Pages

Showing posts with label HARUSI - WEDDINGS. Show all posts
Showing posts with label HARUSI - WEDDINGS. Show all posts

Monday, November 19, 2012

BWANA JACOB FRANCIS LUKWARO NA BI. MEMA MARGARETH BEREGE WAFUNGA NDOA


 Reception ilifanyika Officers Mess - Dar es salaam
  Bwana na Bi. Jacob Francis Lukwaro wakiwa na wapambe wao.
  Wazazi wa Bwana Harusi Jacob Francis Lukwaro, Bwana na Bi. Francis Lukwaro wakifuatilia kwa makini.
Shampeniiii...
Pongezi...
Wazazi wazaa chema, mama na baba wa Mema Margareth Berege.
Show love kwa marafiki.
Wazazi wa Bwana Harusi Jacob Francis Lukwaro, Bwana na Bi. Francis Lukwaro wakitoa nasaha zao.
Bibi Harusi Mema Margareth Berege akifurahi pamoja na wageni waalikwa waliofika katika sherehe yao ya kuwapongeza mara baada ya kufunga pingu za maisha na Bwana Jacob Francis Lukwaro. Sherehe ya kuwapongeza ilifanyika katika ukumbi wa Polisi Mess Jijini Dar.
Mama yake mzazi Mema Margareth Berege akifurahia.
Cherees!!!
Wageni waalikwa wakijiachia na ngoma ya kisambaa.

Ngoma ikipamba moto.
 Ngoma ya Kipogoro ikitoa burudani.

Bwana Harusi Jacob Lukwaro akimtambulisha rafiki yake ambaye wamezaliwa siku moja mbele ya wageni waalikwa mara baada ya kufanyiwa sherehe ya kushtukizwa (Suprise Birthday). Pembeni ni mkewe Mema Margareth Berege.
 Bwana Harusi Jacob Francis Lukwaro akimlisha keki rafiki yake.
 Bibi Harusi Mema Margareth Berege akikata keki.
 Marafiki waliozaliwa siku moja wakikata keki.
 Bwana na Bibi Jacob Francis Lukwaro.
 Bwana Ally Jamal akiwa na mkewe Rehema Bavuma (kushoto) pamoja na shemeji yake Ester Ulaya.
 Bwana  Cathbert Angelo akiwa na mkewe Ester Ulaya (kulia) pamoja na shemeji yake Bi. Rehema Bavuma.
Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja.

Monday, November 12, 2012

GODFREY MONYO WA ITV ALIVYOMEREMET NA GADIOSA WA GUARDIAN


  Hatuachani tena mpaka kifo...! Bwana harusi Godfrey Monyo akiwa mwenye furaha na mkewe Gadiosa Lamtey kwenye Kanisa la Mt. Petro leo Jumamosi Novemba 10, 2012.
Kama ndoto vile...! Bi. harusi Gadiosa Lamtey (kulia) akiteta jambo na mumewe, Godfrey Monyo.
 Bwana harusi Godfrey Monyo akila kiapo
 Bibi harusi Gadiosa Lamtey akila kiapo 
 Pokea pete ya ndoa...!
Angalieni na mvitunze vyeti vyenu vya ndoa...!
Hongereni sana...! 'Bandungu' na jamaa 'bakitoa' pongezi
 
 Picha ya pamoja na wapambe
  Pozi la kumbukumbu ya wazazi na maharusi
  Maharusi wakiwa na furaha tele
Mahala pa mnuso wa sherehe ya harusi ya Monyo na mkewe Gadiosa kwenye bustani ya viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. (PICHA ZOTE: Kwa Hisani ya richard-mwaikenda.blogspot.com)

Monday, July 2, 2012

DEUSDEDIT MALULU NA DORIS KASAKA WAMEREMETA KATIKA NDOA YAO TAKATIFU

Engineer Deusdedit Malulu akiwa na mke wake kipenzi Doris Joseph Malulu, kwa pamoja wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa Takatifu jana katika kanisa la Roman Katoliki Parokia ya Mavurunza Kimara.
Engineer Deusdedit Malulu akimvisha pete ya ndoa mke wake mpenzi Doris Kasaka aliyefunga nae ndoa takatifu jana.
Familia ya Mzee Njelu Kasaka wakipiga picha ya kumbukumbu na watoto wao wapendwa Doris Kasaka Malulu na Engineer Deusdedit Malulu waliofunga ndoa takatifu jana jioni.
Maharusi kwa nyuso za furaha wakipiga picha na Mtoto wao.


Engineer Deusdedit Malulu na Mkewe Doris wakikata Keki kwa pamoja kuonyesha kuonyesha ishara ya umoja na mapendo.
Meza kuu ya Familia ya Engineer Deusdedit Malulu
Meza kuu ya Wazazi wa Doris Kasaka.


Engineer Deusdedit Malulu na Doris Kasaka walifunga ndoa takatifu katika kanisa la Katoliki Parokia ya Mavurunza Kimara jana Tarehe 30/06/2012 na baadae kwenye Sherehe ya nguvu iliyofanyka katika ukumbi wa Luxery Mbezi Mwisho.

Bwana harusi ni Mfanyakazi wa Shirika la ugavi wa Umeme (TANESCO) Makao Makuu na Bi Harusi ni mwajiriwa wa Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ZANTEL Dar es salaam.

Popular Posts