Pages

Showing posts with label Tourism - Utalii. Show all posts
Showing posts with label Tourism - Utalii. Show all posts

Thursday, November 8, 2012

VODACOM WAKISHIRIKIANA NA BUSINESS PARTNER WAKE FTS SERVICES LTD WAWAPELEKA WATEJA WAO KISIWA CHA MBUDYA KILICHO BAHARI YA HINDI


Hapa ndio Kisiwa cha Mbudya ambapo Vodacom imewapeleka wateja wake kwa ajili ya mapumziko ya week end jumamosi ya jana.
Wateja na wafanyakazi wa vodacom
Kushoto ni Steve Goyayi kutoka Stanbic Bank, wa tatu kutoka kushoto Asubisye Mwakatobe kutoka Vodacom na wengine ni baadhi ya wageni washiriki kutoka world Bank
Katikati ni Abdallah Singano kutoka Stanbic na kulia ni CEO wa MSD
Kutoka kushoto Steve Goyayi, Henry Kapinga na Abdallah Singano
Baadhi ya wafanyakazi kutoka Vodacom 
Kushoto ni Idd Mbita Mkurugenzi wa FTS Services akiwa na Joseph Kusaga CEO wa Clouds FM na TV mwenye Tshirt ya kijani.
Wateja na wafanyakazi wa vodacom wakishuka kwenye boti maalum iliyokodiwa kwa ajili yao.
Kulia ni Henry Kapinga meneja mauzo wa FTS Services ltd akipiga picha ya kumbukumbu na CEO wa Clouds Joseph Kusaga
Wadau kutoka Vodacom wakipata vinywaji ndani ya kisiwa cha Mbudya
Rosalynn kutoka vodacom akiwashukuru wateja kwa kushiriki
Idd Mbita kutoka FTS Services akiwashukuru wateja kwa kushiriki na kuwaomba tudumishe ushirikiano wetu.
Vodacom Tanzania wakishirikiana na Business Partner wake FTS Services jana waliwapeleka wateja wao katika Kisiwa cha Mbudya kilicho katika bahari ya Hindi.

Wednesday, July 25, 2012

Wildebeest Migration: Kenyans are big liars

PRESS RELEASE

Reference is made to Daily Nation of 23rd July, 2012 that is published in Kenya under the headline “Arson halts wildebeest migration”. It was published that migration to Kenya is being blocked following fire that was set by local communities that reside in the northern part of Serengeti Game Reserve (it is a National Park and not a game reserve). However, the Management for Tanzania National Parks (TANAPA) is hereby refuting the published allegations for the following facts:

Annual calendar of migration
Usually wildebeest and zebra do cover 1000 km in their course of migration throughout the year. These migratory animals do spend very little time in Masai Mara which is almost two months of a year and the rest ten months the wildebeest do spend their time in Serengeti as it can be observed on the below scientifically proven migration calendar. These animals are too many (1.5 millions) and therefore cannot stay in one area, they must move in search of new pasture and exchanging males to avoid inbreeding. As per the annual migration calendar, it suffices to state that is not yet time of main migration to be in Masai Mara, the right time is September and October. Currently the Main migration is still on movement from Western towards Northern part of Serengeti.

Early Burning
What was intended to be published is what is known scientifically as Early Burning. The General Management Plan of Serengeti National Park has in place a Fire Management Plan which allows the practice of early burning. This is type of fire which is set early while grasses are still green is known as ‘early burning’. The fire is practiced for several reasons which include reducing number of destructive insect e.g. tsetse fly; is set to reduce amount of litter that can catalyze fire during dry season; also early burning do facilitate new forage for animals as some seeds can only germinate after been burnt and also when old grasses are burnt new one do germinates. In line with this, early burning was practiced in some parts of Northern zone namely as Wogakuria towards Nyamalumbwa plains. These areas were selected following high number of tsetse fly and large amount of litter. This excursion is being undertaken every year and has never affected phenomena of migration.

To recap the above, Tanzania National Parks wish to inform the public that the Wildebeest Migration has not been affected as claimed and that the time for the migration to cross in to the other part of Masai Mara per the migration calendar will be in September or October. Also what is happening in the northern part of Serengeti is Early Burning which has taken place in an area of not more than 0.5 square kilometers and which actually has no impact at all in wildlife movement patterns which has been practiced for years without affecting the migration which we are sure our neighbors in the other part of Serengeti who are also conservationists are aware of this.

