Translate - Tafsiri
Labels
- Tamko kwa Umma - Press Release
- All Photos - Picha
- CCM CHAMA CHA MAPINDUZI
- Zanzibar
- IKULU - STATE HOUSE
- Sports - Michezo
- CHADEMA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
- Dodoma
- Editorial Opinion - Maoni Tahariri
- Tanzania
- Dar es salaam
- Habari za Kimataifa - International News
- Burudani - Entertainment
- Bungeni
- Katiba - Constitution
- Dini - Religion
- Mbeya
- SMZ Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
- Vodacom
- Hotuba - Speech
- Arusha
- Iringa
- Tanzia - Msiba - Mazishi
- Afya - Health
- Ofisi ya Waziri Mkuu
- Singida
- Ajali - Accident
- Development Reports
- Morogoro
- Open Letters - Barua za Wazi
- Urembo - Beauty
- Kenya
- CUF Chama cha Wananchi
- Maonyesho ya Sabasaba
- Ofisi ya Makamu wa Rais
- Huduma za Usafiri - Transport Services
- Tanga
- Business Finance Money
- Masuala ya Elimu - Education
- Miundombinu -Infrastructure
- Mtwara
- Rukwa
- UVCCM
- Habari za Mahakamani
- Kilimanjaro
- Serengeti Breweries Limited
- Tourism - Utalii
- Habari za Nyumbani - Local News
- Jakaya Mrisho Kikwete
- Kagame Cup - Kombe la Kagame
- Katavi
- Lindi
- Nishati - Madini - Mining - Energy
- UN United Nations - Umoja Mataifa
- Yanga
- African Union - Umoja wa Afrika
- Bagamoyo
- Agriculture - Kilimo
- Azam FootBall Club
- Balozi na Ofisi za Balozi
- Baraza la Wawakilishi
- Human Rights - Haki za Binadamu
- Jeshi la Polisi Tanzania
- Kigoma
- Maonyesho ya Nane Nane
- Simba Sports Club
- Tabora
- East African Community
- HARUSI - WEDDINGS
- Kagera
- Mwanza
- Pemba
- Shinyanga
- Sumbawanga
- TFF Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
- Videos - Multimedia
- Wizara ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Kimataifa
- Wizara ya Nishati na Madini
- Afdb African Development Bank
- Airtel Tanzania
- Benki - Fedha - Uchumi
- Fiesta 2012
- GEITA
- Mafuta - Oil Issues
- Uganda
- Wizara ya Maliasili na Utalii
- BAJETI 2012 - 2013
- Burundi
- Climate Change - Mabadiliko ya Tabia Nchi
- FASHION - MITINDO - MAVAZI
- ICT Information and communications technology
- Kambi ya Upinzani
- London Olympic Games 2012
- Mambo ya Zamani - Archives
- Maonyesho ya Biashara - Trade Shows
- Mara
- Mobile - Telecoms
- NHIF National Health Insurance Fund
- Peace and Security
- Rwanda
- Sayansi na Tekinolojia
- Wizara ya Elimu na Ufundi
- Wizara ya Mambo ya Ndani
- Wizara ya Uchukuzi
- Zambia
- BOT Bank of Tanzania Benki Kuu ya Tanzania
- Events - Matukio
- Habari za Majimboni
- Mahojiano - Interview
- Makala - Articles
- Malawi
- Mkoa wa Pwani
- Musoma
- NJOMBE
- National Parks - Mbuga za Wanyama
- Ruvuma
- SONGEA
- Shirika la Nyumba laTaifa - NHC
- TBL Tanzania Breweries Limited
- Taifa Stars - Timu ya Taifa
- UDAKU UMBEYA GOSIP
- US EMBASSY - UBALOZI WA MAREKANI
- University of Dar es salaam - Chuo Kikuu cha Dar es salaam
- ABG African Barrick Gold
- BAKWATA
- Banks - Benki
- Environment - Mazingira
- Ilala
- Kilimo Kwanza
- Land and Land Grabbing Issues - Ardhi
- Love Relationships - Mapenzi Mahusiano
- MIKUTANO
- Mabondia - Boxing
- Manyara
- Miradi ya Maendeleo
- Misaada - Donations
- Mombasa
- NCCR MAGEUZI
- Nairobi
- People - Watu
- Picha ya Wiki - Photo of the Week
- Precision Air
- Procurement
- Ripoti Maalumu
- SANAA - ARTS
- Sensa ya Makazi na Watu 2012
- Sheria - Law
- Somalia
- South Africa
- South Sudan - Sudani Kusini
- Takwimu - Statistics
- Tigo
- Travel - Safari
- Ugaidi - Terrorism
- Ulinzi na Usalama - Security and Defence
- Wizara ya Afrika Mashariki
- Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
- Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo
- Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknologia
- Wizara ya Viwanda na Biashara
- Zimbabwe
Blog List
Thursday, November 8, 2012
VODACOM WAKISHIRIKIANA NA BUSINESS PARTNER WAKE FTS SERVICES LTD WAWAPELEKA WATEJA WAO KISIWA CHA MBUDYA KILICHO BAHARI YA HINDI
Wednesday, July 25, 2012
Wildebeest Migration: Kenyans are big liars
