Pages

Friday, July 6, 2012

ZIARA YA CHADEMA JIMBO LA IRAMBA MAGARIBI

Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;

1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na Taratibu za ufunguaji Akaunti nje ya nchi
4. Uhusika wa Wafanyakazi wa BoT na wizi wa pesa za EPA
5. Uhusika, usaidizi, ushauri wa kitaalamu wa wafanyakazi wa BOT uliosaidia kuibwa kwa Fedha za EPA
6. Ushauri Mbovu wa masuala ya Uchumi katika kipindi cha 2006 - 2010 ndani ya BoT
7. Ugumu wa maisha ya wananchi wa Iramba Mangaraibi, suluhisho la Matatizo yao.
8. Matatizo ya Elimu katika Jimbo la Iramba Magharibi,
9. Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,
10. Serekali kushindwa kushughulikia Mauaji ya Raia baada ya uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki.
11. Hali ya Uchumi ya Nchi.

Wazungumzaji Wakuu:

1. Freeman Mbowe
2. Mchungaji Msigwa - Kiongozi wa Ziara
3. Mh. John Mnyika - Katibu wa Ziara
4. Dr. Wilbrod Silaa
5. Godbless Lema
6. Halima Mdee
7. Joshua Nassari
8. Mh. Wenje

Wazungumzaji Huru.

1. Ma Profesa wawili wa Uchumi - Chuo Kikuu Dar - Es - Salaam
watatoa elimu kwa umma kuhusu Uchumi na utekelezaji wa Mipango ya Taifa - Majina yanahifadhiwa kwa sasa.

2. Wanaharakati Mashuhuri Wawili - Majina yanahifadhiwa kwa sasa
3. Uongozi wa TAMWA - Taifa
4. Aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Igunga
5. Mume wa Mwanamke aliyefumaniwa na kiongozi wa Juu wa CCM Igunga
6. Baba mzazi wa Kijana aliyekutwa amekufa Igunga mara baada ya Kampeni
6. Wazazi na Mke wa Kiongozi wa Chadema aliyeuwawa Arumeru mara baada ya Uchaguzi
7. Wazazi wa Vijana Wanne waliouwawa kwa kuvunjwa Shingo na kutupwa Jimbo la Arumeru Mashariki
8. Viongozi wa Dini kuu mbili za Kiislam na Kikristo
9. RPC Mstaafu
10. Ungozi wa Kitaifa LHRC (Haki za Binadamu) Tanzania
11. UONGOZI WA KITAIFA - TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA (THBUB)
12. Kiongozi wa wazee wa Iramba.

KAZI HII ITAKUWA NI YA MWEZI MMOJA.





MUWAZA yaipongeza JUMIKI

Kwa Uongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu( JUMIKI)
S.L.P 1266
Mkunazini-Zanzibar
E-Mail: jumiki@hotmail.com

Assalama Aleikum,

Kuhusu:
Mkakati

Kwa niaba ya Wanachama wa Jumuiya ya Mustakbal wa Zanzibar (MUWAZA),
Muungano wa Wazanzibari ng’ambo, tunaipongeza Jumuiya ya JUMIKI
kwa uamuzi wa kijasiri na kishujaa wa Viongozi wake kushiriki pamoja na
Wazanzibari wenziwao wote katika mchakato wa kutafuta katiba mpya ya
Tanzania na kukataa katakata suala zima la kususia zoezi hilo. MUWAZA
inakubaliana kwamba ususiaji wa namna yeyote wa zoezi hilo utatoa mwanya
unaotakiwa na Watu wasioitakia mema Zanzibar, na ambao wanaweza
kuutumia mwanya huo kujifanya wao ndio wasemaji pekee halali wa
Wazanzibari. Ni kushiriki kwa wingi na kikamilifu katika kutoa maoni mbele ya
tume hiyo ya Jaji Warioba ndipo wananchi wa Zanzibar wataweza kudhihirisha
hadharani chaguo gani wanalitaka kuhusu mustakbali wa maisha yao ya
baadae ndani ya Zanzibar. Hii ni fursa nzuri na ya nadra ambapo Wazanzibari
wataweza kurejesha heshima ya nchi yao na ya Viongozi wao.

Hata hivyo, MUWAZA inawashauri Viongozi wa JUMIKI, kama inavowashauri
ndugu zetu Wazanzibari, kwamba fursa hii ya mchakato wa katiba
mpya itumike kwa amani na ustaarabu wa kizanzibari unaothaminiwa duniani
kote wa kustahamilia kila mmoja wetu maoni ya mwenzake, hata kama
hakubaliani nayo, kikubwa kabisa ni kuweka maslahi ya juu kabisa ya visiwa
vya Zanzibar na wengi wa watu wake.

MUWAZA, kama ilivyo JUMIKI, pamoja na Wazanzibari wote wanaopenda
amani na maendeleo ya visiwa vyao, kwa nguvu zote unapinga kabisa
matumizi ya nguvu na mabavu dhidi ya wananchi, bila ya kujali kama vitendo
hivyo vinafanywa na taasisi za dola, vyama vya kisiasa, jumuiya yeyote au
mtu mmoja mmoja binafsi. Tunasisitiza haja ya vyombo vya dola, Vyama
vya kisiasa, Jumuiya za kiraia na Wananchi kwa jumla kutetea na kuheshimu
amani ya nchi, uhuru wa watu wote kuweza kutoa maoni yao na kukusanyika
kwa njia huru, bila ya vizuwizi na vikwazo, mradi wanaambatana na sheria na
kulinda amani.

