Translate - Tafsiri
Labels
- Tamko kwa Umma - Press Release
- All Photos - Picha
- CCM CHAMA CHA MAPINDUZI
- Zanzibar
- IKULU - STATE HOUSE
- Sports - Michezo
- CHADEMA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
- Dodoma
- Editorial Opinion - Maoni Tahariri
- Tanzania
- Dar es salaam
- Habari za Kimataifa - International News
- Burudani - Entertainment
- Bungeni
- Katiba - Constitution
- Dini - Religion
- Mbeya
- SMZ Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
- Vodacom
- Hotuba - Speech
- Arusha
- Iringa
- Tanzia - Msiba - Mazishi
- Afya - Health
- Ofisi ya Waziri Mkuu
- Singida
- Ajali - Accident
- Development Reports
- Morogoro
- Open Letters - Barua za Wazi
- Urembo - Beauty
- Kenya
- CUF Chama cha Wananchi
- Maonyesho ya Sabasaba
- Ofisi ya Makamu wa Rais
- Huduma za Usafiri - Transport Services
- Tanga
- Business Finance Money
- Masuala ya Elimu - Education
- Miundombinu -Infrastructure
- Mtwara
- Rukwa
- UVCCM
- Habari za Mahakamani
- Kilimanjaro
- Serengeti Breweries Limited
- Tourism - Utalii
- Habari za Nyumbani - Local News
- Jakaya Mrisho Kikwete
- Kagame Cup - Kombe la Kagame
- Katavi
- Lindi
- Nishati - Madini - Mining - Energy
- UN United Nations - Umoja Mataifa
- Yanga
- African Union - Umoja wa Afrika
- Bagamoyo
- Agriculture - Kilimo
- Azam FootBall Club
- Balozi na Ofisi za Balozi
- Baraza la Wawakilishi
- Human Rights - Haki za Binadamu
- Jeshi la Polisi Tanzania
- Kigoma
- Maonyesho ya Nane Nane
- Simba Sports Club
- Tabora
- East African Community
- HARUSI - WEDDINGS
- Kagera
- Mwanza
- Pemba
- Shinyanga
- Sumbawanga
- TFF Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania
- Videos - Multimedia
- Wizara ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Kimataifa
- Wizara ya Nishati na Madini
- Afdb African Development Bank
- Airtel Tanzania
- Benki - Fedha - Uchumi
- Fiesta 2012
- GEITA
- Mafuta - Oil Issues
- Uganda
- Wizara ya Maliasili na Utalii
- BAJETI 2012 - 2013
- Burundi
- Climate Change - Mabadiliko ya Tabia Nchi
- FASHION - MITINDO - MAVAZI
- ICT Information and communications technology
- Kambi ya Upinzani
- London Olympic Games 2012
- Mambo ya Zamani - Archives
- Maonyesho ya Biashara - Trade Shows
- Mara
- Mobile - Telecoms
- NHIF National Health Insurance Fund
- Peace and Security
- Rwanda
- Sayansi na Tekinolojia
- Wizara ya Elimu na Ufundi
- Wizara ya Mambo ya Ndani
- Wizara ya Uchukuzi
- Zambia
- BOT Bank of Tanzania Benki Kuu ya Tanzania
- Events - Matukio
- Habari za Majimboni
- Mahojiano - Interview
- Makala - Articles
- Malawi
- Mkoa wa Pwani
- Musoma
- NJOMBE
- National Parks - Mbuga za Wanyama
- Ruvuma
- SONGEA
- Shirika la Nyumba laTaifa - NHC
- TBL Tanzania Breweries Limited
- Taifa Stars - Timu ya Taifa
- UDAKU UMBEYA GOSIP
- US EMBASSY - UBALOZI WA MAREKANI
- University of Dar es salaam - Chuo Kikuu cha Dar es salaam
- ABG African Barrick Gold
- BAKWATA
- Banks - Benki
- Environment - Mazingira
- Ilala
- Kilimo Kwanza
- Land and Land Grabbing Issues - Ardhi
- Love Relationships - Mapenzi Mahusiano
- MIKUTANO
- Mabondia - Boxing
- Manyara
- Miradi ya Maendeleo
- Misaada - Donations
- Mombasa
- NCCR MAGEUZI
- Nairobi
- People - Watu
- Picha ya Wiki - Photo of the Week
- Precision Air
- Procurement
- Ripoti Maalumu
- SANAA - ARTS
- Sensa ya Makazi na Watu 2012
- Sheria - Law