Reference is made to Daily Nation of 23rd July, 2012 that is published in Kenya under the headline “Arson halts wildebeest migration”. It was published that migration to Kenya is being blocked following fire that was set by local communities that reside in the northern part of Serengeti Game Reserve (it is a National Park and not a game reserve). However, the Management for Tanzania National Parks (TANAPA) is hereby refuting the published allegations for the following facts:
Annual calendar of migration
Usually wildebeest and zebra do cover 1000 km in their course of migration throughout the year. These migratory animals do spend very little time in Masai Mara which is almost two months of a year and the rest ten months the wildebeest do spend their time in Serengeti as it can be observed on the below scientifically proven migration calendar. These animals are too many (1.5 millions) and therefore cannot stay in one area, they must move in search of new pasture and exchanging males to avoid inbreeding. As per the annual migration calendar, it suffices to state that is not yet time of main migration to be in Masai Mara, the right time is September and October. Currently the Main migration is still on movement from Western towards Northern part of Serengeti.
Early Burning
What was intended to be published is what is known scientifically as Early Burning. The General Management Plan of Serengeti National Park has in place a Fire Management Plan which allows the practice of early burning. This is type of fire which is set early while grasses are still green is known as ‘early burning’. The fire is practiced for several reasons which include reducing number of destructive insect e.g. tsetse fly; is set to reduce amount of litter that can catalyze fire during dry season; also early burning do facilitate new forage for animals as some seeds can only germinate after been burnt and also when old grasses are burnt new one do germinates. In line with this, early burning was practiced in some parts of Northern zone namely as Wogakuria towards Nyamalumbwa plains. These areas were selected following high number of tsetse fly and large amount of litter. This excursion is being undertaken every year and has never affected phenomena of migration.
To recap the above, Tanzania National Parks wish to inform the public that the Wildebeest Migration has not been affected as claimed and that the time for the migration to cross in to the other part of Masai Mara per the migration calendar will be in September or October. Also what is happening in the northern part of Serengeti is Early Burning which has taken place in an area of not more than 0.5 square kilometers and which actually has no impact at all in wildlife movement patterns which has been practiced for years without affecting the migration which we are sure our neighbors in the other part of Serengeti who are also conservationists are aware of this.
Pascal Shelutete
Public Relations Manager
TANZANIA NATIONAL PARKS
P.O.BOX 3134
ARUSHA
Wednesday, July 18, 2012
Ministry of Natural Resources and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki at The Seattle Sounders FC in USA

Timu ya Seattle Sounders FC imetangaza ushirikiano na Tanzania, nchi ambayo ni nchi kubwa kabisa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.Ushirikiano huo ulitiwa saini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Balozi Hamis Kagasheki (Mbunge) na Mmiliki wa timu ya Seattle Sounders Joe Roth katika hafla fupi iliyofanyika jana mjini Renton.
Mbali ya Waziri Kagasheki, wengine walioshuhudia kutiwa saini kwa ushirikiano huo ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mheshimiwa Balozi Mwanaidi S. Maajar, Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania Dr. Aloyce Nzuki na maofisa wengine kutoka Wizara ya Utalii, Ubalozini na maofisa wa Seattle Sounders FC. Mambo muhimu katika ushirikiano huo ni uwekwaji wa alama za vivutio vya utalii vya Tanzania katika maeneo mbali mbali kama CenturyLink Field na Starfire Sports Complex, uwanja wa mazoezi wa Sounders FC uliopo eneo la Tukwila.
Vivutio mbali mbali vya Utalii wa Tanzania vitawekwa katika maeneo hayo kama picha za Mlima Kilimanjaro, Hifadhi za Serengeti, Ngorongoro Crater na Zanzibar.