MUWAZA inaamini zoezi la kuwaelimisha Wananchi juu ya haki zao za
kikatiba na kuwazindua juu ya sheria ambazo hazitekelezwi vilivyo kama
ilivokusudiwa, hivyo kupelekea wananchi kukandamizwa na kupoteza haki
zao za kimsingi, ni harakati endelevu isiokuwa na kiwango cha wakati
na kipindi. Hivyo, tunakubali kwamba ni juu ya dola kuweka mazingira
mazuri kwa jambo hilo kufanyika. Ni imani ya MUWAZA kwamba wananchi
wanapozidi kuwa na mwamko zaidi wa kutambua haki zao na kuelewa
namna ya kuzipigania kwa njia ya amani, pamoja na kuelewa namna nchi yao
inavotawaliwa na inavofaa kutawaliwa siku za mbele ni faida kwa nchi yetu na
maendeleo yake.

MUWAZA inakubaliana nanyi kwamba kuna mambo kadha ya dhuluma ndani
ya Muungano, kama ulivo sasa, kwamba Muungano huo umekuwa zaidi
wa kiserikali. Hivyo iko haja ya kuuimarisha zaidi Muungano wa Kijamii na
kuondosha dhuluma zilizokuweko mnamo miaka 48 iliopita.

Kama ilivyo JUMIKI, MUWAZA imelikaribisha kwa tamko la Mheshimiwa
Jaji Warioba alilolitoa mbele ya Waandishi wa habari alipoizindua Tume ya
kukusanya maoni juu ya katiba mpya mjini Dar es Salaam tarehe 18/06/
2012 kwamba maoni yote yataheshimiwa na kuzingatiwa, likiwemo suala la
Muungano ambalo kwa Wazanzibari ndilo suala muhimu.

Pia MUWAZA inatarajia, kutokana na watu waliomo ndani ya Tume ya
Jaji Warioba, kwamba uadilifu, haki na uwazi utaoneshwa katika zoezi
la kukusanya maoni ya Wananchi, maoni ya wananchi walio wengi
yataheshimiwa na tume na baadae na Serikali ya Muungano wa Tanzania
na ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Tunaitarajia Tume ya Warioba na
Serikali zote mbili zitahakikisha watu wanatoa maoni yao bila ya kutishwa
waseme nini mbele ya Tume, kwamba hawataadhibiwa kwa namna yeyote
juu ya usalama na ajira zao baada ya kutoa maoni yao mbele ya tume.
Tunawahimiza Wazanzibari waseme wazi, tena kwa midomo mipana, pindi
wanatiwa hofu ya aina yeyote wakati wa zoezi hilo.

Kama ilivyo JUMIKA, MUWAZA inatoa mwito kwa Wazanzibari wote waungane
kwa kauli moja ya kurejesha heshima ya rais wa Zanzibar na nchi yao, na
kwamba chimbuko la mamlaka maisha libakie ndani ya mikono ya wananchi.

MUWAZA inapinga vikali vitendo vyovyote vya kuwabeza Wazanzibari
wanaopinga mfumo ulioibakisha nchi yao nyuma kwa miaka na kuwabakisha
wananchi wake wengi katika ufukara na maendeleo duni katika nyanja za
elimu, afya na huduma nyingine za kijamii.

Tunawatakia Wazanzibari kila la kheri, amani na maendeleo, na hayo
yatafikiwa tu ikiwa wenyewe Wazanzibari, katika mazingira yalio huru na ya
amani, watafanya maamuzi sahihi kwa pamoja katika kipindi hiki muhimu cha
historia ya nchi yao.

Iiishi Zanzibar.

Mwenyekiti
Jumuiya ya MUWAZA

JINSI YA KUTUMIA FEDHA KIDOGO KWA MAFANIKIO

Watu wengi husindwa kubana matumizi kutokana na kukosa elimu ya jinsi ya kutumia pesa. Baadhi wamesoma na wengine wanaendelea kusoma masomo mbalimbali yanayohusu pesa na wanahitimu vizuri, lakini wanapokuja katika uhalisia wa maisha wanajikuta wanafeli vibaya kutokana na kutoutambua umuhimu wa kuwa na nidhamu ya pesa.

Msomaji wangu nikupe dondoo kadhaa ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kukusaidia katika kubana matumizi na hatimaye hata kama kipato chako ni kidogo, kikakidhi mahitaji yako muhimu na pia kukawepo na ziada.

Usipendelee kukopa
Kuna watu wengi sana wanaishi kwa kukopa kopa vitu madukani na kwa watu. Mtindo huu ni mbaya sana kwa ukadiriaji wa matumizi, kwani haumtii uchungu mkopaji hadi pale atakapokuwa analipa. Mara nyingi ukopaji huongeza gharama, hivyo inashauriwa ukiwa na 5,000 itumie hiyo, bila kutafuta ziada kwenye deni.

Kuwa na bajeti ndogo
Katika maisha pendelea kupanga bajeti yako kwa mafungu madogo madogo hasa ya wiki. Usivuke mipango hiyo kwa kutumia bajeti ya wiki inayofuata.

Usitembee na pesa nyingi
Baadhi ya watu wanapenda kutembea mitaani huku wakiwa na pesa nyingi mifukoni. Fahamu kuwa kutembea na pesa usizozipangia bajeti utajikuta unashawishiwa kuzitumia bila mpango.

Hata hivyo, unashauriwa kujenga tabia ya kukaa nyumbani na familia yako na kama utatoka siku za mwisho wa wiki basi weka bajeti ya kiasi ambacho utakitumia. Kitendo cha kutoka huku ukiwa na fedha nyingi kwenye pochi lako ni kujishawishi kufanya matanuzi yasio na msingi.

