium Development Goals.

Yale is an extraordinary university that has made its mark in the United States and around the world. Yale put its stamp on the United Nations -- literally.

The United Nations logo – a symbol of hope for people around the world – was designed by a Yale graduate named Donal McLaughlin.

I proudly wear his design every day.
 

The logo signifies peace and better times ahead. It sends that message in many ways – on the blue helmet of a peacekeeper … on a flag showing refugees where they can find shelter … on the shirt of a relief worker who is bringing desperately needed food to hungry people.

I saw that symbol myself as a young child in war-torn Korea – and it told me and my country that the world would be there for us. 

Mr. McLaughlin showed great diplomatic skill and wisdom in bringing the logo into being.

Governments wanted the logo to feature the earth, but differed on which side of the planet to show. Mr. McLaughlin’s design depicted all continents equally.

Some people suggested that there should be links binding the countries together.  Others feared this would look like the world was in chains. Mr. McLaughlin’s solution was to frame the globe with olive branches – the timeless symbol of peace.

And so the seal was born – a Yalie’s lasting legacy to the United Nations.

The world has changed dramatically since then.  But the need for hope remains.

We are now living in a time of dramatic transition.

The political landscape is shifting, as people across the world rightly demand freedom, accountability and equal opportunity.

The economic landscape is also evolving, as new powers emerge and global interdependence deepens.
The changes are environmental, too, as we strive to pull back from overstepping the planet’s natural limits.
This is a time of turmoil, vulnerability and change.  We are living in an era of insecurity, inequality, injustice and intolerance.

We face a burning question: How do we shape solutions for a more secure and prosperous future? In my conversations with world leaders and encounters with people around the world, I return again and again to three common themes.

First, leaders need to listen -- really listen -- to their people.

Second, all of us need to connect the dots among the challenges we face so that advances in one area generate gains in others.

Third, we need to find linkages not just among policies, but between people -- and create new constellations of partnerships and alliances to get things done.  That is the most effective way to solve problems in our networked world.

Let me focus first on the upheavals across the Arab world.

For too long, people were denied opportunities, freedoms and dignity -- their very voice.

And for too long, too many trading and security partners of deeply flawed regimes were content with the repressive status quo.

Many leaders who failed to move with the democratic tenor of the times – indeed who actively and violently suppressed their peoples’ aspirations -- are now gone from the scene – or may not be at the helms of their countries for much longer .

But democracy is not assured.  As several countries pursue transitions, uncertainty shadows hope.  In others, leaders seem to think winds of change will not blow their way at all.

I am gravely concerned about Syria.

Listen to your people, I told President Assad many times.  But in the face of peaceful protests, the regime resorted to force – it seemed to know no other way.

Each day in Syria brings new reports of appalling violations of human rights and tragic suffering. We tried to have a ceasefire on the Muslim holiday of Eid Al-Adha. Just a break from the immense trauma – a pause for people who had buried so many loved ones.

I was deeply disappointed that both sides ignored and violated the ceasefire.

The United Nations is rushing medicine and food to Syrians inside of the country and to the hundreds of  thousands who have fled to Syria’s neighbours. Two and a half million people desperately need help. The coming winter and the escalating conflict could soon drive that number up to four million.

Even as we staunch the wounds we have to try to stop the bloodshed.

The Joint Special Representative for the United Nations and the League of Arab States, Lakhdar Brahimi, continues his vital work. 

I have repeatedly warned the Government and the opposition that there is no military solution. Syria needs a clean break from the past. But the transition they need can be achieved through negotiation and dialogue.

The risks to the wider region are clear.  Already, we are seeing spillover effects, inflamed tensions, and outbreaks of violence, in Syria’s neighbours.

Syria is a stark reminder of how much is at stake – and how much can be lost – if the international community does not unite for peace, and if leaders do not heed the demands of their people for empowerment, openness and dignity.
 

Ladies and Gentlemen,

Now let me turn to a second 21st-century phenomenon: the complex links among the challenges we face.
 

Trade, travel, technology and Twitter continue to knit the world closer together.

But today it is not just people who are more interdependent.  So are the issues.

We will not address climate change without sustainable energy.

We will not promote decent work without quality education.

We will not defeat hunger and disease without empowering women.

Sustainable development requires us to make these associations.

We can see this clearly in Africa’s Sahel region, where the interplay of poor governance, poverty and drought are causing immense suffering and instability.
 

The people of the Sahel are being buffeted by repeated shocks: floods, droughts, and spiking food prices. 
The lawlessness is allowing extremism and international crime to take hold.

We must deal with these issues in a comprehensive way – not as isolated, unrelated problems. 
 

We must identify the crucial connections -- and then drive hard at them with integrated, well-planned solutions.

But we know that we can never do this on our own.

That leads me to my third 21st century challenge -- building partnerships. 

Governments may be central actors, but even they recognize the need to mobilize others -- celebrities and doctors, CEOs and NGOs, imams, rabbis and priests.

Our Every Woman Every Child effort aims to save 16 million lives by 2015.

Scaling Up Nutrition, the Zero Hunger Challenge, Sustainable Energy for All -- these are all efforts that use the UN’s broad convening power.

Our Global Pulse project harnesses real-time digital data to combat poverty, hunger and disease.

We are also focusing on education through a new initiative called Education First, which aims to give every child the start in life they need and deserve.

Today, 61 million children are out of school, and girls’ education needs a special push.  Poverty continues to hold many young girls back.  So do discrimination and extremism, as we saw so tragically with the recent cowardly attack on Malala Yousufzai, the Pakistani teen who was shot with two other girls while trying to go to school.

The terrorists who attacked her showed what they fear the most:  a girl with a book.

I used those words shortly after the shooting, and something remarkable happened.  Someone began a campaign on Facebook and Twitter called “girl with a book”.  It is a simple and extremely powerful concept -- people all over the world sharing an image of a girl reading a book as a message of solidarity and support for girls' education.  Photos have been pouring in from Pakistan, Egypt, Cameroon, Brazil, Japan and beyond.  Among the hundreds of photographs, you will see my own contribution, a snapshot of me reading to my granddaughter.

This Girl with a Book campaign is yet another example of the power of social media to inspire people, spread messages and generate wide-ranging partnerships for real change. 

Ladies and Gentlemen,

When I think of partnerships, I come naturally to the United States.

That is because the United Nations and the United States are natural partners.
 

We count on U.S. support, leadership and ideas.

We share the same values – equality and human rights.

We share an impulse -- a calling -- to serve, to feed the hungry, to support democracy, to be generous and first on the scene in times of disaster.

And the United Nations is indebted to the United States for hosting our Headquarters in New York City.

UN staff are part of the local community. We weather our storms together – including Hurricane Sandy. I spoke to the Governors of New York and New Jersey as well as the Mayor of New York City to express our solidarity.

This is my first public opportunity to warmly congratulate President Obama on his re-election.

I look forward to strengthening the U.S.-UN partnership even more in the years ahead.

We share many goals, including ending the violence in Syria and getting the Middle East peace process back on track.

As the region undergoes fundamental changes, much is also at stake for Israel and the Palestinians. The cost of the continued stalemate and ongoing illegal settlements continues to rise with each passing day -- and each missed opportunity.

The parties themselves -- and the world at large -- have a profound interest in a just and lasting peace.

A two-state solution remains the only viable option to end this conflict and the occupation that has endured for almost half a century.  Realizing this vision requires more determination, not more delay.

The foundations for peace remain: UN Security Council resolutions, the Madrid principles including land for peace, the Road map, previous agreements between the parties and the 2002 Arab Peace Initiative.

As you know, the issue of Palestinian status at the United Nations is once again in the news.  The Charter of the United Nations is clear.  Such matters are solely in the hands of Member States. 

I share the frustration that the two-state solution may seem ever more distant.

As all involved now consider the options, we know actions have consequences.

None of us would want to see harm to the prospects for peace.

None of us should act in any way that would place a return to talks at risk.

There can be no substitute for meaningful negotiations.

As I have warned repeatedly, without strong leadership by the parties and the international community, the two-state solution, and the commendable institution-building achievements of the Palestinian Authority, are in jeopardy.

I once again appeal to all those with influence:  The Middle East peace process is on life support.  Do not pull the plug.  Breathe new life and hope now.  The region and the world cannot wait.

Ladies and Gentlemen,

We also need strong multilateral engagement to ensure the success of the democratic transitions that are under way across the world.

We are pressing to achieve the Millennium Development Goals by the agreed deadline of 2015 – and to shape a new agenda beyond that date for progress in all countries.

Combating climate change is a paramount challenge.  I was very encouraged to hear President Obama speak about the dangers of a warming planet in his remarks on election night.

World leaders have agreed to forge a legally binding agreement by 2015, and we must hold them to that commitment.