Pascal Shelutete
Public Relations Manager
TANZANIA NATIONAL PARKS
P.O.BOX 3134
ARUSHA

Wednesday, July 18, 2012

Ministry of Natural Resources and Tourism Ambassador Khamis Kagasheki at The Seattle Sounders FC in USA

Ministry Kagasheki, Dk Aloyce Nzuki and Mussa Ibahim walk across the pitch at Century Link Field in Seattle, Washington with the massive Tanzania advertising in the background
The Delegation from the Ministry of Natural Resources and Tourism & The Seattle Sounders FC meet at the Sounders Training Facility Veronica Ufunguo - Tourism Manager - Ngorongoro Shaun Angell - Account Executive, Seattle Sounders FC/Seattle SeahawksDr. Aloyce K. Nzuki - Managing Director Tanzania Tourism BoardTaylor Graham - Manager of Business Operations, Seattle Sounders FCLuke Grothkopp - Director, Partnership Development, Seattle Sounders FC/Seattle SeahawksHonorable Ambassador Khamis Kagasheki - Minister for Natural Resources and TourismRon Jenkins - Vice President, Corporate Sponsorships - Seattle Sounders FC / Seattle Seahawks Egidius Mweyunge - Assistant to Minister KagashekiIbrahim Mussa - Director of Tourism - Ministry of Natural Resources and Tourism Johnson Manase - Tourism Manager - TANAPADeo Malogo - Tourism Manager
--
Na Mwandishi Wetu, Renton, Washington.

Timu ya Seattle Sounders FC imetangaza ushirikiano na Tanzania, nchi ambayo ni nchi kubwa kabisa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.Ushirikiano huo ulitiwa saini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Balozi Hamis Kagasheki (Mbunge) na Mmiliki wa timu ya Seattle Sounders Joe Roth katika hafla fupi iliyofanyika jana mjini Renton.


Mbali ya Waziri Kagasheki, wengine walioshuhudia kutiwa saini kwa ushirikiano huo ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mheshimiwa Balozi Mwanaidi S. Maajar, Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania Dr. Aloyce Nzuki na maofisa wengine kutoka Wizara ya Utalii, Ubalozini na maofisa wa Seattle Sounders FC.
Mambo muhimu katika ushirikiano huo ni uwekwaji wa alama za vivutio vya utalii vya Tanzania katika maeneo mbali mbali kama CenturyLink Field na Starfire Sports Complex, uwanja wa mazoezi wa Sounders FC uliopo eneo la Tukwila.

Vivutio mbali mbali vya Utalii wa Tanzania vitawekwa katika maeneo hayo kama picha za Mlima Kilimanjaro, Hifadhi za Serengeti, Ngorongoro Crater na Zanzibar.

"Ushirikiano wetu na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) utasaidia kutangaza vivutio vya Utalii vya Tanzania nje ya mipaka yake kwani kuna vivutio vya ajabu mno na kuleta unafuu kwa watalii ,” alisema Mmiliki wa timu ya Sounders FC, Joe Roth. Na kuongeza kuwa ushirikiano huo utatoa nafasi muhimu kwa soko la Utalii wa Tanzania nchi ya mipaka yake.


Waziri Kagasheki mbali ya kupongeza kwa kufanikisha hatua hiyo muhimu katika sekta ya Utalii nchini alisema kuwa ushirikiano huo utatoa fursa nyingi kwa Watanzania na Wamerekani kwani utahimarisha juhudi za Wizara ya Utalii katika kukuza soko la Utalii wa Kimataifa na wa Ndani.

Mheshimiwa Kagasheki pia alisema kuwa ushirikiano huo utatoa fursa za kibiashara kwa nchi zote mbili na kuongeza uwekezaji.

Tuesday, July 10, 2012

Four Seasons Sets Up Camp in Tanzania’s Serengeti National Park

Four Seasons Hotels and Resorts has signed a long term management agreement with the owners of Bilila Lodge, a resort in the Serengeti National Park, and is now operating the property, which will be upgraded and renamed Four Seasons Safari Lodge Serengeti, Tanzania in fall 2012.

“We have long wanted to expand into Sub-Saharan Africa and offer new outdoor adventure experiences to our guests,” says Kathleen Taylor, president and CEO, Four Seasons Hotels and Resorts. “Now, we’re thrilled to have an outstanding location and partners who share our vision to create a world class lodge like no other in the heart of Africa’s finest safari region.”

Four Seasons veteran James Kostecky has been appointed General Manager as the property transitions to Four Seasons Safari Lodge Serengeti. Most recently General Manager at Four Seasons Resort Chiang Mai and Four Seasons Tented Camp Golden Triangle in Thailand, he has previous experience in Kenya with a hotel group based in Nairobi.

“It’s great to be back in Africa, where each day brings a new wonder,” says Kostecky, an avid photographer with a keen sense of adventure. “This Lodge will be an excellent opportunity for first time safari travellers, families and groups to experience the natural beauty, astounding wildlife and fascinating culture of the Serengeti.”

Development in Africa and Other Ecologically Sensitive Regions

“This is the first step in a bold development project that will see three diverse Four Seasons experiences in what are considered to be three of the most important and attractive destinations in Tanzania,” says Scott Woroch, executive vice president worldwide development at Four Seasons. “The responsibility of taking over such as irreplaceable asset within the Serengeti National Park is one that we take very seriously. This is an extremely rare opportunity forFour Seasons in that no other property of this size or scale exists, or is likely to ever be developed again in the Park. With the future development of a luxury tented safari camp in the Ngorongoro Conservation Area and an exclusive beach resort on the island of Zanzibar, Four Seasons will offer some of the finest holiday experiences in Tanzania.”