"Ushirikiano wetu na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) utasaidia kutangaza vivutio vya Utalii vya Tanzania nje ya mipaka yake kwani kuna vivutio vya ajabu mno na kuleta unafuu kwa watalii ,” alisema Mmiliki wa timu ya Sounders FC, Joe Roth. Na kuongeza kuwa ushirikiano huo utatoa nafasi muhimu kwa soko la Utalii wa Tanzania nchi ya mipaka yake.
Waziri Kagasheki mbali ya kupongeza kwa kufanikisha hatua hiyo muhimu katika sekta ya Utalii nchini alisema kuwa ushirikiano huo utatoa fursa nyingi kwa Watanzania na Wamerekani kwani utahimarisha juhudi za Wizara ya Utalii katika kukuza soko la Utalii wa Kimataifa na wa Ndani.
Mheshimiwa Kagasheki pia alisema kuwa ushirikiano huo utatoa fursa za kibiashara kwa nchi zote mbili na kuongeza uwekezaji.
Tuesday, July 10, 2012
Four Seasons Sets Up Camp in Tanzania’s Serengeti National Park
“We have long wanted to expand into Sub-Saharan Africa and offer new outdoor adventure experiences to our guests,” says Kathleen Taylor, president and CEO,
“It’s great to be back in Africa, where each day brings a new wonder,” says Kostecky, an avid photographer with a keen sense of adventure. “This Lodge will be an excellent opportunity for first time safari travellers, families and groups to experience the natural beauty, astounding wildlife and fascinating culture of the Serengeti.”
Development in Africa and Other Ecologically Sensitive Regions
“This is the first step in a bold development project that will see three diverse
As with the company’s award-winning
About
A UNESCO World Heritage Site, Tanzania’s Serengeti National Park covers 14,763 square kilometres (5,700 square miles). The landscape features the largest concentration of plains animals in Africa, and is acclaimed for the best game drives and abundant year-round wildlife, including the famous migrating herds of wildebeest, zebra, antelope and gazelle as well as lions, leopards, cheetahs, elephants, buffalo, rhinoceros, hippopotamuses, crocodiles and abundant birdlife.
Monday, July 2, 2012
Wizara ya Maliasili na Utalii katika maonyesho ya sabasaba 2012
Tuesday, June 19, 2012
Lisa Jensen ndie Redd's Miss World Tanzania 2012


Mkurugenzi Mkuu wa Zamani wa Bodi ya Utalii Tanzania Peter J Mwenguo Afariki Dunia

Monday, June 18, 2012
Semina ya Siku Moja Kwa Viongozi wa Kidini katika Kukuza Dhana ya Utalii Kwa Wote


Thursday, May 31, 2012
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Said Ali Mbarouk Azungumza na Wadau wa Utalii Zanzibar na Kuwahakikishia Usalama Kwa Wageni
Popular Posts
-
Baraza la Madaktari Tanganyika limepokea malalamiko kutoka kwa Katibu Mkuu , Wizara y a Afya na Ustawi wa Jamii kwamba , baadhi ya Madakt...
-
Dear all - It is a pleasure to meet you. I had promised Chambi that I would send him a 1 page biosketch to share with Tanzanian students se...
-
South Sudan Vice-President to attend Business and Security Forum The Vice-President of South Sudan, HE Dr Riek Machar, will join senior mini...
-
1. MWENYEKITI TAIFA 1 Asila Ali SALIM 2 Jamal K. ALI 3 Lulu Mcham ABDALLAH 4 Lusekelo W. MALEMA 5 Mbarouk M. MBAROUK 6 Mwana Amina Haji FARU...
-
This statement outlines how we handle any personal information we obtain PataHabari is committed to respecting and protecting the privac...
-
Usomi wa ngazi mbalimbali si sifa ya mtu kufaa kuwa kiongozi, dunia katika historia yake ina majina lukuki ya baadhi ya viongozi ambao wa...
-
Tarehe 6 mwezi wa Aprili, 2012, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushauriana na kukubaliana na Rais wa Zanzibar, aliunda Tume ya ...
-
SPEECH BY H.E. HON. UHURU KENYATTA, C.G.H., PRESIDENT AND COMMANDER-IN-CHIEF OF THE DEFENCE FORCES OF THE REPUBLIC OF KENYA DURING HIS IN...
-
Neema Kumba (kushoto) akipokea fomu ya kuwania nyadhifa hizo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Oganizesheni na siasa UVCCM, Taifa, Sophia Duma, ...