The science is clear; we should waste no more time on that debate.  I have seen with my own eyes, from the Arctic to Antarctica, from the Andes to Asia, the melting glaciers, the encroaching deserts, the gathering impacts in urban and rural areas alike.

But instead of seeing this as a prohibitively costly burden, let us look at the opportunities -- the immense opportunities of building a job-rich green economy.

Let us think big.  Let us think together.  Everything I have seen as Secretary-General convinces me that no country will be able to address its national problems unless it engages internationally. And we will not address global problems unless each country plays its part.

These are testing times. The human family is now more than seven billion strong, vying for resources, jobs and the prospect of a decent life.

The young people in the audience today are part of the largest generation of youth the world has ever known. I urge you to continue Yale’s proud tradition of helping to steer the world toward a better future.
I ask all of you to be global citizens. Speak up.  Get your leaders to do their part. 

Help us to rise above the dividing lines of religion, class, identity, to see the common good – to seize it. 

Let us work together to confront problems head-on, and shape solutions for the future.

Let us show a passion for peace, and compassion for people.

Thank you.

Monday, November 12, 2012

HOTUBA YA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MWENYEKITI WA CCM KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU WA NANE WA CHAMA CHA MAPINDUZI, UKUMBI WA KIZOTA – DODOMA, TAREHE 11 NOVEMBA, 2012


Mheshimiwa Dkt. Amani Abeid Karume, Makamu Mwenyekiti
    wa CCM na Rais Mstaafu wa Zanzibar; 
Ndugu Pius Msekwa, Makamu Mwenykiti wa CCM wa Bara;
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Ndugu Benjamin William Mkapa;
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi;
Waziri Mkuu; 
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ;
Viongozi Wakuu Wastaafu;
Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Wilson Mukama;
Ndugu  Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM;
Wageni wetu waalikwa kutoka vyama rafiki,
 Ndugu zetu wa Vyama vya Siasa Nchini;
Waheshimiwa Mabalozi,
Viongozi wa Dini,
 Wageni Waalikwa,
 Mabibi na Mabwana; 


          Kama ilivyo ada, naomba tuanze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kutujaalia uzima na kutuwezesha kukutana hapa Dodoma, siku ya leo, kwenye Mkutano Mkuu wa Nane wa Chama cha Mapinduzi. 

Ndugu Wajumbe;        
Karibuni Dodoma.  Karibuni Mkutanoni.  Nawapeni pole kwa safari.  Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kufika salama na tuombe turejee makwetu salama. Kwa niaba yenu, niruhusuni niwashukuru wenyeji wetu, yaani wana-CCM na wananchi wote wa Dodoma, wakiongozwa na Alhaji Adam Kimbisa, Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dodoma na Mkuu wa Mkoa Dkt. Rehema Nchimbi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.  Tunawashukuru kwa kutupokea vizuri na kwa ukarimu wao unaotufanya tujisikie tuko nyumbani katika huu mji ambao ndiyo Makao Makuu ya nchi yetu na Chama chetu.

Ndugu Wajumbe;
          Napenda kuchukua nafasi hii kutoa pongezi nyingi kwa Halmashauri Kuu ya Taifa kwa matayarisho mazuri ya Mkutano huu wa Nane wa Taifa wa CCM.  Natoa pongezi maalum kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa chini ya uongozi mahiri wa Katibu Mkuu Ndugu Wilson Mukama na Kamati  zote za Maandalizi ya Mkutano kwa kazi kubwa na nzuri waliyofanya ya kuwezesha Mkutano huu kufanyika.  Kwenu nyote nasema hongereni na asanteni sana. 
Ndugu Wajumbe;
          Karibuni tena Kizota.  Nasikitika kwamba matumaini yangu ya kufanya Mkutano Mkuu katika ukumbi wetu wenyewe hayakutimia.  Hii ni kwa sababu kazi ya matayarisho imechukua muda mrefu kuliko nilivyotazamia.  Tumechelewa kupata kiwanja kilichokidhi mahitaji yetu na matazamio yetu.  Kwanza tulipata kiwanja nyuma ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).  Lakini tukaona ni mbali mno na walipo wananchi.   
Tukaja kupata kiwanja kingine juu ya Kilimani Club ambacho hakikuwa kikubwa cha kutosha.  Mapema mwaka huu ndipo tulipopata kiwanja eneo la Makulu  ambacho kinakidhi sifa za kuwa kikubwa cha kutosha na kuwa karibu na katikati ya mji wa Dodoma.  Tumekiafiki  na matayarisho ya kuanza ujenzi yamekamilika.  Leo asubuhi tumeweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa Ukumbi wa Mkutano (Dodoma Convention Centre).  Baadae utafuta ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya CCM na jengo la Hoteli ya Kisasa.
Wageni Karibuni
Ndugu Wajumbe;        
Kama mjuavyo Chama cha Mapinduzi kina marafiki wengi Afrika na kwingineko duniani.  Tumekuwa na mazoea ya kualikana katika mikutano mikuu yetu.  Safari hii tumefanya hivyo tena.  Kwa niaba yenu niruhusuni niwashukuru sana wageni wetu wote wa kutoka vyama rafiki Afrika na duniani kwa kukubali mwaliko wetu na kuja kujumuika nasi siku ya leo.  
Kuwepo kwao ni kielelezo tosha cha udugu na urafiki uliopo baina ya vyama vyetu na nchi zetu ambao hatuna budi kuudumisha, kuuendeleza na kuukuza.    Hali kadhalika, nawashukuru Mabalozi wa Nchi za Nje na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa walioweza kuja kushiriki nasi katika sherehe za ufunguzi wa Mkutano wetu. 

Ndugu Wajumbe;
Tunawakaribisha kwa furaha na upendo mkubwa viongozi na wawakilishi wa vyama vya siasa vya hapa nchini kwa kukubali mwaliko wetu na kuja kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM  siku ya leo.  Tunawashukuru kwa moyo wao wa uungwana kwani tofauti za vyama si uadui.  Wamethibitisha jinsi demokrasia ya vyama vingi inavyozidi kustawi na kukomaa hapa nchini. 
Nawashukuru sana pia, viongozi wetu wa dini na wananchi mbalimbali waliojumuika nasi.  Kuwepo kwao ni jambo la faraja kubwa.  Dua za viongozi wa dini zitasaidia kuponya na kuupa baraka mkutano wetu uende salama, uwe wa mafanikio  na kuwafanya wale wote wasiokiombea mema Chama chetu watahayari na kufadhaika.
Karibuni Diaspora
Ndugu Wajumbe;
          Napenda kuwatambua na kuwakaribisha viongozi na wananchama wa Chama chetu waliopo nje, Marekani, Italia, India na Uingereza. Ndugu zetu hawa kwa upenzi wao kwa Chama wamesafiri masafa marefu kuja kushiriki nasi.  Hawa wanastahili pongezi maalum kwa jinsi wanavyopeperusha bendera ya CCM na kueneza sera zake. Naomba tuwape makofi ya nguvu.
Agenda ya Mkutano
Ndugu Wajumbe;
          Agenda ya Mkutano Mkuu wa Taifa wa Nane wa Chama cha Mapinduzi ina mambo makuu manne.  Kwanza kufanya marekebisho ya Katiba ya Chama cha Mapinduzi.  Mengi ya marekebisho hayo yanatokana na uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa katika kikao chake cha trehe 11 – 12 Aprili 2011 wa kufanya mageuzi ndani ya Chama.  Miongoni mwa matunda ya mageuzi hayo ni kuundwa kwa Baraza la Ushauri na Wajumbe wa NEC kuchaguliwa Wilayani badala ya Mikoani. 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM, Halmashauri Kuu ya Taifa ina mamlaka ya kufanya marekebisho ya Katiba na marekebisho hayo kutumika.  Hata hivyo, marekebisho hayo hayana budi kuletwa katika Mkutano Mkuu wa Taifa ili yaingizwe rasmi kwenye Katiba.   
Ndugu Wajumbe;
          Jambo la pili litakuwa ni kwa Serikali zetu mbili kutoa taarifa za maendeleo ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya 2010 – 2015 tangu baada ya uchaguzi mkuu hadi sasa.  Vile vile, tutapokea Taarifa ya Halmashauri Kuu ya Chama kuhusu kazi za Chama kwa miaka mitano iliyopita.  Jambo la nne na la mwisho ni kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu wake wawili na Wajumbe wa NEC wa Kundi la Zanzibar na Tanzania Bara.
Ndugu Wajumbe;
Tofauti na mikutano iliyopita, Halmashauri Kuu ya Taifa inapendekeza kuwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wajigawe katika makundi matano kujadili taarifa ya kazi za Chama na zile za utekelezaji wa Ilani.  Kisha kila kikundi kitatoa taarifa ya maoni na mapendekezo yake.  NEC ilifikiria iwe hivyo ili kutoa muda wa kutosha kwa wajumbe kujadili taarifa hizo muhimu katika utaratibu wa zamani wa mtu mmoja kila mkoa kuitwa kusoma, wajumbe hawapati fursa ya kutosha ya kuzijadili taarifa zinazotolewa.
Kuimarisha Chama Kazi Endelevu
Ndugu Wajumbe;
           Katika hotuba yangu ya kushukuru baada ya kuchaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa Maalum wa tarehe 25 Juni, 2006, pamoja na kuzungumzia mambo mengine, nilisisitiza umuhimu wa kuimarisha Chama chetu.  Nilitoa maoni yangu kwa upana kiasi kuhusu mambo ya kuzingatia.  Leo tena, katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu huu narudia kusisitiza jambo hili.  Nafanya hivyo kwa sababu hilo ndiyo jukumu la kudumu na jukumu la kwanza na la msingi kwa kila kiongozi na kila mwanachamawa CCM.  Isitoshe, kwa hali ilivyo sasa, kuimarisha Chama cha Mapinduzi lazima iwe agenda kuu ya kila mmoja wetu.  Ni ukweli ulio wazi kuwa ustawi na uhai wa Chama unategemea viongozi na wanachama kufanya kazi ya ziada kuimarisha Chama chao. 