Epuka kununua vitu kwa rejareja!
Unapopata mshaara wako au unapofikiria kuhusu matumizi ya nyumbani kwako pendelea sana kununua vitu kwa jumla ambavyo utavitumia kwa mwezi mzima. Epuka kununua vipimo vidogo vidogo kwani vinaumiza na kuvuruga bajeti.

Pika chakula nyumbani kwako
Watu wengi hasa vijana wanapenda sana kula kwenye migahawa na hotelini. Ulaji huu ni ghali, hivyo inashauriwa kila mtu ajipikie chakula chake nyumbani. Hii itamsaidia kutumia pesa kidogo katika suala la chakula.

Ifundishe familia nidhamu ya pesa
Kuna watu hawawafundishi watoto na wake zao nidhamu ya matumizi ya pesa. Mume/mke asinunue vitu ambavyo familioa haikuzitengea bajeti na asiwepo mtumia hovyo vitu vilivyonunuliwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

Akiba na mipango ni muhimu
Familia lazima ijiwekee akiba benki. Utunzaji wa pesa nyumbani si wa salama na mara nyingi hushawishi matumizi. Aidha unapoweka feda benki ziwekee malengo amambo utakuwa ukiyatimiza taratibu si mpaka pesa hizo ziwe nyini.

Kuwa na familia ndogo
Ingawa ni hali halisi ya maisha ya kiafrika kwa familia moja kuwa na watu wengi lakini inashauriwa kwamba, ili kupata ziada ya kipato lazima familia iwe ndogo, vinginevyo mshahara wote unaweza kutumika kwa chakula tu. La kama familia itakuwa ni kubwa basi kila mmoja afanye kazi ili uwepo usaidianaji wa kuendesha familia.

Chanzo : http://www.mbeyayetu.blogspot.com/

Waziri wa Elimu na Ufundi Apiga marufuku wanafunzi kushika Chaki

Naibu waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Philipo Mulugo akiongea na wakuu mbalimbali wa elimu mkoani Mbeya


WALIMU waliozoea kuwapa chaki na notsi wanafunzi ili wakawaandikie wenzao madarasani sasa watawajibishwa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi watakapobainika.

Naibu waziri wa wizara hiyo Filipo Mulugo ametoa agizo hilo katika mkutano wake na viongozi mbalimbali wa idara ya elimu kanda,mkoa na wilaya pamoja na wakuu wa shule za sekondari za mkoani Mbeya na wakuu wa shule za msingi katika halmashauri ya jiji.

Kadhalika Mulugo amekataza mamonita wa madarasa kuitisha majina ya mahudhurio ya wanafunzi wenzao akisema mwenye jukumu hilo ni mwalimu wa darasa husika na itakapobainika mwalimu huyo pamoja na mkuu wa shule husika watawajibishwa.

Amesema shughuli zote hizo si za mwanaafunzi na zinazorotesha ufanisi katika utendaji kwakuwa walimu wanakaimisha majukumu hayo na wao wakibaki wanapiga soga ofisini mwao na walimu wenzao

Waziri wa Elimu na Ufundi Apiga marufuku wanafunzi kushika Chaki

Naibu waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Philipo Mulugo akiongea na wakuu mbalimbali wa elimu mkoani Mbeya


WALIMU waliozoea kuwapa chaki na notsi wanafunzi ili wakawaandikie wenzao madarasani sasa watawajibishwa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi watakapobainika.

Naibu waziri wa wizara hiyo Filipo Mulugo ametoa agizo hilo katika mkutano wake na viongozi mbalimbali wa idara ya elimu kanda,mkoa na wilaya pamoja na wakuu wa shule za sekondari za mkoani Mbeya na wakuu wa shule za msingi katika halmashauri ya jiji.

Kadhalika Mulugo amekataza mamonita wa madarasa kuitisha majina ya mahudhurio ya wanafunzi wenzao akisema mwenye jukumu hilo ni mwalimu wa darasa husika na itakapobainika mwalimu huyo pamoja na mkuu wa shule husika watawajibishwa.

Amesema shughuli zote hizo si za mwanaafunzi na zinazorotesha ufanisi katika utendaji kwakuwa walimu wanakaimisha majukumu hayo na wao wakibaki wanapiga soga ofisini mwao na walimu wenzao

Remarks at the Friends of the Syrian People Ministerial Meeting

Remarks
Hillary Rodham Clinton
Secretary of State
Ministerial Conference Center
Paris, France
July 6, 2012

Thank you very much, and thanks to the Government of France for hosting this. I want to support what Minister Davutoglu just said, because the Friends of Syria has been a very useful device to build pressure against the Syrian regime and to build international support for the Syrian people.

For more than a year, those who spoke for the Syrian opposition said they did not want any foreign intervention. And we respected that. And it is something that we took seriously. Starting in Tunis and then in Istanbul and now in Paris, we are focused on determining what we can do to try to hasten the end of this regime and to provide the circumstances for an effective process of transition and reconciliation.

What was accomplished in Geneva by the action group was, for the very first time, to enlist not only all five permanent members of the Security Council including Russia and China, but also important leaders in the region and in the Arab League in support of such a transition. The issue now is to determine how best to put into action what was accomplished there and is continuing here. And I really hope everyone reads the communique from Geneva, because for example, one of the earlier speakers from Syria expressed concern there was nothing about political prisoners. Well, indeed there is. And a call for the release from detention. So it would be very helpful to get everybody on the same page if we’re going to work together about what we have already done and what we need to be doing as we move forward.

Under the Geneva communique, the opposition is for the first time put on an even basis with the government. They are given equal power in constituting the transition governing entity that will have, as we just heard, full executive authority. That could not have been imagined three months ago, let alone a year ago.