- Somalia
- South Africa
- South Sudan - Sudani Kusini
- Takwimu - Statistics
- Tigo
- Travel - Safari
- Ugaidi - Terrorism
- Ulinzi na Usalama - Security and Defence
- Wizara ya Afrika Mashariki
- Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
- Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo
- Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknologia
- Wizara ya Viwanda na Biashara
- Zimbabwe
Blog List
Wednesday, July 18, 2012
Kampuni ya African Barrick Gold yatoa Msaada wa Chakula Shinyanga na Geita
Saturday, July 14, 2012
KUHUSU MAFAO YA PENSHENI KATIKA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA MIFUKO
Ufuatao ni ufafanuzi mfupi kuhusu ombi lililotolewa na Katibu wa Tamico
(Geita) kuhusu marekebisho ya Sheria za Mifuko hasa kuhusu mafao
· Ni kweli kuwa Sheria za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na
Sheria ya Mamlaka zimefanyiwa marekebisho na kupitishwa na Bunge tarehe 13
Aprili, 2012. Sheria hiyo tayari imeshasaininiwa na Mheshimiwa Rais na
imeanza kutumika rasmi. Marekebisho haya yanawahusu wafanyakazi wote nchini
mwetu bila kubagua sekta yoyote ile.
· Kwa mujibu wa marekebisho hayo mafao ya kujitoa (withdrawal
benefits) yamefutwa na kuanzia sasa hayatakuwepo. Mafao hayo yalikuwa
yanatolewa pale mwanachama alipokuwa anaacha kazi. Sasa mwanachama wa Mfuko
atapata mafao yake pale atakopfikisha umri wa kustaafu kwa hiari (miaka
55) au kwa lazima (miaka 60).
· Marekebisho hayo kuhusu kuzuia mafao ya kujitoa yamefanyika ili
kutimiza lengo na madhumuni ya hifadhi ya jamii ambayo ni kuhakikisha kuwa
mwanachama anapostaafu anapata mafao bora yatakayomwezesha kumudu maisha ya
uzeeni wakati ambapo nguvu ya kufanya kazi tayari imeshamwishia. Mafao ya
kujitoa yanapunguza kama si kuondoa kabisa kinga hii ya mfanyakazi
anapofika uzeeni.
· Tunawaomba muwaelimishe wafanyakazi umuhimu na madhumuni ya mafao
ya hifadhi ya jamii. Hifadhi ya jamii ni nyenzo mahususi iliyowekwa
kuwasaidia wafanyakazi kuendesha maisha yao wakati wanapokuwa wameishastaafu
tayari. Umasikini wa kipato wakati wa uzee ni mojawapo ya changamoto ngumu
kukabiliana nazo kwa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Tunawasihi tena
muelimishe wafanyakazi kuhusu jambo hili. Tafadhali msisite kuwasiliana na
Mamlaka pale ufafanuzi zaidi utakapohitajika
· Kwa kuwa marekebisho hayo yamesainiwa na kuanza kutumika rasmi
kama sheria, mafao ya kujitoa hayawezi kutolewa tena na wafanyakazi
watakaoacha kazi kwa sababu ya marekebisho ya kipengele hicho watakuwa
hawajaijitendea haki wao wenyewe na pia itakuwa ni kunyume cha Sheria.
Mamlaka inaandaa kanuni za mafao ambayo lengo lake ni kuboresha maslahi ya
wanachama, kanuni hizo zitajadiliwa na wadau wakiwemo vyama vya wafanyakazi
na waajiri ili kupata maoni yao.
· Tunapenda kuwahakikishia kwamba katika hili maslahi ya wanachama
yatalindwa na hakuna mwanachama atakayepunjika kutokana na utaratibu huo.
Imetolewa na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii.
KWA UFAFANUZI HUU TOKA MAMLAKA HUSIKA,
(i) Hakuna shaka kwamba sheria tayari imeaanza kutumika.
(ii) Hakuna shaka kwamba Bunge na Serikali wamekaa kimya kwa sababu wanajua
kwamba sheria waliyotunga na kupitisha ni pigo kwa wafanyakazi hawa wa
sekta binafsi hasa ukizingatia kwamba
- sekta binafsi ndo wachangiaji wakubwa wa mifuko hiyo.