Ndugu Wajumbe;
Bahati nzuri, chini ya uongozi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Lt. Yusuf Rajab Makamba tarehe 19 Desemba, 2006 ulianzishwa Mradi wa Kuimarisha Chama.  Mradi huo ndiyo uliokuwa dira na mwongozo wetu wa kufanya kazi za Chama tangu wakati huo mpaka leo.  Wajibu wa kila kiongozi na kila mwanachama na kila kikao cha kila ngazi vimeainishwa vizuri.  Pia, uliwekwa utaratibu mzuri wa kufuatilia utekelezaji wake. Bila ya shaka mtakumbuka kuwa utaratibu maalum uliwekwa wa kutoa tuzo kwa Mikoa iliyofanya vizuri katika utekelezaji wa vipengele mbalimbali vya uimarishaji wa Chama kwa mujibu wa Mradi huo.  
Ndugu Wajumbe;
Kazi ya kuimarisha Chama chetu ni jukumu endelevu kwa kila mwanachama wa CCM, kila kiongozi wa CCM na kila mtumishi wa CCM.  Kwa sababu hiyo, Mradi wa Kuimarisha Chama ni mchakato usiokuwa na ukomo.  Ni kazi ya kudumu na wala siyo tukio lililoanzishwa na Katibu Mkuu Lt. Yusufu Rajabu Makamba na kukoma siku alipostaafu.
Tuongeze Wanachama
          Kazi ya kuingiza wanachama wapya ni ya kudumu katika uhai wa Chama cha Mapinduzi.  Hii siyo kazi ya msimu wa uchaguzi wa ndani ya Chama au wakati wa kura za maoni na hivyo kugeuzwa kuwa ni kwa ajili ya kuwapigia debe watu wanaotafuta vyeo.  Lazima wakati wote tuwe tunaingiza wanachama wapya lakini pia lazima tuzingatie utaratibu ulioelekezwa na Katiba ya CCM.  Hatuna budi kuhakikisha kuwa tuna wanachama walio waumini wa kweli na wapenzi wa dhati wa CCM, itikadi yake na sera zake na zile za Serikali zake.
Ndugu Wajumbe;
Wanachama ndiyo nguvu kuu ya uhai na ushindi wa CCM.   Lazima Chama chetu kiwe na Jeshi kubwa la wanachama walio tayari kukijenga, kukisemea na kukipigania.  Kuwa na Wanachama wengi ambao ni waumini wa kweli wa Chama chetu ina maana ya kuwa na kura nyingi za msingi za kuanzia katika uchaguzi wa dola.  Pia wanachama ni nyenzo muhimu ya CCM kupata kuungwa mkono na wananchi hasa pale ambapo wanachama wataifanya ipasavyo kazi ya Chama ndani ya umma.  Kila mwanachama akifanya kwa mafanikio kazi ya kushawishi wananchi kupigia kura wagombea wagombea wa CCM tutapata kura nyingi za uhakika.
Tuwe na Viongozi Wazuri
Ndugu Wajumbe;
          Kazi ya kuhakikisha kuwa Chama cha Mapinduzi kina viongozi wazuri ni ya kudumu na wala siyo ya msimu wa kuchuja majina ya wagombea.  Lazima Chama chetu kiwe na viongozi ambao ni waumini wa dhati wa itikadi yetu na wanaozijua vyema sera za Chama cha Mapinduzi na Serikali zake.  Wao ndio wanaotarajiwa kuonesha njia kwa kuelimisha wanachama na wananchi.  Viongozi wa CCM lazima wawe hodari wa kufafanua sera na masuala mbalimbali yahusuyo Chama chetu na Serikali zake.  Hawataweza kufanya hivyo kama wao wenyewe ni maamuma.  Kiongozi mzuri wa Chama cha Mapinduzi ni yule ambaye ni jasiri kukitetea Chama cha Mapinduzi na kama hapana budi yuko tayari kujitolea muhanga.  Kuwa na kiongozi ambaye haguswi wala kusikitishwa na hali mbaya ndani ya Chama au hujuma dhidi ya Chama ni sawa na kutokuwa na kiongozi.  Bora asiwepo.  Na kuwa na kiongozi ambaye yeye mwenyewe anafanya vitendo viovu dhidi ya CCM na Serikali zake ni kuwa na nyoka ndani ya nyumba.  Ni jambo hatari lisilokubalika na halistahili kuvumilika.  Tukiwajua tuwaseme, tuwashughulikie, wachague wanapotaka kwenda.   


