Pages

Showing posts with label Azam FootBall Club. Show all posts
Showing posts with label Azam FootBall Club. Show all posts

Tuesday, August 7, 2012

AZAM FC YAPATA KOCHA MPYA KUTOKA SERBIA

Mwenyekiti wa Azam FC, Said Mohamed (kushoto) akimtambulisha kocha mpya, Boris Bunjak "BOCA" mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 kwenye fani ya ukocha kuwa kocha mkuu mpya wa Azam FC akirithi mikoba ya Stewart Hall aliyesafiri kwenda nchini Uingereza jana baada ya kuisha kwa mkataba wake. Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na kocha Boris Bunjak toka Serbia.
Hapa chini ni CV ya kocha Boris:
FUDBALSKI SAVEZ SRBIJE FA PRO COACHING AWARD
FOOTBALL ASSOCIATION OF SERBIA UEFA PRO DIPLOMA
Adressa: Terazije 35 – Belgrade
Phone : +381 11 3246208
Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na kocha Boris Bunjak toka Serbia
CV ya kocha Boris inapatikana hapa chini:

BORIS BUNJAK
Born : 17.11.1954.
Nationality : Serbian
Position : Coach
Languages : English , Rusian , Serbian
Current address : Kraljevo 36000 Veljka Vlahovica 33/15
Serbia
Contact : Serbian mob : +38163 776 44 88
Home number + fax : +38136 322 735
E-mail : bbunjak@yahoo.com
Facebook : Boris Bunjak
www.borisbunjakcoach.com
Education : Higher coach of football
UEFA – PRO LICENCE
Coaching career : 2011 FC „DAMAC“ SAUDI ARABIA- HEAD COACH
2011- FC „ AL NASER“ OMAN – HEAD COACH
2009-10 FC „ AL OROUBA“ OMAN – HEAD COACH
2008-09 FC „ ALL SHAAB“ UNITED ARAB EMIRATES – TECHNICAL SUPERVISOR
2007-08 FC „ ALL SHAAB“ UNITED ARAB EMIRATES – HEAD COACH
2006-07 FC „ AL NASER“ OMAN – HEAD COACH
2005-06 FK „ HAJDUK“ Kula – HEAD COACH
2004-05 FC „ALL SHAAB“ UNITED ARAB EMIRATES – FIRST TEAM COACH
2002-04 FK „CRVENA ZVEZDA“ Beograd – FIRST TEAM COACH
2000-02 FK „ MLADI RADNIK“ Pozarevac - HEAD COACH
1999-00 FK „ URALAN“ Russia - HEAD COACH
1998-99 FK „ RADNICKI“ Nis - HEAD COACH
1996-97 FK „ CRVENA ZVEZDA“ Gnjilane - HEAD COACH
1995-96 FK „JAVOR“ Ivanjica - HEAD COACH
1993-94 INSTRUCTOR IN FA of Yugoslavia
1990-93 FK „ SLOGA“ Kraljevo – HEAD COACH
Playing career :
1967-75 FK „SLOGA“ Kraljevo
1975-78 FK „VOZDOVAC“ Beograd
1978-79 FK „RADNICKI“ Kragujevac
1979-80 FK „ OLIMPIA“ Ljubljana
1980-81 FK „ SUMADIJA“ Arandjelovac
1981-85 FK „SLOGA“ Kraljevo
1985-86 FK „BORAC“ Cacak
1986-90 FK „ SLOGA“ Kraljevo

Sunday, July 29, 2012

JERRY TEGETE NA MRISHO NGASA NDANI YA WHITE HOUSE KIMARA KOROGWE

Mwanamuziki nguli wa Bendi ya Mashujaa Musica Chaz Baba akiimba kwa furaha kubwa ndani ya Ukumbi wa White House Kimara Korogwe usiku wa kuamkia leo.
Rapa maarufu wa Bendi ya Mashujaa Fagasoni akiimba ndani ya ukumbi wa White house Kimara Korogwe.
Mrisho Ngassa na Chaz Baba wakifurahia kwa pamoja Ushindi waYanga, Mrisho ngassa ni Mshambuliaji mahiri wa Club ya Azam.
Kutoka kulia Chaz Baba, Mrisho Ngasa Mchezaji wa Azam na Gerry Tegete Mchezaji wa Yanga wakiwa ndani ya viunga vya White House Kimara Korogwe jana baada ya kutoka kwenye Mechi kali baina ya timu zao, ya kombe la Kagame ambayo Yanga waliibuka mabingwa kwa mabao 2 kwa bila.
Kulia Gerry Tegete akishoo luv na Mchezaji mwenzake Mrisho Ngassa anayechezea club ya Azam.
Mpiga tumba namba moja Afrika mashariki MCD akiwakimbiza washabiki wao ndani ya White house Kimara.
Tegete, Henry na kulia Mrisho Ngassa ndani ya White House Kimara.
--
Jana jioni kulikuwa na mechi ya fainali ya kombe la Kagame kati ya Yanga afrikani na Azam FC ndani ya uwanja wa Taifa ambapo Yanga waliibuka mabingwa