So although none of us here is satisfied or comfortable with what is still going on inside of Syria, because it is against every norm of international law and human decency for a government to be murdering its own people, there has been in the last several months, starting in Tunisia, a steady, inexorable march toward ending this regime. What we need to do is to follow through on what each of us can contribute to the end of the Assad regime and the beginning of a new day for Syria.

I applaud what was accomplished in Cairo a few days ago. It was the largest, most inclusive gathering of opponents to the Assad regime ever convened. They came together to support a detailed transition plan that builds on Kofi Annan’s guidelines. They created a follow-up committee, including some of Syria’s brightest young people – after all it is their future that we are hoping to improve – and we expect the Syrian opposition now to begin to implement that transition plan.

We also think it is imperative to go back to the Security Council and demand implementation of Kofi Annan’s plan, including the Geneva communique that Russia and China have already agreed to. So we now have them on record supporting a transition. And we should go back and ask for a resolution in the Security Council that imposes real and immediate consequences for non-compliance, including sanctions under Chapter VII.

Now what can every nation and group represented here do? I ask you to reach out to Russia and China and to not only urge, but demand that they get off the sidelines and begin to support the legitimate aspirations of the Syrian people. It is frankly not enough just to come to the Friends of the Syrian People, because I will tell you very frankly, I don’t think Russia and China believe they are paying any price at all – nothing at all – for standing up on behalf of the Assad regime. The only way that will change is if every nation represented here directly and urgently makes it clear that Russia and China will pay a price, because they are holding up progress – blockading it – that is no longer tolerable.

And let me also add that confronted with the regime’s non-compliance, it is difficult to imagine how the UN supervision mission can fulfill its responsibilities without a Chapter VII enforcement mechanism. I think General Mood and his team have performed an extraordinary task, but it is clear unarmed observers cannot monitor a ceasefire that does not exist.

Next, what can you all do? You can tighten the financial vise, squeezing the regime. The second meeting of the sanctions working group in Washington last month called for all states to take additional steps to freeze the assets of regime officials, restrict transactions with the commercial and central banks, and embargo Syrian oil. Since then, Switzerland, the European Union, Japan, and Australia have all announced additional measures. And the regime is becoming more isolated, which will help to hasten its end because its business support will finally turn on it.

Syria’s currency and foreign reserves have collapsed. Sanctions on oil alone have deprived Assad of billions of dollars in lost revenues, and his ability to finance his war grows more difficult by the day. What’s keeping him afloat is money from Iran and assistance from Russia and the failure of countries represented here to tighten and enforce sanctions. You cannot call for transition on the one hand and give the regime a free pass on sanctions on the other. So we need to push for even stronger implementation at the working group meeting next to be held in Doha on sanctions.

I am also pleased that the Syrian Justice and Accountability Center is now up and running, compiling evidence of serious violations of human rights, because, after all, there can be no impunity and we need the evidence in order to make sure there is none.

So increasing pressure in all these ways is critical because no transition plan can progress so long as the regime’s brutal assaults continue. And we cannot ask the opposition to unilaterally give up their struggle for justice, dignity, and self-determination. The United States will continue providing non-lethal assistance to help those inside Syria who are carrying the fight to organize and better communicate.

Now what else can we do? We can increase our humanitarian relief. The United States is providing more than $57 million to support humanitarian organizations, but unfortunately, the Syrian Humanitarian Response Plan is only 20 percent funded so far. So we all need to do more – not only now but in the future to assist with the reconstruction.

And although the stakes for the Syrian people are literally life and death, they are also significant for the entire world, because if Syria spirals further into civil war, not only will more civilians die, more refugees will stream across the borders, but instability will spread far beyond Syria.

This is a regime with a massive war machine. I’m sure many of you followed the back and forth I had with the Russian Government over sending the attack helicopters they were refurbishing back to Syria. And I thank the United Kingdom and other European countries for very clearly expressing their refusal to allow that ship to go forward. But there are still those who are funding the regime and providing war materiel. And they have shown no hesitance in continuing to do that. In fact, the Syrian Government itself has only escalated their violence over time.

Given their behavior – and the chemical weapons they possess – it is imperative that they understand their international responsibilities. So yes, what can we do? Right now, leaving this meeting, there are a number of things every one of us can do. And I hope that we will commit to doing so, because clearly our message must be: We are united in support of the Syrian people and in our absolute resolve to see the end of the Assad regime and a transition to a democratically-elected, representative government that gives the Syrian people a path forward. And I think that means we, at this time, must be firm and united in support of Special Envoy Kofi Annan’s plan and act accordingly.

Thank you very much. (Applause.)


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza swali kutoka kwa kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza swali kutoka kwa kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe katika kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Mjini Dodoma Julai 6,2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 6, 2012.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongokwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 6, 2012.

IBM Supports Accelerated Adoption of Technology in Tanzania

President Jakaya Kikwete in a souvenir photo with Prof. Makame M. Mbarawa, the Minister for Communication, Science and Technology (Dr Makame Mbawara), Dr. Mark Dean, Chief Technology Officer and IBM Fellow, IBM Middle East (second left), Mr Jean-Christophe Knoertzer, General Manager IBM Central, East and West Africa and Africa and Country General Manager IBM Tanzania, Mr David Sawe (left) and their team when they paid him a courtesy call at the State House in the city on Wednesday July 4, 2012
President Jakaya Kikwete in talks with Dr. Mark Dean, Chief Technology Officer and IBM Fellow, IBM Middle East and Africa, Mr Jean-Christophe Knoertzer, General Manager IBM Central, East and West Africa and IBM’s Country General Manager, Mr David Sawe, when they paid him a courtesy call at the State House in the city on Wednesday July 4, 2012.
--
By a Correspondent
IBM has signed a collaboration agreement with the Tanzanian Ministry of Communication, Science and Technology to help accelerate the adoption of technology as part of Tanzania's ongoing development and strategy to increase its competitiveness in East Africa.