Ndugu Wajumbe;
Kiongozi mzuri wa CCM lazima awe muaminifu na muadilifu na lazima wanachama na jamii imuone hivyo.  Chama chetu kinashindania kushinda akili na mioyo ya Watanzania na hiyo ndiyo kazi tunayomtarajia kiongozi wetu afanye katika jamii.  Hii ndiyo hasa kazi ya Chama ndani ya umma.  Lakini, ili kiongozi wetu aweze kuifanya kwa mafanikio taswira yake mbele ya jamii ni kitu muhimu.  Awe na taswira nzuri mbele ya wananchi.  Kama jamii inamuona kuwa si mtu muadilifu itakuwa taabu sana kwake kufanikisha jukumu la msingi la Chama chetu.  Hivyo ndugu zangu, lazima tuhakikishe kuwa viongozi wetu wanakuwa waadilifu ili wasigeuke kuwa balaa na hasara kwa Chama.
Ndugu Wajumbe;
          Baada ya kukamilisha mchakato wa uchaguzi ngazi ya taifa, tutatengeneza na kutekeleza programu maalum ya kutoa mafunzo kwa viongozi wa Chama kuanzia ngazi ya Tawi hadi Taifa.  Hali kadhalika, tutaendeleza na kukamilisha kazi ya ukarabati na upanuzi wa Chuo cha Ihemi ili kiwe kitovu cha kutoa mafunzo ya siasa kwa makada na viongozi wa Chama na Jumuiya zake kama ilivyokuwa inafanywa katika Chuo cha CCM cha  Kivukoni na vyuo vyake vya kanda. 
Ndugu Wajumbe;
Bahati nzuri vyama vya ukombozi vya nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika vimekubaliana kuwa Chuo cha Ihemi kiwe Chuo cha Mafunzo ya siasa kwa makada wa vyama vyao pia.  Ni heshima kubwa kwa CCM, lakini pia inakipa Chama chetu wajibu mkubwa wa kuhakikisha kuwa Chuo hicho kinawekwa katika viwango vya kimataifa.  Tuko tayari na tutajipanga ipasavyo kutimiza wajibu wetu huo wa kihistoria.
Vikao Vifanyike Ipasavyo
Ndugu Wajumbe;
Ni kazi endelevu kwetu sote, wanachama na viongozi, kuhakikisha kuwa vikao vinafanyika kwa wakati na kwamba mikutano inaendeshwa vizuri na ina agenda zenye maslahi ya kujenga Chama na kuendesha nchi.  Pia, ni muhimu kuhakikisha kuwa kinachoamuliwa kinatekelezwa ipasavyo.  Naamini kwamba mafunzo tutakayotoa kwa viongozi na watendaji wa Chama kuhusu wajibu wao na jinsi ya kuutekeleza yatasaidia sana kuimarisha CCM.
Watendaji Mahiri
Ndugu Wajumbe;
Kwa Chama chetu kuwa na watendaji wazuri ni jambo lisilokuwa na mjadala.  Lazima tuwe na watendaji ambao ni makada wazuri na watu mahiri kwa kazi zao.  Wawe ni watu ambao wana uelewa mzuri wa sera za Chama na kwamba wanaweza kuzifafanua, kuzieneza na kuzitetea.  Pia, wawe ni watu wanaojua vyema kazi yao ya utendaji, kwa mujibu wa shughuli zao wanazozifanya.  Ni vyema kwa kazi za kitaalamu tukapata watu wataalamu wa kazi hizo.  Ni muhimu sana tukayazingatia haya kwani utendaji mzuri katika Chama ni nguvu muhimu sana ya kukifanya Chama chetu kuwa imara.  Chama chetu kiwe na mipango thabiti ya kuwaendeleza watumishi wake na kama hapana budi kuwadhamini wakasome. Tufanye hivyo.
Bila ya shaka mtakumbuka kuwa tarehe 3 Novemba, 2007, pale Kizota, niliahidi kuwa tutaboresha maslahi ya watumishi wa Chama.  Tumetimiza ahadi hiyo.  Leo nasema kuwa tutajitahidi kuendelea kuboresha maslahi ya watumishi wetu kadri uwezo utakavyoruhusu.
Tujitegemee
Ndugu Wajumbe;
Lazima Chama chetu kiwe na uwezo wake chenyewe wa kujisimamia na kujiendesha.  Kiwe na fedha za kutosha na vitendea kazi.  Hivi sasa hatuko hivyo.  Hatuna budi kuongeza maarifa na juhudi za kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kujitegemea kifedha bila ya kujali kama kuna ruzuku au hakuna.  Jambo hili sasa liwe ni la kufa na kupona kwetu kuhakikisha linakuwa. Iwe agenda kuu ya Chama katika ngazi zote.  Kila mmoja afikirie nini cha kufanya na kifanywe.  Jambo la kuzingatia ni kufanya shughuli halali.  Fursa zipo tuzitumie.  Tusikubali kushindwa kwenye azma kwani hiyo itakuwa maangamizi wa CCM.  Lazima tushinde. 
Ndugu Wajumbe;
          Mtakumbuka pia kwamba niliahidi kuimarisha usafiri ndani ya Chama.  Ahadi hiyo tumeitimiza.  Kila Mkoa na kila Wilaya imepata gari mpya tena gari nzuri na imara.  Gari hizi tukizitunza vizuri zitatuwezesha katika  uchaguzi ujao bila ya taabu.  Kwa Mikoa na Wilaya mpya mipango ya kuwapatia magari iko mbioni. Kila Jumuiya tuliipatia magari yasiyopungua matatu.
Jumuiya za Chama
Ni wajibu wa kudumu wa Chama chetu kuhakikisha kuwa Jumuiya zake zinaimarika na kutimiza ipasavyo wajibu wake.  Jumuiya ndiyo mkono mrefu wa Chama cha Mapinduzi kuufikia umma mpana wa Watanzania hasa wale ambao si wanachama.  Jukumu letu ni kuhakikisha kuwa watu hao wanakuwa wanachama au wapenzi na marafiki wa CCM.  Kwa hiyo, kuwepo kwa Jumuiya ni fursa nzuri kwa Chama cha Mapinduzi kuungwa mkono na watu wengi ili wakati wa uchaguzi tuweze kupigiwa kura na kupata ushindi.  Jumuiya lazima zihakikishe kuwa zinatimiza ipasavyo wajibu wake ili wasiipotezee CCM fursa hii adhimu.
Ndugu Wajumbe;
          Kwa muhtasari, hayo ndiyo baadhi ya mambo ya msingi ya mradi wa kuimarisha Chama.  Mtakubaliana nami kuwa haya yote ndiyo kazi na wajibu wa kila mmoja kufanya.  Ni kazi endelevu isiyokuwa na ukomo.  Tupo kwa ajili hiyo na rai yangu kwenu ni kuhakikisha kuwa kila mwanachama na kila kiongozi anatimiza ipasavyo wajibu wake.
Mageuzi Ndani ya Chama
 Ndugu Wajumbe;
          Kwa dhamira ya kuendelea kukiimarisha zaidi, Chama cha Mapinduzi, katika mkutano wake wa tarehe 11-12 April, 2011, Halmashauri Kuu ya Taifa iliamua kuanzisha mchakato na kufanya mageuzi ndani ya Chama.  Lengo kuu la uamuzi huo ni kukiwezesha Chama chetu kuwa na taswira inayovutia katika mitazamo na hisia za wanachama wake na wananchi. 
Kimsingi NEC inataka tukiwezeshe Chama cha Mapinduzi kiendelee kupendwa na kuaminiwa na wananchi wote wa Tanzania.  Tunataka wanawake na wanaume, wadogo na wakubwa, maskini na matajiri, wanyonge na wenye nguvu waone kuwa CCM ndiyo kimbilio lao.
Ndugu Wajumbe;
 Kwa ajili hiyo mageuzi ya ndani ya Chama yamejengeka juu ya misingi ifuatayo:-
1.     Kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kuwa na makada na viongozi mahiri, waadilifu na waaminifu kwa Chama chao;
2.     Kukiwezesha Chama kuwa na sera zinazojali maslahi ya wengi na kusukuma mbele kwa kasi maendeleo ya taifa letu;
3.     Kukiwezesha Chama kuwa na muundo na mfumo wa uendeshaji ulio nyumbulifu na unaokifanya kuwa karibu na wanachama na wananchi;
4.     Kukiwezesha Chama kujitegemea kimapato na kiuchumi ili kiweze kuendesha shughuli zake kwa uhakika, uhuru na heshima;
5.     Kukiwezesha Chama kuwa na watu hodari wa kazi na Makada wazuri ambao wanalipwa vizuri na kuwezeshwa kutekeleza majukumu yao;
6.     Kukiwezesha Chama kuwasiliana na umma kwa urahisi na kupambana na propaganda chafu za vyama vya siasa; na
7.     Kukiwezesha Chama cha Mapinduzi kupambana na maovu ndani ya Chama na katika jamii likiwemo tatizo la rushwa na mengineyo.

Ndugu Wajumbe;
          Katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa iliamuliwa kuwa kutokana na umuhimu wa hoja na haja ya kufanya mageuzi ndani ya Chama utekelezaji wa mageuzi uanze mara moja.  Aidha, pawepo na progamu ya utekelezaji unayoainisha nini kinafanyika lini na mhusika ni nani!  Bila ya shaka mtakumbuka kuwa katika kikao kile, tuliunda upya Kamati Kuu na kuteua Sekretarieti mpya.  Vile vile iliamuliwa kuwa tufanye marekebisho katika muundo wa Chama na moja ya  matokeo yake ni Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kuchaguliwa kutoka wilayani.  Nafasi za NEC za mikoa zikafutwa na zile za taifa zikapunguzwa.  Aidha, limeundwa Baraza la Taifa la Ushauri ambalo wajumbe wake ni viongozi wakuu wa Chama wastaafu.  Wanapata fursa ya kukaa na kutoa ushauri kwa Chama na viongozi wake.
Ndugu Wajumbe;
          Tuliamua, pia, kuunganisha chaguzi za Chama na Jumuiya zifanyike mwaka mmoja.  Shabaha ya uamuzi huo ni kutaka kujipa muda wa kutosha wa kujenga Chama na Jumuiya zake na kujiandaa kwa chaguzi za dola.  Uamuzi huo umeokoa takriban mwaka mzima ambao tulikuwa tunautumia kwa uchaguzi.  Vile vile Halmashauri Kuu ya Taifa iliamua kwamba mgao wa fedha unatokana na mapato Chama zinazopelekwa kwenye Matawi na Mashina uongezwe.  Lengo ni kuziwezesha ngazi hizi muhimu za Chama kufanya kazi vizuri zaidi.