- Usalama wa Ajira wa wafanyakazi wa sekta binafsi ni asilimia zero maana
waajiri wamekuwa wakiwafukuza kama Popo au senene.serikali hajaiweka kinga
madhubuti kwa wafanyakazi hawa.sheria ya kazi iliopo inawasaidia zaidi
waajiri.
- Mazingira ya kazi kwa sekta binafsi sio rafiki kwa afya na usalama wa
wafanyakazi.Hivi unategemea kijana aliye na miaka 25 kwa sasa na anafanya
kazi migodini,viwanda vya chuma,Ujenzi NK afanye kazi hadi astaafu kwa
mazingira haya? NADHANI HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI KWA WATU TULIOWAPA DHAMANA
KUBWA NA HILI NASEMA HALIKUBALIKI HATA KIDOGO!!!!!!!!!!!!!!!!!
NINI KIFANYIKE?
TUNASUBIRI MAJIBU TOKA SERIKALINI NA BUNGENI
Kama kweli wametunga na kupitisha sheria hii kandamizi,nasema kitu hiki
hakikubaliki hata kidogo.Nguzo ya wafanyakazi ni UMOJA NA
MSHIKAMANO.Wafanyakazi wote sekta binafsi tutapiga kura ya maoni kukataa
sheria hii kisha tutapeleka suala hili mahakamani na iwapo mahakama itaamua
ndivyo sivyo nadhani hatua itakayofuata ni kuprotest against this ACT.
Nimeguswa sana na Jambo hili kwa sababu Sheria hii imetungwa kukandamiza
masilahi ya wafanyakazi wanyonge wa nchi hii na kwa pamoja tutahakikisha
sheria hii inafutwa hata kama watatu Kolimba,mwakyembe,ulimboka NK.
MSHIKAMANO DAIMA - SOLIDARITY FOREVER
Benjamin Daudi Dotto
Katibu wa Tamico wilaya ya Geita,
SLP 335,
Geita – Tanzania.
Simu: ofisi +255 774 866635
Simu:mkononi + 255 767 715116 alt.+255 784 715116
Monday, July 2, 2012
ATEKELEZA FAMILIA BAADA YA MKE KUJIFUNGUA WATOTO WANAOFANANA NA NYANI.





Tuesday, June 26, 2012
TBL YAKAGUA MRADI WA MAJI WA SH. MIL. 25 GEITA
Popular Posts
-
South Sudan Vice-President to attend Business and Security Forum The Vice-President of South Sudan, HE Dr Riek Machar, will join senior mini...
-
Tarehe 6 mwezi wa Aprili, 2012, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushauriana na kukubaliana na Rais wa Zanzibar, aliunda Tume ya ...
-
Baraza la Madaktari Tanganyika limepokea malalamiko kutoka kwa Katibu Mkuu , Wizara y a Afya na Ustawi wa Jamii kwamba , baadhi ya Madakt...
-
RIPOTI YA TUME YA KUCHUNGUZA AJALI YA KUZAMA M. V. SPICE ISLANDER I SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI 1.1 CHIMBUKO Usiku wa kuamkia tarehe 10...
-
This statement outlines how we handle any personal information we obtain PataHabari is committed to respecting and protecting the privac...
-
1. MWENYEKITI TAIFA 1 Asila Ali SALIM 2 Jamal K. ALI 3 Lulu Mcham ABDALLAH 4 Lusekelo W. MALEMA 5 Mbarouk M. MBAROUK 6 Mwana Amina Haji FARU...
-
Usomi wa ngazi mbalimbali si sifa ya mtu kufaa kuwa kiongozi, dunia katika historia yake ina majina lukuki ya baadhi ya viongozi ambao wa...
-
YAH: UTEUZI WA KUJAZA NAFASI YA UONGOZI KATIKA WIZARA YA UCHUKUZI Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Eng. Omar A. Chambo kwa Mamlaka a...
-
Mwananchi wa Kijiji cha Jambiani akiwasilisha maoni yake kwa njia ya Barua kwa Tume. Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wak...
-
Wachezaji wa timu ya mashabiki wa timu ya Manchester City ya Uingereza wakichuana vikali na mchezaji wa timu ya mashabiki wa timu ya Real...