IBM will work with the Tanzanian Government to help achieve its vision of becoming a hub for trade in the wider East Africa region and to enhance sustainable economic development as outlined in the Tanzania National ICT Policy.

"This agreement supports the goals of the National ICT Commission to use innovative technologies and approaches to transform our infrastructures, build national data centers, increase cyber-security and invest in IT talent development," said Honourable Prof. Makame M. Mbarawa, the Minister for Communication, Science and Technology.

"Working with IBM will help to ensure that our initiatives are in line with international standards while positioning us to become competitive regionally and internationally, " he added.

IBM and the Government of Tanzania will co-operate to support the country's National ICT agenda developing simplified and more effective social and administrative systems for e-Government, e-Health and e-Education among other areas.

"IBM is a long-standing partner to the Tanzanian government and we are committed to supporting the country's economic growth and technical advancement," said Dr. Mark Dean, Chief Technology Officer and IBM Fellow, IBM Middle East and Africa. "A key part of our strategy in Africa is to build skills and a culture of innovation across the continent."

One of the focus areas of the agreement will be the port of Dar es Salaam which is the main point for Tanzania's imports and exports. The port also serves the neighboring landlocked countries of Zambia, Malawi, Burundi, Rwanda, Uganda, and the Democratic Republic of Congo.

By working with IBM, the Tanzanian government will explore the use of innovative technologies and approaches to help the port to operate more efficiently, transform revenue collection processes and strengthen regional trade links.

The agreement underscores IBM's commitment to Africa and builds on a similar agreement signed in March 2010 between IBM and the Tanzania Ministry of Education and Vocational Training to support the adoption of IT in the areas of education, research and development.


Significant progress has been made since that earlier agreement, including the provision of international guest lecturers, three academic awards, the donation of 37,000 technical reference books and journals to the University of Dodoma and the Dar es Salaam Institute of Technology, as well as international co-operation with Tanzanian academics.

IBM has also been actively engaged in Tanzania through its Corporate Service Corps program. Since 2009, 88 talented emerging leaders from more than 25 different countries have worked on one month assignments to Tanzania in projects aimed at social and economic development. Through this program IBM has dedicated over 10,000 hours of pro bono information technology and business consulting to Tanzania.

Rais Jakaya Kikwete Akiwa na Mawaziri na Viongozi Waandamizi Serikalini Baada ya Kuongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea jambo na baadhi ya mawaziri na viongozi waandamizi serikalini baada ya kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri jana July 5, 2012 katika ukumbi wa TAMISEMI Dodoma.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri jana July 5, 2012 katika ukumbi wa TAMISEMI Dodoma.Picha na IKULU

TUME ya Taifa ya Kukusanya Maoni Juu ya Marekebisho ya Katiba Yaendelea Vyema na Ukusanya Maoni Zanzibar.

Mwananchi wa Kijiji cha Muyuni Shukuru Ramadhani akitoa maoni yake kuhusu katiba mpya huko katika Kijiji cha Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
Mwenyekiti wa Ukusanyaji maoni ya Katiba Mpya Mohd Yussuf Mshamba akifahamisha namna ya utoaji wa maoni unavyotakiwa huko katika kijiji cha Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
Wajumbe wa kukusanya maoni ya Katiba mpya wakiandika maoni ya wananchi huko katika Kijiji cha Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
Mwananchi wa Kijiji cha Muyuni Mwanapili Haji Mussa akipeleka maoni yake kwa njia ya Barua yanayohusu uundwaji wa katiba Mpya kwa wajumbe wa Ukusanyaji maoni hayo huko Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika utoaji wa Maoni huko katika Kijiji cha Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika utoaji wa Maoni huko katika Kijiji cha Muyuni Mkoa wa Kusini Unguja.
--
TUME ya taifa ya kukusanya maoni juu ya marekebisho ya Katiba inaendelea kukusanya maoni katika mkoa wa Kusini Unguja kwa wananchi mbalimbali ambapo inapokea maoni mbalimbali pamoja na kero za wananchi.

Wakitoa maoni yao kwa Tume hiyo wananchi wa Muyuni huko skuli ya Muyuni B wananchi hao wamesema wanataka kuwepo kwa mfumo utaweza kuondoa kezo zilizomo katika muungano ambazo ni changamoto kubwa kwa wazanzibar.

Aidha walisema wanataka kuwepo na serikali ya Zanzibar ambayo itakuwa na rais wake ambae anatambulika kitaifa na kimataifa , kuwepo na serikali ya Tanganyika na rais wake pamoja na serikali ya muungano ambayo itakuwa ya mkataba

Wananchi hao waliitaka tume hiyo kuwepo na usawa katika serikali zote mbili zikiwemo mafuta, madaraka pamoja na utawala.

“Tunataka usawa na haki katika serikali zote mbili ambapo sisi wanzanzibar hatupati kitu katika muungano tunaomba marekebisho katika mafuta, madaraka na utawala”, walieleza wananchi hao.

Aidha baadhi ya wananchi hao wameitaka kuwepo na mfumo tofauti wa kielimu, kisarafu, kiulinzi pamoja na vyanzo vya mapato ili Zanzibar iweze kujitegemea wenyewe kimapato na kimaendeleo.

Hata hivyo wananchi hao waliiambia tume hiyo wanataka Zanzíbar iwe na mamlaka yake kamili na isiingiliwe katika maamuzi yake inayojipangia kama zilivyo nchi nyengine.