Ndugu Wajumbe;
          Suala la nidhamu na maadili ya viongozi na wanachama lilisisitizwa sana kwa sababu ya umuhimu wake kwa taswira ya Chama chetu mbele ya jamii na wanachama wake.  Pia, kutokana na ukweli kwamba ni kilio cha wanachama na wananchi cha kutaka tuiondowe taswira mbaya dhidi ya Chama iliyopo katika jamii kuwa ni Chama kisichokerwa na rushwa.  Hicho ni kilio cha dhati kwa watu wenye nia njema na CCM:  Chama chao, wanachokipenda na kukiamini.  Chama ambacho bado hakina badala yake wa kuiongoza vyema nchi yetu na watu wake.
          Halmashauri Kuu ya Taifa iliamua mambo mawili yafanyike.  La kwanza, mfumo mzima wa kushughulikia masuala ya usalama na maadili katika Chama utazamwe upya na uimarishwe.  Pili, Chama kichukue hatua na lazima kionekane kinachukua hatua dhidi ya viongozi na wanachama wasiokuwa waadilifu na waaminifu wanaofanya sura ya Chama ichafuke mbele ya jamii.  NEC iliagiza wenyewe wajipime na kuamua na wasipofanya hivyo vikao husika katika Chama vichukue hatua.
Ndugu Wajumbe;
          Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu yaliyoamuliwa yafanyike katika kufanya Mageuzi Ndani ya Chama.  Utekelezaji wake umeanza.  Yapo yaliyokamilika na yapo yanayoendelea kutekelezwa.  Yapo mambo mengi ambayo ni endelevu kama vile mapambano dhidi ya rushwa.  Hatuna budi kuendelea kulikemea na kusimama kidete kupambana na tatizo hili mpaka likomeshwe.  Ni kwa maslahi na heshima ya Chama chetu kuendesha mapambano haya bila ya woga mpaka tushinde.  Tukishindwa itakuwa hatari kwa uhai wa Chama chetu.   
Umoja ni Ushindi
Ndugu Wajumbe;
          Mara ya mwisho tulipokutana tarehe 11 Julai, 2010, tulikuwa tunajipanga kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.  Mliniteua mimi na Dkt. Mohamed Ghalib Billal kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  Pia tulipitisha Ilani ya Uchaguzi ya 2010-2015.  Siku moja kabla ya Mkutano Mkuu, Halmashari Kuu ya Taifa ilikuwa imemteua Dkt. Ali Mohamed Shein kupeperusha bendera yetu kwa nafasi ya Rais wa Zanzibar. 
Bahati nzuri tumepata ushindi kwa nafasi zote hizo za juu za uongozi wa taifa letu.  Pia tulifanikiwa kupata Wabunge na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wengi zaidi kuliko vyama vya upinzani.  Kwa sababu hiyo, tumeunda Serikali zote mbili za nchi yetu na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi unaendelea vizuri.
Ndugu Wajumbe;
          Kwa upande wa Zanzibar, tuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa na mambo yanakwenda vizuri.  Tuzidi kuunga mkono na kuwatakia heri Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais, Mheshimiwa Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Idd.  Tunawapongeza sana kwa mafanikio yaliyopatikana.  Zanzibar ina amani na umoja unaozidi kuimarika.  Tunatakiwa tuendelee kuiunga mkono Serikali ya Umoja wa Kitaifa ili ifanikiwe zaidi.
Ndugu Wajumbe;
          Uchaguzi uliopita kwa upande wa Tanzania Bara ulikuwa na changamoto nyingi ambazo hatukuzizoea wala kujiandaa nazo.  Zinaelezea matokeo tuliyoyapata jambo ambalo linatulazimu kuwa makini zaidi katika uchaguzi ujao.  Tusikubali kushtukizwa tena.  Lakini, jambo moja lililo dhahiri ni kwamba umoja na mshikamano miongoni mwa wana-CCM ndiyo uliotuwezesha kukabili changamoto hizo na kupata ushindi tulioupata.  Bila ya hivyo, mbinu hasi zilizotumika zingetufanya tushindwe. 
Napenda ukweli huu uwepo katika vichwa na mioyo ya wana-CCM na sisi viongozi wao tuliochaguliwa hivi majuzi na watakaochaguliwa katika Mkutano huu.  Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere alisema: Umoja ni Nguvu, ni kweli kabisa na sisi ni mashahidi.  Nami napenda kuongeza kwa kusema kuwa Umoja ni Ushindi.
Ndugu Wajumbe;
          Nawaomba wakati wote wa mkutano na baada ya mkutano tukumbuke na kuzingatia Umoja.  Tuishikilie kamba ya Umoja isituponyoke.  Tuimbe Umoja kimoyo moyo na tubainishe wazi wazi kwa kauli na matendo yetu kuwa: Umoja ni Nguvu Utengano ni Udhaifu! Umoja ni Ushindi! Umoja na Ushindi!.  Napenda kuona kuwa tunatoka hapa tukiwa kitu kimoja, tukiwa watu tunaopendana na tulioshikamana.   Nataka tuondoke katika Mkutano sote tukivuta kamba upande mmoja badala ya kuvutana.  Nataka tuazimie kukabiliana na kauli, matendo au watu wanaopandikiza chuki na kuhatarisha umoja ndani ya Chama chetu na miongoni mwetu.    Nataka kaulimbiu ya ujumbe wa Mkutano huu uwe Umoja ni Ushindi! Umoja na Ushindi!   Tukiendelea kuwa watu tunaovutana na kuhasimiana hatutaweza kukijenga Chama chetu wala kuwatafutia ushindi wagombea wa Chama chetu.  Tutakuwa sawa na ule msemo wa Kiswahili usemao: “vita vya panzi furaha ya kunguru”  Tusijigeuze panzi na wala tusikifikishe Chama chetu kiwe hivyo.
Ndugu Wajumbe;
          Mtakubaliana nami kuwa harakati za kutafuta uongozi ndani ya Chama au uteuzi wa kugombea katika chaguzi za dola imekuwa ndiyo chanzo kikuu kinacholeta mifarakano na kuvuruga umoja ndani ya Chama chetu.  Hili ndugu zangu siyo sawa hata kidogo.  Kugombea uongozi ni haki ya msingi ya mwanachama na raia wa Tanzania.  Kwa nini mtu achukiwe au aonekane adui kwa kuamua kuitumia haki yake hiyo?  Kwa nini afanyiwe vitimbi, vitendo viovu au njama za kuhujumiwa?  Nani mwenye haki zaidi ya mwanachama ama raia mwenzake?  Ni ubabe na jeuri ya pesa isiyokuwa na msingi.  Ni ubinafsi na uchu wa madaraka uliopitiliza mipaka.  Watu wa namna hiyo ni hatari sana kwani wanaweza hata kuua au kukivuruga Chama chetu kizuri kama tamaa zao zisipokidhiwa.
Ndugu Wajumbe;
          Napenda kutumia nafasi hii kuwasihi wale wote wanaochukiana kwa sababu ya kugombea watakafakari upya misimamo yao.  Wafanyayo siyo sahihi, wanaathiri nguvu na uhai wa Chama chetu.  Naomba Kamati za Siasa za ngazi zote ziwatambue watu hao na kuwaita kuwapatanisha.  Naomba wahusika watoe ushirikiano wao.  Hata wale wanaohisi kuwa hawakutendewa haki katika uchaguzi, walidhulimiwa au hata kushindwa kwa sababu ya vitendo vya rushwa, wakumbuke kuwa Chama chetu kina utaratibu wa kushughulikia malalamiko yao.  Wautumie utaratibu huo badala ya kufanya vitendo vinavyokigawa na kukivuruga Chama chetu.  Kulalamika katika vyombo vya habari, kufanya ghasia au kuchochea migawanyiko hakutaleta ufumbuzi.
Ndugu Wajumbe;
          Niruhusuni nitumie nafasi hii kuwasihi wale wote wenye tamaa ya kugombea uteuzi ndani ya Chama wasituulie Chama chetu.  Kuwa na tamaa ya kugombea Urais, Ubunge na Udiwani si kosa ni haki ya mwanachama na ni haki ya raia wa nchi hii.  Jambo ambalo halikubaliki na gumu kulivumilia ni kufanya vitendo vya kuwagawa wanachama na Chama chetu.  Kuwalazimisha au kuwashinikiza kujiunga na kundi fulani siyo sawa.  Kumchukia mtu kwa sababu naye anagombea au amekataa kukuunga mkono au kumuunga mkono umpendae ni jambo baya.  Unaifanya demokrasia iwe haina maana au kichekesho.  Na, lililo baya kupita kiasi ni kutumia fedha kushawishi, kuwarubuni au kuwanunua watu kukuunga mkono au kumuunga mkono mgombea wako au kujiunga na makundi.  Hili ni jambo haramu na ni utovu wa maadili usiokubalika ambao lazima tuukatae, tuukemee na tuupige vita kwa nguvu zetu zote.  Naomba wote tushirikiane katika mapambano haya kwa heshima ya Chama chetu.
Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi
Ndugu Wajumbe;
          Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 unakwenda vizuri kwa Serikali zetu zote mbili.  Taarifa zitakazotolewa na Waziri Mku, Mheshimiwa Mizengo Pinda, kwa upande wa Serikali ya Muungano na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Balozi Seif Ali Idd kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, zitathibitisha ukweli huu.  Niruhusuni nichukue muda wenu kidogo nizungumzie baadhi ya mambo yahusuyo shughuli za Serikali.
Nchi Iko Salama
Ndugu Wajumbe;
          Napenda kuanza kwa kuwahakikishia kuwa Tanzania iko salama pamoja na kuwepo matukio ya hapa na pale.  Mipaka yetu iko salama.  Hakuna tishio lo lote la kiusalama la kutufanya tuhamanike.  Hata mpaka wetu na Malawi uko salama pamoja na kuwepo kwa maneno maneno yahusuyo nchi zetu mbili kutofautiana wapi ulipo mpaka halali.  Hakuna jambo lo lote linalofanywa upande wa wenzetu ambalo linatufanya tuwe na mashaka ya usalama wa nchi yetu kuwa hatarini.  Kwa sababu hiyo hatujaiona haja ya kusogeza Majeshi yetu mpakani na anayesema tumefanya hivyo ni muongo.  Apuuzwe na kushushuliwa.
Ndugu Wajumbe;
Tumeendelea na juhudi za kuimarisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa kuwajengea uwezo, zana na vifaa vya kisasa vya kivita.  Lengo letu ni kukuza nguvu ya kimapigano ya Jeshi letu na kuimarisha utayari wake kivita.  Hali kadhalika, tumeendelea kuboresha maslahi ya wanajeshi na mazingira yao ya kufanyia kazi na ya kuishi.  Kwa upande wa usalama wa raia, yaani maisha na mali zao, matukio ya uhalifu yanaendelea kupungua.  Hali hii inaashiria kuwa Jeshi la Polisi linafanya kazi nzuri.  Kama tufanyavyo kwa JWTZ, tutaendeleza juhudi za kuimarisha Jeshi la Polisi kwa watu, zana na vifaa vya kisasa vya kufanyia kazi.  Tutaendelea kuboresha maslahi na mazingira ya kufanyia kazi na ya kuishi ya Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya usalama.
Ndugu Wajumbe;
          Pamoja na kutokuwepo kwa tishio lililo dhahiri la shambulio la kigaidi, wakati wote  vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viko katika hali ya tahadhari kuepuka kushtukizwa.  Kama mnavyokumbuka mwaka 1998 Ubalozi wa Marekani hapa nchini ulishambuliwa na ndugu zetu 11 walipoteza maisha.  Hivyo basi, kuchukua tahadhari ni jambo la busara kufanya.  Aidha, tuko katika hali ya tahadhari dhidi ya uharamia wa kuteka meli katika Bahari Kuu ya Hindi.  Takriban mwaka mzima umepita bila ya matukio ya kutekwa nyara meli katika bahari yetu .  Hata hivyo hatuachi kuchukua tahadhari.
Ndugu Wajumbe;        
Matukio ya hivi karibuni ya vurugu zenye mwelekeo wa  kidini yanasikitisha na kusononesha.  Ni mambo ambayo hayafanani na sifa ya nchi yetu ya kuheshimiana na kuvumiliana  pamoja na kuwepo tofauti  zetu za dini, kabila rangi au maeneo tutokako. Vitendo hivyo havikubaliki na Serikali haitawavumilia au kuwaonea muhali wale wote wanaohusika na kuchochea vurugu hizo.  Tumechukua hatua na tutaendelea kuchukua hatua bila ya ajizi.  Ombi langu na wito wangu kwa viongozi na wafuasi wa dini nchini kuhubiri dini zao huku wakitambua na kuzingatia umuhimu wa kuheshimu imani za wengine na kuvumiliana.  Tusipofanya hivyo nchi yetu tutaingiza kwenye matatizo yasiyostahili  kuwepo.
Ndugu Wajumbe;
          Inatia moyo kuona kuwa watu wenye nia njema na nchi yao ni wengi.  Kwa sababu hiyo pamoja na jitihada za baadhi ya watu wasiyoitakia mema nchi yetu hawajafanikiwa kuwagawa na kuwafarakanisha Watanzania.  Nawaomba Watanzania wenzangu tuwe na moyo huo huo na sisi katika Serikali tutaendelea kumchukulia hatua mtu ye yote anayetaka kutuvurugia amani na utulivu wa nchi yetu na watu wake.
Ndugu Wajumbe;
          Napenda kuwahakikishia kuwa Serikali haitamuonea mtu ye yote asiyehusika.  Tutaendelea kuidumisha sifa yetu ya kuendeleza utawala bora, kuheshimu haki za binadamu na kuzingatia utawala wa sheria.  Kadhalika tutaendelea kuheshimu mgawano wa madaraka miongoni mwa mihimili mikuu ya dola.  Nafurahi kwamba mpaka sasa mambo yanakwenda vizuri.
Muungano Imara
Ndugu Wajumbe;
          Muungano wetu ni imara pamoja na kuwepo vitendo vyenye lengo la kuudhoofisha vinavyofanywa na baadhi ya viongozi wa siasa na wa dini hasa kule Zanzibar.  Jambo linalosikitisha ni watu hao kutumia njia za vitisho na ghasia ili kuwalazimisha watu kuwaunga mkono.  Njia hizo hazikubaliki na wala hazitavumiliwa. 
Inastaajabisha mambo hayo kufanyika hivi sasa wakati kuna Tume ya Katiba.  Kama mtu ana maoni yo yote kuhusu Muungano ayafikishe tu, yatapokelewa na kupimwa.  Vile vile Kamati ya Pamoja ya Serikali zote mbili inayowakutanisha Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar  chini ya Uenyekiti wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano imekuwa inafanya kazi nzuri kutatua kero za Muungano.  Kama mtu analo jambo analotaka lipatiwe jawabu awasilishe kwa wahusika litashughulikiwa.   