Ngassa na Tegete kwa kuonyesha mpira sio ugomvi walisherehekea pamoja ushindi wa Yanga baada ya mechi katika viwanja vya White House Kimara korogwe wakati bendi ya Mashujaa ilipokuwa inatumbuiza

YANGA YA TANZANIA NDIO BINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2012

Wachezaji wa Yanga ya Jijini Dar es Salaam, wakishangilia ubingwa wao wakiwa na Kombe la Kagame baada ya kukabidhiwa rasmi walipoibanjua timu ya Azam Fc kwa mabao 2-0, katika mchezo wa Fainali uliozikutanisha timu hizo katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa leo jioni.
*****************************

TIMU ya Yanga ya jijini ya Dar es Salaam, leo imewadhihirishia mashabiki wa soka kwa kutetea ubingwa wake na kutwaa Kombe la Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame 2012,katika mchezo wa Fainali za Kombe hilo dhidi yake na timu ya wauza Lambalamba Azam Fc, na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika Uwanja wa Taifa.

Yanga sasa imebakiza mara moja kufikisha idadi sawa na wapinzani wao wa jadi, Simba kutwaa Kombe hilo, mara tano kwa sita. Yanga ilibeba taji hilo 1975, 1993, 1999, 2011 na 2012.

Mabao ya Yanga yalifungwa na Hamisi Kiiza aliyefunga bao la kwanza katika dakika ya 44 na Said Bahanuzi aliyefunga la pili dakika ya 90+ katika dakika tatu za nyongeza.

Kiiza alifunga bao lake, baada ya kuuwahi mpira uliookolewa na kipa Deo Munishi ‘Dida’ na kumpiga chenga kipa huyo kisha kuusukuma mpira nyavuni.

Bahanuzi aliuwahi mpira mrefu uliopigwa na beki Oscar Joshua na kuwazidi ujanja mabeki wa Azam kabla ya kumtungua Dida.

Niyonzima, akichanja Mbuga.
Niyonzima, akimtoka beki wa Azam kwa spidi ya ajab na kumimina majalo.
Kipa wa Azm, Dida, akiokoa moha ya hatari langoni kwake.
Niyonzima, akiendelea kuwatesa mabeki wa Azam.
Beki wa Azam, Mouris akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi na kumpa nafasi kipa wake Dida kudaka mpira huo.
Mashabiki wa Azam waliochanganyika na wa Simba, wakiwa wamebeba Jeneza kuwakejeli mashabiki wa Yanga, kabla ya kuanza kwa mchezo huo.lakini hadi mwisho wa mchezo huo Jeneza hilo halikujulikana lilikopitia.
Katika mchezo uliotangulia wa kusaka mshindi wa tatu, AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) iliifunga APR ya Rwanda mabao 2-1, mabao ya As Vita yakifungwa na Magola Mapanda dakika ya 18 na Mutombo Kazadi, dakika ya 67, wakati la kufutia machozi la timu ya APR ya Rwanda, lilifungwa na Jean Mugiraneza dakika ya 89 na kufanya mshindi wa tatu katika michuano hiyo kuwa ni AS Vita.
Mashabiki wa Yanga, wakishangilia bao la kwanza.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia na Kombe lao.
Kasuku nao walikuwapo kushuhudia mtanange huo huku wakiwa na rangi ya Yanga na Bendera ya Yanga.
Mashabiki wa Azam wakiwa Tuliiiiii, wakiwa kama wamemwagiwa maji baada ya timu yao kupokea kichapo kitakatifu jioni ya leo.
Said Bahanuz, akishangilia mbele ya mashabiki wake baada ya mchezo huo kumalizika.
Mashabiki wa Yanga....... Ebwana eeeeh!!!! ushindi mtamu bwanaaaaaa!!!!
Bahanuzi kama Kawa.......
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji akipita katikati ya Uwanja kuwapongeza wachezaji wake baada ya mchezo huo kumalizika.
Niyonzima (kushoto) akimfariji Ngasa, baada ya mchezo huo.