“Zanzibar haijapata mamlaka yake kamili tunataka tuwe na mamlaka ambapo tunataka isiingiliwe katika maamuzi yake wanachoamua wazanzibar kiwe hicho hicho kisibadilishwe”, walifafanua wananchi hao.

Baadhi wa wananchi hao walitaka kuwepo kwa mfumo wa serikali tatu ambapo kutaweza kuwepo kwa usawa na mamlaka ya nchi pamoja na utawala wake na wengine walitaka kuwepo na marekebisho ya katika pamoja na kero za muungano.
Na
Miza Kona
Maelezo Zanzibar

U.S. Embassy In Tanzania Awards 84.4m/- to Support Community-Based Organizations

U.S. Embassy Deputy Chief of Mission Robert K. Scott delivery his key note speech during the Ambassador's Grants Awards Ceremony at the Embassy in Dar es Salaam today July 05.2012. The United States Embassy's through its Ambassador's Community Grant Program funded by the American people awards eight community groups and schools with grants amount 84.4m/- ($54,500 USD), for self-improvement projects. These are composed of two annual grant funds: the Ambassador's Special Self Help Fund, and the Ambassador's Fund for HIV/AIDS Relief. The grants provide direct assistance to Tanzanian citizens for small, community-based, improvement projects.
US Embassy Deputy Chief of Mission, Robert Scott (centre) in a group photo with eight community groups representatives shortly after award them Ambassador’s Grants at the embassy in Dar es Salaam yesterday. The United States Embassy's through its Ambassador's Community Grant Program funded by the American people awards eight community groups with grants that total 84.4m/- with the purpose of providing direct assistance for small, community-based, improvement projects. Photo/John Badi
--
On July 5, U.S. Embassy Deputy Chief of Mission Robert K. Scott awarded over 84.4 million Tanzanian shillings ($54,500 USD) to eight organizations and schools for self-improvement projects under the Community Grants Program funded by the American people through the U.S. Department of State. These are composed of two annual grant funds: the Ambassador's Special Self Help Fund, and the Ambassador's Fund for HIV/AIDS Relief. The grants provide direct assistance to Tanzanian citizens for small, community-based, improvement projects.

The Special Self-Help fund provides direct assistance grants to Tanzanian community organizations for projects designed to benefit rural and urban communities. The Ambassador's Fund for HIV/AIDS Relief provides assistance for communities which remain vulnerable to the disease.

The Ambassador's Special Self Help Fund was established during Mwalimu Julius K. Nyerere's first presidential term. For over 46 years, the grants have helped community-based organizations in every region to improve the lives of Tanzanians through their own ideas.

These include by building schools, providing public access to clean water, utilizing solar energy and starting new commercial initiatives. The Ambassador's Fund for HIV/AIDS Relief was established in 2009. Since then, it has provided grants to over 40 community-groups in Tanzania.

In his remarks, Deputy Chief of Mission Scott noted: "Assistance programs have a deeper and more meaningful impact when they are implemented from Tanzanians for Tanzanians based on their own priorities. I am proud to present these grants because they promote innovation and leadership from citizens committed to strengthen and serve their communities."

The Deputy Chief of Mission presented grants serving four critical sectors: Solar Power; Education; Orphans and Vulnerable Children; and People Living with HIV/AIDS.

· The Self-Help Fund granted 10 million Tanzanian shillings to the Wilima Secondary School in Ruvuma to install a solar power system to operate computers and provide electricity for over 500 students.

· Also in Ruvuma, this program will provide 14.9 million Tanzanian shillings to provide electricity for the Maguu Community Based Information Center Association's library.

· To advance girls' education and empowerment, the St. Martin's Secondary Girl's School in Morogoro received a grant of 7.5 million Tanzanian shillings to purchase laboratory equipment for 191 students to pursue science studies.

The Ambassador's Fund for HIV/AIDS Relief this year provided grants to five organizations, three of which are orphanages and two groups which are working with orphans and people living with HIV/AIDS.

· The Yatima Group Trust Fund of Dar es Salaam received 4.5 million Tanzanian shillings to build a cement tank with roof catchment which will harvest and store water for the Chamazi Orphanage Center which houses 162 children.

· The Saint Elizabeth's Orphan Care Center, which houses 50 babies and young children in Morogoro, received 17.8 million Tanzanian shillings to install a water tower and provide plumbing to four orphan homes.

· The Without Mother Organization received 6 million Tanzanian shillings to complete a kitchen, dining, and storage room for the Mahengo Orphanage Center in Mbeya.

· The Kagera Youth Development Initiative received 13 million Tanzanian shillings to provided uniforms and school supplies to over 800 orphans and vulnerable children in Kagera.

· The Support Society Against Poverty and HIV/AIDS organization in Mbeya region received 10 million Tanzanian shillings to train people living with this disease in animal husbandry and to enhance the use of animals as an economic asset to promote food security. The grant will also be used to purchase vocational starter kits for orphans who have graduated from carpentry and sewing vocational schools.

The Ambassador’s Special Self-Help Fund is part of the U.S. Ambassador’s Community Grants Program. To learn more about the Community Grants Program, please visit the grants page on our U.S. Embassy website or contact the U.S. Embassy’s Community Grants Office at selfhelpd@state.gov or by mail at U.S. Embassy Dar es Salaam, P.O. Box 9123, Dar es Salaam.

TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA MHE. BERNARD MEMBE NA MABALOZI WA NCHI ZA UMOJA WA ULAYA NA MAREKANI

TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA MHE. BERNARD MEMBE (MB), WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NA MABALOZI WA NCHI ZA UMOJA WA ULAYA NA MAREKANI PPAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 05 JULAI 2012

Jana tarehe 05 Julai 2012, Mhe. Bernard Kamilius Membe (Mb),Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa amekutana na Waandishi wa Habari pamoja na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani hapa nchini kwa lengo la kutoa msimamo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kuwepo kwa uvumi kwamba Meli za Iran zimesajiliwa na kupeperusha bendera ya Tanzania kama ilivyotangazwa katika vyombo vya habari ndani na nje ya nchi.

Katika mazungumzo yake na Waandishi wa Habari na baadaye Mabalozi, Mhe. Waziri alieleza kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata taarifa kuhusu meli za Iran kusajiliwa na kupeperusha bendera ya Tanzania kupitia kwenye vyombo vya habari.

Alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilichukua hatua ya kuitaka Mamlaka ya Usafiri wa Baharini ya Zanzibar – Zanzibar Marine Authority (ZMA) ambayo kwa Sheria Na. 3 ya mwaka 2009 ina mamlaka ya kusajili meli za Kimataifa kuchuguza tuhuma hizo na kutoa taarifa.

Aidha, aliwatanabaisha Waandishi na Mabalozi kwamba Mamlaka ya Usafiri wa Baharini Zanzibar ilichukua hatua za kumtaka Wakala wake wa kusajili meli, Kampuni ya PHILTEX yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kutoa taarifa kama kati ya meli 399 zilizosajiliwa kuna meli za Iran.

Nayo Kampuni ya PHILTEX ilitoa taarifa kuwa kati ya meli zilizosajiliwa hakuna meli hata moja ya Iran. Hata hivyo, waliongeza kuwa meli zilizosajiliwa hivi karibuni zilikuwa na usajili wa Cyprus na Malta.

Aidha, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilimwita Balozi wa Iran nchini ili kujua kama kuna ukweli kuwa baadhi ya meli zilizosajiliwa ni za Iran. Balozi alikataa kabisa kuwa hakuna meli za Iran zilizosajiliwa Zanzibar na zinazopeperusha bendera ya Tanzania.

Taarifa hizi kutoka kwenye vyombo vya habari, Kampuni ya PHILTEX na Ubalozi wa Iran nchini zimepelekea Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya uchunguzi wa kina ili kuthibitisha kama kweli kuna meli za Iran zilizosajiliwa Zanzibar na zinazopeperusha bendera ya Tanzania.

Ili kupata ukweli wa tuhuma hizo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeomba nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani kusaidia katika uchunguzi. Mhe. Waziri, aliwakabidhi Barua za Kibalozi kuwasilisha rasmi ombi hilo.

Mhe. Waziri Membe aliwahidi waandishi wa Habari na Mabalozi hao kwamba kuwa baada ya uchunguzi kukamilika na ukweli kubainika, serikali ya Jamhuri ya Muungano itachukuwa hatua za haraka ikiwemo kufuta usajili wa meli zote zitakazogundulika kuwa ni za Iran.

Mkuu wa wilaya ya Newala, Christopher Magala Akutana na Maofisa wa Jeshi la Polisi

Mkuu wa wilaya ya Newala, Christopher Magala (katikati) akizungumza katika mkutano wake na Askari Polisi wa Wilaya ya Newala jana. Kulia ni OCD wa Wilaya ya Newala Lisu Ntandu Jingi na kushoto ni Kupela kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya newala.
--
Mkuu wa Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara, Christopher Magala,jana amekutana na maofisa wa Jeshi la Polisi na askari wa kawaida wilayani humo na kuzungumza nao mambo mbalimbali kuhusiana na kazi na wajibu wao katika jamii.

DC huyo mpya wa newala amesema ameamua kufanya mkutano huo ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha kwake katika kada mbalimbali za jamii na watendaji wa ngazi mbalimbali za serikali.

Magala pia amesema hivi karibuni amekuwa akipokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusiana na utendaji wa Jeshi hilo walio na jukumu la Ulinzi wa raia na mali zao.

Aidha Magala amebainisha kuwa dhumuni la kikao chake na Polisi lilikuwa ni kujitambulisha kwao na kuwakumbusha majukumu yao ya msingi kwa jamii yetu.

“Nimekuwa nikipokea malalamiko mengi toka kwa wananchi mara tu baada ya kufika hapa Wilayani, juu ya vitendo na huduma zisizo kidhi haja za wananchi wilayani hapa, hivyo nikalazimika kukutana nao na kuwekana sawa nikiwa ni kiongozi wa ulizni na usalama.” Alisema Magala.

Pamoja na mambo mengine kuu wa wilaya huyo alitumia fursa hiyo kuwakumbusha majukumu yao katika jamii kuwa ni ulinzi wa raia na mali zao, kusimamia amani na utulivu uliopo Wilayani.

Jana DC huyo alikutana na waendesha boda boda mjini Newala pamoja na wapiga debe katika mabasi ya aibiria Wilayani humo, katika kuzungumza nao na kuweka mambo sawa, ikiwa ni pamoja na kuwahimiza kujitokeza katika Sensa itakayo fanyika baade mwaka huu nchini kote.

wanachuo wa Chuo cha Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa Wakutana na Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wa Chuo cha Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Julai 7,2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI MJINI DODOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete, kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, kilichofanyika leo mchana, julai 6, 2012 katika ukumbi wa TAMISEMI, mjini Dodoma. Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi ya Makamu wa Rais

MABONDIA FRANCIS CHEKA NA JAPHET KASEBA WAPIMA UZITO KWA PAMBANO LA TAMASHA LA MATUMAINI

Bondia Japhet Kaseba akipima uzito.
Francis Cheka nae akipima uzito wake.
Mabondia hao wakitunishiana misuli.
...Wakiwa tayari kwa mpambano wa kesho.
Cheka akipimwa mapigo yake ya moyo.
...Kaseba nae akipimwa.
---
Mabondia Francis Cheka na Japhet Kaseba leo wamepima uzito wao tayari kwa mpambano wa kesho katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wamepima uzito wao katika hoteli ya The Atrium iliyopo Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam ambapo kila mmoja amemtambia mwenzake kuwa ataibuka kidedea katika pambano hilo.