Hali ya Uchumi
Ndugu Wajumbe;
Katika Mkutano Mkuu Maalum wa Julai, 2010 hapa Kizota, nilielezea mafanikio tuliyoyapata na changamoto tulizokumbana nazo katika kukuza uchumi wa nchi yetu na kupunguza umasikini. Nilieleza pia nia yetu ya kuendelea kupambana na changamoto zilizokuwa mbele yetu pamoja na ugumu unaotokana na hali ya kuyumba kwa uchumi wa dunia ambamo na sisi pia tumo.  Kwa ajili hiyo mwaka 2011 tulizindua Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano(2011/12 – 2015/16). 
Mpango huu ni wa kwanza kati ya mitatu katika safari yetu ya kutekeleza Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025.  Kwa mujibu wa Dira yetu hiyo, tunatarajia ifikapo mwaka 2025 nchi yetu itaondoka katika kundi la nchi maskini sana duniani na kuwa nchi ya uchumi wa kati.  Yaani tunataka pato la wastani la Watanzania litoke kwenye dola za Kimarekani 545 za sasa hadi kufikia dola za Kimarekani 3,000.  Lengo hilo ni kubwa linalohitaji mipango thabiti na uwekezaji makini wa Serikali na sekta binafsi.  Pia inahitaji kuwepo kwa nidhamu ya dhati ya viongozi na wananchi wa Tanzania.
Ndugu Wajumbe;
Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo umekwishaanza.  Lengo la jumla katika Mpango wa kwanza ni Kufungulia fursa kwa ukuaji wa uchumi; wa pili ni Ujenzi wa mazingira ya maendeleo ya viwanda;  na wa tatu ni Kuimarisha ubunifu na ushindani kimataifa.  Tayari miradi ya kimkakati imekwishaainishwa na inapewa kipaumbele katika bajeti ya Serikali na ubia baina ya sekta binafsi na sekta ya umma. Katika kila hatua suala la kukuza ajira limepewa umuhimu mkubwa kwani lengo letu ni kuwa na ukuaji wa uchumi unaojumuisha maisha ya watu.  Vijana ni walengwa wakubwa.
 Mwelekeo wa uchumi wetu ni mzuri.  Kasi ya ukuaji wa uchumi iliyokuwa asilimia 6.4 mwaka wa jana inatarajiwa kufikia asilimia 7 mwaka huu.  Mauzo yetu ya nje yanazidi kukua na kuongezeka.  Kwa mfano mwaka 2005 ilikuwa dola za Kimarekani milioni 2,945.5 na sasa nimilioni 7,461.2.  Akiba yetu ya fedha ya kigeni nayo ni nzuri.  Hivi sasa ni dola za Kimarekanibilioni 4.1 inatuwezesha kuagiza bidhaa kutoka nje kwa miezi 3.8.
Ndugu Wajumbe;
Changamoto kubwa katika uchumi ni mfumuko wa bei.  Ni kweli umepungua kutoka asilimia 19.8 Desemba, 2011 hadi asilimia 13.5 Septemba, 2012, hata hivyo kupungua huko ni kidogo mno.  Tunaendelea kuchukua hatua za kudhibiti na kupunguza zaidi mfumuko wa bei.  Kwa vile moja ya sababu ni kupanda kwa bei za mafuta. Tumeipa dhamana EWURA kusimamia kwa karibu uagizaji na upangaji wa bei ya mafuta.
  Kwa kuwa bei za vyakula hasa mchele na sukari navyo huchangia kupanda kwa mfumuko wa bei na kuongeza gharama ya maisha mamlaka husika zimeagizwa kuhakikisha kuwa wafanyabiashara wanawezeshwa kuagiza bidhaa hizo kwa wingi kutoka kwa nje kwa kuwapatia nafuu ya baadhi ya kodi.  Pamoja na hayo jawabu la kudumu lipo katika kuendeleza mageuzi ya kilimo ili nchi yetu ijitosheleze kwa chakula na kupata ziada kubwa ya kuuza nje.  Hayo ndiyo malengo na hatua zinazochukuliwa katika ASDP, Kilimo Kwanza na SAGCOT.  Ndiyo maana tutaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima, kuimarisha masoko na miundombinu vijijini.
Mapato na Matumizi ya Serikali
Ndugu Wajumbe,
Tunazidi kupata mafanikio ya kutia moyo kwa upande wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali.  Makusanyo ya mapato ya kodi Mwezi Agosti 2012, kwa mfano, yalifikia shilingi bilioni554.8 ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi bilioni 147 mwezi Desemba 2005. Mafanikio haya yametokana na juhudi za dhati za Serikali katika kusimamia mabadiliko ya sera na kuimarisha mifumo na taasisi za ukusanyaji wa mapato ya kodi na mengineyo.
Kwa sababu ya kuongezeka huko kwa mapato, bajeti ya Serikali nayo imeongezeka kutokashilingi trilioni 4.13 mwaka 2005/06 hadi shilingi trilioni 15.12 mwaka huu.  Jambo linaloleta faraja ni kuwa mchango wa Serikali kutokana na bajeti hiyo nao umeongezeka kutoka shilingi trilioni 2.1 mwaka 2005 hadi trilioni 8.8 mwaka huu.  Utegemezi wa wahisani nao unaendelea kupungua kutoka asilimia 44 mwaka 2005/6 hadi 21
Ndugu Wajumbe;
Sambamba na kuongeza mapato, nidhamu, udhibiti wa matumizi ya fedha na mali za umma vinazidi kuimarika.  Hii ni kutokana na kuimarika kwa mifumo na kada ya uhasibu katika Serikali Kuu na Serikali za Mitaa.  Pia ni matokeo ya kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma.  Hati Chafu katika idara za Serikali zinaendelea kupungua katika taarifa ya ukaguzi kila mwaka.  Hivi sasa tunaelekeza nguvu zetu katika kuhakiki thamani ya fedha zilizotumika na kazi iliyofanyika au huduma iliyotolewa. 
Uwekezaji
Ndugu Wajumbe,
Serikali imechukua hatua kadhaa kuboresha mazingira ya uwekezaji na ya kufanya biashara hapa nchini.  Lengo letu ni kuvutia wawekezaji wa ndani na nje kuongeza vitega uchumi nchini na kupanua biashara ndani ya nchi na kati ya nchi yetu na nchi nyingine duniani.  Tunafanya hayo kwa kutambua ukweli kwamba uchumi unakua na kuongezeka pale ambapo uwekezaji unaongezeka.  