As with the company’s award-winning Four Seasons Tented Camp Golden Triangle in Thailand, Four Seasons in Tanzania will offer guests opportunities to get close to wildlife in a safe and ecologically responsible environment while still being pampered in a lodge set amid unspoiled wilderness.

About Four Seasons Safari Lodge Serengeti, Tanzania

A UNESCO World Heritage Site, Tanzania’s Serengeti National Park covers 14,763 square kilometres (5,700 square miles). The landscape features the largest concentration of plains animals in Africa, and is acclaimed for the best game drives and abundant year-round wildlife, including the famous migrating herds of wildebeest, zebra, antelope and gazelle as well as lions, leopards, cheetahs, elephants, buffalo, rhinoceros, hippopotamuses, crocodiles and abundant birdlife.

Four Seasons Safari Lodge Serengeti is located in the Central Serengeti, entirely within the Park. The property boasts 60 rooms, 12 suites and 5 villas – all of which have direct views over the Serengeti. Designed with contemporary African architecture sympathetic to the natural landscape, the centrepiece is a two-story great house, including several dining options with indoor and outdoor seating, a Spa and an infinity-edge swimming pool overlooking an active watering hole. Guests have the opportunity to witness nature at its best, day or night, including a herd of nearly 30 elephants that are frequent visitors. Elevated wooden walkways connect the great house to guest rooms, free-standing villas and the Spa complex.

Monday, July 2, 2012

Wizara ya Maliasili na Utalii katika maonyesho ya sabasaba 2012

Mwonekano wa Banda la Wizara ya maliasili na utalii katika maonesho ya 36 ya biashara ya kimataifa Dar es Salaam mwaka huu.

Hapa ni mapokezi.






Tuesday, June 19, 2012

Lisa Jensen ndie Redd's Miss World Tanzania 2012

Lissa Jensen
Lisa Jensen ndie mrembo ambaye atakayeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2012 yanayotarajiwa kufanyika tarehe 18 August huko Ordos,Inner Mongolia,China katika ukumbi wa Dongsheng Fitness Center Stadium.Mashindano ya dunia ya urembo mwaka huu ni mashindano ya 62 kufanyika.

Mkurugenzi Mkuu wa Zamani wa Bodi ya Utalii Tanzania Peter J Mwenguo Afariki Dunia

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania Bwana Peter J Mwenguo
--
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania Bwana Peter J Mwenguo amefariki dunia tarehe 18 Juni 2012 saa nne asubuhi katika Hospitali ya Muhimbili .
Bwana Peter Mwenguo aliajiriwa na Bodi ya Utalii tarehe 22 0ktoba 1993 kama Mkurugenzi wa Masoko na kupandishwa cheo kuwa Mkurugenzi Mwedeshaji kuanzia tarehe 6 Februari, 1999 mpaka tarehe 22 Oktoba, 2008 alipostaafu kwa mujibu wa sheria na baadaye kufanya kazi kwa mkataba hadi tarehe 20 Desemba 2009. Bwana Peter. Mweguo amefanya kazi Bodi ya Utalii zaidi ya miaka 15.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake katika Magorofa ya TRA, Mwenge, Dar-es-Salaam. Taarifa kuhusu siku na mahali pa Mazishi zitatolewa baadaye.

Mungu ailaze roho ya marehemu Bwana Peter Mweguo mahali pema peponi ! Amen

Monday, June 18, 2012

Semina ya Siku Moja Kwa Viongozi wa Kidini katika Kukuza Dhana ya Utalii Kwa Wote

Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akitoa hutuba yake katika ufunguzi wa semina ya siku moja kwa Viongozi wa kidini katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,iliyofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo,(kulia) Msahauri wa Rais masuala ya Utalii, Issa Ahmed Othman,na Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo, Said Ali Mbarouk,(kushoto) Katibu mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Ali Halil Mirza.
Baadhi ya Viongozi wa madhehebu mbali mbali ya kidini wa Mkoa wa Mjini Magharibi wakisikiliza kwa makini hotuba ua ufunguzi wa semina ya siku moja ya Viongozi wa kidini katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,iliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo.Picha na Ramaadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

Thursday, May 31, 2012

Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Said Ali Mbarouk Azungumza na Wadau wa Utalii Zanzibar na Kuwahakikishia Usalama Kwa Wageni

Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk, akizungumza na Wadau wa Utalii Zanzibar na kuwahakikishia usalama kwa Wageni wanaokuja kuitembelea Zanzibar na kuimarisha hali ya ulinzi na kuendelea amani na utulivu uliokuwekwe na utaendelea kuwepo wasiwe na wasiwasi na wageni wao wakati wakiwa katika safari zao za kitalii. mazungumzo hayo yamefanyika katika Ukumbi mdogo wa Salama Bwawani.
Wadau wa Utalii Zanzibar
Maofisa wa Ubalozi wa Marekani na Uingereza na Wadau wa Utalii wakimsikiliza Waziri Mbarouk alipokutana nao kuwahakikishia hali ya Amani na Utulivu kwa Wageni na Wananchi wa Zanzibar.

Popular Posts