MABONDIA FRANCIS CHEKA NA JAPHET KASEBA WAPIMA UZITO KWA PAMBANO LA TAMASHA LA MATUMAINI

Bondia Japhet Kaseba akipima uzito.
Francis Cheka nae akipima uzito wake.
Mabondia hao wakitunishiana misuli.
...Wakiwa tayari kwa mpambano wa kesho.
Cheka akipimwa mapigo yake ya moyo.
...Kaseba nae akipimwa.
---
Mabondia Francis Cheka na Japhet Kaseba leo wamepima uzito wao tayari kwa mpambano wa kesho katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wamepima uzito wao katika hoteli ya The Atrium iliyopo Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam ambapo kila mmoja amemtambia mwenzake kuwa ataibuka kidedea katika pambano hilo.

TAARIFA YA UWEKEZAJI YA UMOJA WA MATAIFA YAZINDULIWA DAR ES SALAAM

Pichani Juu na Chini ni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Dkt. Alberic Kacou akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Dunia ya Uwekezaji 2012 yenye kauli mbiu 'Sera Kuelekea Kizazi Kipya katika Uwekezaji' ambapo amewasisitiza watunga sera wa Tanzania kutumia rasimu ya Sera ya Uwekezaji ya Maendeleo Endelevu kwa mwaka 2012 kama kipaumbele katika kuunda sera za Kitaifa za Uwekezaji. Kushoto ni Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa(UNIC) Bi. Stella Vuzo.
Baadhi ya Maafisa wa Umoja wa Mataifa nchini waliohudhuria uzinduzi wa World Investment Report 2012.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Raymond Mbilinyi akiwasilisha Ripoti hiyo ya Mwaka 2012 ambapo amezungumzia zaidi mazingira ya uwekezaji Tanzania huku akigusia mwelekeo, changamoto na fursa zinazopatikana.

Bw. Raymond Mbilinyi ameweka wazi kuwa mujibu wa Ripoti hiyo Tanzania kwa sasa imepiga hatua katika kuboresha miundo mbinu haswa ya Barabara miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki.
Dkt. Alberic Kacou (kushoto) na wadau wakifuatilia uwasilishwaji wa Ripoti ya Fursa za Uwekezaji 2012.
Pichani ni Minongoni mwa Mabalozi, wawakilishi wa Serikali, wakuu wa mashirika ya Maendeleo, wawakilishi wa mashirika ya kijamii katika uzinduzi huo.
Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Stella Vuzo akimkaribisha Dkt. Kacou na Bw. Mbilinyi (hawapo pichani) kuzindua rasmi 'World Investment Report 2012'.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Raymond Mbilinyi (kulia) akikata utepe kuzindua kitabu chenye Ripoti ya Uwekezaji ya Kimataifa 2012 sambamba na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Dkt. Alberic Kacou.
Sasa imezinduliwa rasmi.
Mkurugenzi wa Zamani wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Bw. Emmanuel Ole Naiko akitoa maoni yake kuhusiana na Ripoti ya Kimataifa ya Uwekezaji 2012.
Pichani Juu na Chini Wadau wa Sekta ya Uwekezaji, Maafisa wa Umoja wa Mataifa, Mabalozi pamoja Wawakilishi wa Idara mbalimbali za Serikali waliohudhuria Uzinduzi huo.
Pichani ni Minongoni mwa Mabalozi, wawakilishi wa Serikali, wakuu wa mashirika ya Maendeleo, wawakilishi wa mashirika ya kijamii katika uzinduzi huo.
Dkt. Alberic Kacou na Mkurugenzi wa Zamani wa kituo cha Taifa cha Uwekezaji chini Bw. Emmanuel Ole Naiko wakipeana mkono wa Pongezi baada ya kuzindua Ripoti ya Kimataifa ya Uwekezaji 2012.
Dkt. Kacou akibadilishana mawazo na wageni waalikwa baada ya uzinduzi huo.
Bw. Emmanuel Ole Naiko (kulia) na Naibu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa hapa nchini (UNDP) Bi. Louise Chamberlain wakijadili kuhusu umuhimu wa matumizi ya Ripoti za Uwekezaji katika kukuza uchumi wa nchi.
--
The launch of the 250 page report was paperless and participants to the event were given CD-ROM's by UNIC. However, to get copies of this book, you can contact The United Publications Sales and Marketing Office, 300 E 42nd Street, 9th Floor, IN-919J New York, NY 10017, United States. tel.: +1 212 963 8302, fax: +1 212 963 3489, e-mail: publications@un.org, https://unp.un.org. Price: US$ 95 with a 50% discount for residents of developing countries, and 75% discount for residents of least developed countries(including Tanzania). This price is for a copy of the printed Report and an accompanying CD-ROM. If you would like to order the printed report separately from the CD ROM please indicate.
Contacts:
UNCTAD Communications and Information Unit, +41 22 917 5828, +41 79 502 43 11, unctadpress@unctad.org, http://unctad.org/en/pages/Media.aspx or in Tanzania you may contact: stella.vuzo@unic.org for further assistance.

Popular Posts