Takwimu zinaonyesha kwamba uwekezaji umekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka katika sekta ya utalii, viwanda, kilimo, madini, fedha,  ujenzi na sasa kwenye utafutaji wa gesi na mafuta.  Tumepata mafanikio makubwa katika utafutaji wa gesi na nchi yetu itakuwa moja ya mzalishaji mkubwa wa gesi.  Mwaka 2011, kwa mfano, kulikuwa na jumla ya miradi 826yenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 7,177 itakayozalisha ajira ya watu 79,000.  Haya ni mafanikio madogo lakini tunaweza kufanya vizuri zaidi.

Tutaendelea kutumia fursa ya kijiografia ya nchi yetu kuvutia uwekezaji na kuifanya Tanzania kuwa lango kuu la biashara na usafirishaji kwa nchi za Afrika ya Mashariki na Kati.  Ili kufanikisha hayo, tutaendelea kuboresha miundombinu ya barabara, reli, bandari, viwanja vya ndege na teknohama. 
           Miundombinu

Ndugu wajumbe;
          Moja ya vipaumbele vya juu vya Serikali ya CCM ninayoiongoza ni kuboresha miundombinu ya usafiri wa ardhini, majini na angani nchini. Tumethibitisha hayo kwa mgao wa fedha za bajeti ya Serikali ambapo miundombinu ni ya pili baada ya elimu.  Mwaka huu nishilingi trilioni 2.4, ambayo ni asilimia 16 ya bajeti ya Serikali ukilinganisha na elimu yenyetrilioni 3.6 ambayo ni sawa na asilimia 24, na afya yenye shilingi trilioni 1.5 sawa na asilimia 10ya bajeti ya Serikali. Tunafanya hivyo kwa kutambua mchango muhimu wa sekta ya usafiri kwa maendeleo ya nchi yetu na watu wake. Usafiri unapokuwa bora na wa uhakika, gharama za usafirishaji zinapungua, shughuli za uzalishaji viwandani na kilimo zinaimarika.  Ni kichocheo kikubwa cha kuibuka kwa fursa mbalimbali za uchumi na kuongeza kasi ya maendeleo na kukuza kipato cha Watanzania waliopo mijini na vijijini.

Ndugu Wajumbe;
          Tunafanya uwekezaji mkubwa katika ujenzi wa barabara kuliko wakati mwingine wo wote katika historia ya nchi yetu.  Hivi sasa  barabara zenye urefu wa kilometa 11,154 zinajengwa kwa kiwango cha lami katika sehemu mbalimbali nchini.  Tulijipa lengo la kuunganisha mikoa yote  kwa barabara za lami na barabara zote kuu ziwe za lami. 

Nafurahi kusema kuwa utekelezaji wake unakwenda vizuri.  Tumeanza kufanikiwa kuifikia ile mikoa ambayo kwa muda mrefu ilikuwa haifikiki kwa urahisi kwa kukosa barabara za lami.  Katika hotuba yangu ya tarehe 25 Juni, 2006 niliwaambia Wajumbe wa Mikoa ya Ruvuma, Rukwa, Mtwara, Kigoma na Tabora kuwa kilio chao tumekisikia.  Niliahidi kuwa ujenzi wa barabara katika Mikoa hiyo tutaipa kipaumbele.  Tumetimiza ahadi hiyo na kazi inaendelea kwa kasi na hata wenyewe ni mashahidi.  Karibu tunafikia ndoto yetu ya kwamba hakuna mkoa utakaoachwa nyuma.

Ndugu Wajumbe;
Inafurahisha zaidi  kuona kuwa zaidi ya asilimia 60 ya gharama za ujenzi wa barabara tunazojenga nchini ni fedha zetu wenyewe.   Aidha, uwezo wa  Mfuko wa Barabara (Road Fund) nao umeongezeka sana kutoka shilingi bilioni 58 mwaka 2005 hadi shillingi bilioni 430. Hali hiyo imeongeza uwezo wetu wa kujenga na kukarabati barabara mbalimbali nchini.  Kwa ajili hiyo tumeongeza bajeti ya barabara kwenye Halmashauri zote nchini.

Ndugu Wajumbe;
Pamoja na barabara, tunaendelea kuimarisha viwanja vya ndege, bandari na usafiri wa reli.    Changamoto mbalimbali zinajitokeza katika utekelezaji wa lengo letu na kubwa zaidi ikiwa ni ile ya gharama za ujenzi na ukarabati wa miundombinu kuwa kubwa mno ikilinganishwa na uwezo wetu.  Tunaendelea kuchukua hatua mbalimbali kuzikabili changamoto hizo hatua kwa hatua na tunazipunguza. 
Elimu
Ndugu wajumbe;
Tumefanikiwa kupanua sana fursa za kuwapatia elimu vijana wetu katika ngazi zote. Kuna watoto wengi katika elimu ya awali, na kwa  elimu ya msingi asilimia 97 ya watoto wenye umri wa kwenda shule wamejiandikisha. Kwa kiwango hicho, tuko mahali pazuri kufikia asilimia 100ifikapo mwaka 2015 kama ilvyoagiwa katika Malengo ya Milenia ya Umoja wa Mataifa. Kuhusu elimu ya Sekondari, wananchi na wadau wengine wameitikia wito wa Serikali wa kila Kata kuwa na shule ya sekondari. Kwa sababu hiyo idadi ya shule 3,165 zimejengwa kati ya 2005 na hivi sasa na idadi ya wanafunzi katika shule za sekondari imeongezeka kutoka 524,325 mwaka 2005 hadi 1,884,272 mwaka huu. 

Tumepanua sana mafunzo ya ufundi na elimu ya juu.  Hivi sasa nchi yetu ina vyuo vikuu27 na wanafunzi waliopo vyuoni humo ni zaidi ya 166,484 ikilinganishwa na 40,719 wa mwaka 2005.  Ili kutoa fursa sawa kwa wanafunzi wote tumeongeza sana uwezo wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ili  iwape wanafunzi wengi mikopo ya elimu.  Bajeti ya Bodi hiyo imeongezeka kutoka shilingi bilioni 56.1 mwaka 2005 hadi shilingi bilioni 306.0 mwaka huu.  Wanafunzi wanaopata mikopo wapo 93,176 ukilinganisha na 16,345 mwaka 2005.  Tutaendelea kuongeza fedha ili tuwafikie wanafunzi wengi kadri inavyowezekana.