2012 CECAFA KAGAME CLUB CUP
Dar es Salaam, July 14-28
(Yellow cards after end of preliminary round)
2:
20. Derrick Walulya (Suspended Match No. 12)
4. Yusuf Makame Juma [Mafunzo]
5. Kadar Abaneh [AS Port]
1:
2. Edward Simon Jovan [El Salaam, Wau]
28. Maxime Sekamana [APR ]
11. Emery Ndikumana [Atletico Olympique]
7. Didier Kavumbagu [Atletico Olympique]
17. Amir Maftah [Simba]
15. Allan Munabu [URA]
21. Ahmed Mohdi [AS Port]
5. Ismail Khamis [Mafunzo]
25. Johnson Bagoole [APR]
17. Christopher Ndayishimiye [Atletico]
4. Hassan Hakizimana [Atletico]
13. Ismail Musa Juma [El Salaam, Wau]
13. Lema Mubidi [AS Vita]
17. Thiery Kasereka [AS Vita]
16. Vincent Agbor [AS Port]
1. Khalid Moursal [AS Port]
4. Jean Paul Niyibaraba [AS Port]
3. Francis Nongwe [Atletico]
15. Frederick Nsabiyumwa [Atletico]
15. Santino Makuei [El Salaam, Wau]
24. Jerry Santos [Tusker]
18. Said Musa Shaaban [Mafunzo]
14. Sula Bagala [URA]
22. Osman Wejuli [URA]
12. Suleman Ndikumana [APR]
4. Donatien Tuyizere [APR]
18. Joseph Shikokoti [Tusker]
13. Aggrey Morris [Azam]
19. John Bocco [Azam]
TOTAL: 29
QURTER FINALS
2:
21. Issa Mpeko [AS Vita Club] (2) R
4. Ibrahim Mwaipopo [Azam] (2) R
1:
15. Mohamed Abdoulrahman [Mafunzo]
20. Derrick Walulya [URA]
16. Augustine Nsumba [URA]
22. Jean Claude Iranzi [APR]
3. Albert Ngaboyisibo [APR]
16. Nelson Lukong [Vita]
23. Pierre Kwizera [Atletico]
3. Simbi Ebunga [AS Vita Club]
14. Mutombo Kazadi [AS Vita Club]
10. Felix Sunzu [Simba]
6. Erasto Nyoni [Azam]
26. Haruna Shamte [Simba]
25. Jabir Aziz [Azam]
TOTAL (from Quarter final stage only): 17 - Up to Match No. 20 (Yanga v APR semifinal)
OVERALL TOTAL: 36
Gishinga Njoroge
Managing Editor
www.kpl.co.ke
Brookside Grove
Westlands
P.O Box 5350, Nairobi, 00506 Kenya
Office Tel: +254 020 444 20 70
+254 020 444 20 72
email: gishinga@kenyanpremierleague.com
Personal cel phone: +254 722 79 77 49

Saturday, July 28, 2012

MABINGWA KOMBE LA KAGAME 2012 NI YANGA YA TANZANIA

Magoli mawili yaliyopachikwa wavuni na washambuliaji wa Yanga Hamisi Kiiza katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza na lile la Said Bahanuzi katika dakika ya 90 ya mchezo yameiwezesha Yanga kuibuka Mabingwa tena wa Kombe la Kagame 2012 baada ya kuchapa bila huruma mahasimu wao Azam FC kwa goli 2-0, katika mchezo wa fainali uliochezwa leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Tanzania ijnakila sababu ya kujivunia ushindi huo wa Yanga na nafasi ya pili ya Azam katika michuano hiyo ya mwaka huu ambapo Tanzania kama mwenyeji wa michuani huyo iliingiza timu 4 zikiwapo za Simba na Mafunzo zilizotolewa katika hatua ya robo fainali.

Yanga pia waliutumia mchezo wa leo kulipiza kisasi cha kufungwa goli 3-1 na Azam katika mchezo wao wa Ligi Kuu msimu uliopita na kupelekea wachezaji kadhaa wa Yanga kufungiwa baada ya kushambulia mwamuzi kwa ngumi.

Kikosi kilichoipeleka Azam fainali Ya Kombe la Kagame 2012

Kikosi kilichoipeleka Azam fainali, kutoka kulia waliosimama ni Said Mourad, Ibrahim Mwaipopo, Aggrey Morris, Erasto Nyoni, John Bocco na Ramadhan Chombo. Walioinama kutoka kulia ni Jabir Aziz, Salum Abubakar, Ibrahim Shikanda, Kipre Tcheche na Deo Dida.

Thursday, July 12, 2012

SIMBA SC YATWAA KOMBE LA URAFIKI UWANJA WA TAIFA

Ubao wa matangazo ukionyesha Simba 5 Azam FC 3 kwenye uwanja wa Taifa.
Waziri asiyekuwa na Wizara maalum Zanzibar Mh. Machano Othman Said akimkabidhi kombe la ubingwa wa michuano ya Urafiki nahodha wa timu ya Simba Juma K. Juma mara baada ya timu ya Simba kuifunga timu ya Azam FC magoli 5-3 kwa penati, baada ya kutoka suluhu magoli 2-2 katika kipindi cha dakika tisini, kwenye mchezo mzuri na wa kuvutia kwa timu zote uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa leo hivyo kuifanya Simba kuibuka mabingwa wa kombe hilo.
Wachezaji wa timu ya Simba wakimnyanyua juu juu golikipa wao Juma K. Juma baada ya kupangua penati mbili katika mchezo huo uliokuwa wa fainali katika michuano ya Urafiki.
Mashabiki wa timu ya Azam FC wakishangilia timu yao.
Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia timu yao. Picha/Fullshange Blog.

Popular Posts