Ndugu Wajumbe;
Upanuzi mkubwa wa elimu katika ngazi zote nchini umezua  changamoto mbalimbali  kuhusu ubora wa elimu.  Tunazitambua changamoto hizo kuwa ni pamoja na zile za upungufu wa walimu, hususan wa sayansi; upungufu wa vifaa vya maabara, vitabu na nyumba za walimu hasa kwenye maeneo ya vijijini.   Tumejipanga vyema kuzitafutia ufumbuzi na tumeanza kufanya hivyo.  Tumeongeza vyuo vinavyotoa mafunzo ya ualimu ili kuongeza idadi ya waalimu.  Bajeti ya elimu ni kubwa kuliko zote ili kusaidia kutatua tatizo la upungufu wa vitabu, maabara, vifaa vya kufundishia na nyumba za walimu na mahitaji mengineyo.  Hivi karibuni nilipokuwa Mkoani Singida nimewaagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya zote nchini kuhakikisha kuwa shule zote za sekondari katika maeneo yao zinakuwa na maabara ya sayansi katika miaka miwili ijayo.
Afya
Ndugu wajumbe;
Suala la afya ya Watanzania tunalipa umuhimu mkubwa sana. Tumeongeza bajeti ya afya kutoka shilingi bilioni 271 mwaka 2005 hadi shilingi trilioni 1.5 mwaka huu.  Nyongeza hii ndiyo iliyotuwezesha kutekeleza Sera mpya ya Afya (2007) na Mpango wa Miaka Kumi wa Maendeleo ya Afya ya Msingi (MMAM) wa kuitekeleza vyema Sera hiyo. Lengo kuu la sera na MMAM ni kuwapatia Watanzania huduma ya afya iliyo bora katika umbali usiozidi kilometa tano. Vile vile, ni kuimarisha huduma zinazotolewa katika hospitali za Wilaya, Mikoa, Kanda na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Katika mpango huu pia tumeazimia kukabili tatizo la upungufu wa madaktari, wauguzi na wataalamu wengi.  Tunaendelea kupanua mafunzo ya wataalamu hao katika vyuo vyetu hapa nchini na hata nje ya nchi.  Tumejenga na tutaendelea kujenga vyuo vipya, wakati huo huo tukipanua vilivyopo.  Tumeendelea kujenga uwezo wa kupambana na maradhi makubwa yanayoua watu wengi.  Tumeelekeza nguvu zetu kwenye maradhi yanayoambukiza kama vile malaria, UKIMWI na kifua kikuu  na yale yasiyoambukiza kama vile saratani, moyo, shinikizo la damu na vifo vya kina mama wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka mitano. 

Ndugu Wajumbe;
Kwa maradhi yote mafanikio ya dhahiri yanaendelea kupatikana.  Maambukizi ya virusi vya UKIMWI yanapungua kutoka asilimia 8 hadi asilimia 5.7, vifo kutokana na malaria vimepungua kwa asilimia 40 kwa Tanzania Bara na kwa Zanzibar tunakaribia kutangaza kufutika kwa maradhi hayo.  Tumepanua uwezo wa kutibu maradhi ya moyo ikiwa ni pamoja na kufanya upasuaji wa moyo.  Tumepanua uwezo wa kuchunguza na kutibu maradhi ya kansa.  Tunaendelea kujenga uwezo wa ndani kwa maradhi tunayopeleka wagonjwa wengi nje na mafanikio yanaaza kuonekana.  Safari ni hatua, naamini tutafika kwani mwelekeo wetu ni mzuri.
Umeme na Maji
Ndugu wajumbe;
Tunaendelea kupanua uwezo wetu wa kuzalisha na kusambaza umeme nchini.  Tumeanza safari ya uhakika ya kupunguza kutegemea mno umeme wa nguvu ya maji.  Tunapanua umeme utokanao na vyanzo vingine hasa gesi asilia na makaa ya mawe.  Mipango ya kutumia upepo na mionzi ya jua nayo iko mbioni.  Pamoja na hayo tunayo mikakati ya kupunguza umeme unaozalishwa kwa kutumia mafuta kwa kubadili mitambo hiyo iweze kutumia gesi asilia.

Hivi majuzi tu nilizindua ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.  Litakapokamilika nchi yetu itakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 3,000 na kuung’oa mzizi wa fitina wa mgao na upungufu wa umeme nchini.  Tumeendelea kuwekeza katika usambazaji wa umeme nchini jambo ambalo limetuwezesha kuwapatia umeme kwa asilimia 18.4 Watanzania kutoka asilimia 10 mwaka 2005.  Kwa kasi hii naamini tutafikia lengo la asilimia 30 ifikapo 2015.

Kwa upande wa maji, jitihada za kuwapatia wananchi maji safi na salama zinaendelea vizuri. Eneo hili lina changamoto kuu mbili.  Kwanza ni ule ukweli kwamba kuna baadhi ya maeneo ya nchi yetu hayana vyanzo vya maji karibu au hayapati mvua za kutosha au yana ukame. Katika maeneo ya aina hii upatikanaji wa maji huwa wa shida sana na hivyo kutulazimisha kujenga miradi ya maji ya bomba kutoka masafa marefu.  Changamoto yetu ya pili ni ule uwezo mdogo wa kifedha kwa miradi mingi inayohitaji pesa nyingi.  Mwaka 2006  tulianzisha Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji. 

 Kufuatia utekelezaji ulio makini wa programu ya sekta ya maji,asilimia 60 ya watu wa vijijini na asilimia 86 ya watu wa mijini wanaopata maji safi na salama.  Ni matumaini yangu kuwa tutafikia lengo letu la asilimia 65 la upatikanaji maji kwa vijijini naasilimia 90 kwa mijini ifikapo 2015. Bahati nzuri tunayo miradi ya maji inayoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini na itapokamilika tutafikia lengo letu au hata kulivuka.
Pongezi kwa Kuchaguliwa
Ndugu Wajumbe;
          Katika Mkutano huu, Ndugu Amani Abeid Karume, Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar na Ndugu Pius Msekwa, Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kwa upande wa Tanzania Bara watastaafu.  Ndiyo maana NEC imeamua kuwapendekeza kwenu Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Ndugu Philip Mangula kuchukua nafasi zao.  Napenda kuchukua nafasi hii kwashukuru kwa dhati Rais Amani Abeid Karume na Mzee Msekwa kwa kazi kubwa na nzuri waliyoifanya kunisaidia kuongoza Chama chetu.  

Wamekifanyia Chama chetu mambo mengi mazuri ambayo hatuna budi kuwapongeza na kuwashukuru.  Waliendelea kuwa walimu wangu na washauri wangu kwa mambo mengi ya Chama na nchi.  Nawashukuru sana.  Sote tuwatakie afya njema na maisha marefu.  Na tumuombe Mzee Msekwa asichoke kuandika vitabu ili hazina yake kubwa ya uzoefu na maarifa iwanufaishe wengi kwa miaka mingi ijayo.

Kwa viongozi wa Mikoa, Wilaya na Jumuiya pamoja na Wajumbe, nirudie kuwapongeza nyote kwa kuchaguliwa kwenu.  Poleni kwa magumu ya uchaguzi mliyokumbana nayo.  Sasa uchaguzi umeisha, fanyeni kazi ya kujenga Chama.  Tibuni majeraha ya uchaguzi na hasa fanyeni kila muwezalo kuziba nyufa za uchaguzi na migawanyiko miongoni mwa wanachama na viongozi.  Kumbukeni wosia wa Baba wa Taifa “Umoja ni Nguvu”  Kumbukeni kaulimbiu ya Mkutano wetu huu ya Umoja ni Ushindi!  Umoja na Ushindi!  Kajengeni umoja katika maeneo yenu ya uongozi kwa maslahi ya Chama chetu na nchi yetu. 
Hitimisho
Ndugu Wana-CCM;
          Kwa kuhitimisha naomba nirudie kusema kuwa tumepata mafanikio ya kutia moyo katika ujenzi wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 – 2015.  Bado kazi kubwa iko mbele yetu kwa mambo yote hayo mawili.  Tunaitambua na tunayo mipango thabiti ya kutekeleza majukumu yetu.  Nina imani tutafanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kufikia malengo yetu.  Tukiendelea kushirikiana tutafika.  Umoja ni Ushindi! Umoja na Ushindi

          Baada ya hotuba yangu naomba sasa nitamke kuwa Mkutano Mkuu wa Nane wa CCM umefunguliwa rasmi.

Mungu Ibariki Afrika!
Mungu Ibariki Tanzania!
          Kidumu Chama cha Mapinduzi
       Asanteni sana kwa Kunisikiliza

Popular Posts