Pages

Showing posts with label Dar es salaam. Show all posts
Showing posts with label Dar es salaam. Show all posts

Monday, January 7, 2013

SKYLIGHT BAND YAANGUSHA PARTY YA KUKATA NA SHOKA KUWASHUKURU MASHABIKI NA WADAU WAKE THAI VILLAGE.



 
 
 Mabloggers wakishow love John Badi (kushoto) na King Kif.
 
 Mkurugenzi wa Perfect Lady Saloon akiwa na Mdau kwenye usiku maalum wa kuwashukuru mashabiki wa SKYLIGHT BAND.
 
 Watoto wazuri katika pozi.
 
 Model katika pozi.
 
 Blogger King Kif akiwa na Mwenyekiti wa UVCCM, Beno Malisa.
 
 Mdau Eric Ndalu na mshikaji wake.
 
 Aneth Kushaba AK 47 kazini.
 
 Haya sasa lote lako ushindwe mwenyewe.....!!!
 Hapo sasa....Chezea SKYLIGHT BAND wewe.....balaaaaa...!!!
 
 Salma Yusuf akiwajibika baada ya kutambulishwa rasmi na uongozi wa Band hiyo.
Couples iliyobamba katika usiku maalum wa Ijumaa ya kwanza kwa mwaka 2013.
Pichani Juu na Chini ni baadhi ya mashabiki kati ya 100 waliobahatika kuonja Shots za Tequila katika usiku maalum ulioandaliwa na SKYLIGHT BAND Ijumaa ya kwanza kwa mwaka 2013 kwa ajili ya kuwashukuru wadau na mashabiki wote wanaotoa Support kwa Band hiyo yenye miezi 4 tu tangu kuzaliwa kwake.
Wadau wakishow love kwenye sehemu maalum iliyoandaliwa na SKYLIGHT BAND kwa ajili ya Fans wao kupiga picha za kumbukumbu...Kutoka kushoto ni Justin Ndege, Dr. Sebastian Ndege (wa pili kulia) na Eddie pamoja na wadau wa bendi hiyo.
Ushers waliokuwa wakihudumia wateja wa SKYLIGHT Band wakipozi kupata Ukodak.
Warembo waliobahatika kuwahi siku hiyo walipata T shirts za bure kutoka SKYLIGHT BAND ila kwa wanaume walionunua hizo alizoshika Binti mrembo.
Kipaji kipya kilichotambulishwa rasmi katika usiku huo maalum wa kuwashukuru mashabiki na wadau wa SKYLIGHT BAND si mwingine ni Salma Yusuf binti mwenye kipaji cha kuimba na kupiga gitaa akitoa burudani usiku huo.
Pichani Juu na Chini ni Kikosi kazi cha SKYLIGHT BAND kikishambulia jukwaa kwa furaha isiyo na kifani katika usiku maalum wa kuwashukuru mashabiki na wadau wa Band hiyo.
Hapo Sasa twende kazi.... Sam Mapenzi sambamba na Aneth Kushaba AK47 wakionyesha ufundi wao.
Mmoja wa Fans wa SKYLIGHT BAND akilipanda jukwaani na kuomnyesha umahiri wake wa kucheza moja ya nyimbo za Band hiyo.
Hawakutoka mikono mitupu walizawadiwa Tshirts pamoja na Mvinyo kama inavyoonekana pichani.
Papaaaa....Justin Ndege akimwaga noti kuwatunza SKYLIGHT BAND.
Hapo sasa mduara umekolea....Full kuzungusha nyonga.
Shabiki mwingine huyo hakuweza kuvumilia alipanda Juu ya jukwaa na kucheza 'Carolina' moja ya nyimbo za SKYLIGHT BAND zinazobamba mjini.
Sura mpya zilizojitokeza kusheherekea katika usiku maalum wa SKYLIGHT BAND kuwashukuru mashabiki wake.
Wadau wakishow love katika usiku maalum wa kuwashukuru mashabiki wa SKYLIGHT BAND ikiwa ni miezi minne tu tangu kuanzishwa kwa Band hiyo ambayo imeonyesha kukubalika kwa Watanzania na hata raia wa kigeni.
Mdau John Mwansasu akiwa na marafiki.
Picha Juu na Chini ni Sura mpya za mashabiki wa SKYLIGHT BAND wakishow love mbele ya camera yetu.
 
Mdau akiwa na Watoto wazuri katika pozi.

Thursday, November 8, 2012

Rais Jakaya Kikwete Azindua Rasmi Ujenzi wa Bomba la Gesi Asilia toka Mtwara hadi Dar es salaam


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua rasmi ujenzi wa bomba la gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es salaam leo Novemba 8, 2012 maeneno ya Kinyerezi njijini Dar es salaam. Nyuma yake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na viongozi wengine wakimsikiliza  Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo miundombinu ya  bomba la gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es salaam leo Novemba 8, 2012 maeneno ya Kinyerezi njijini Dar es salaam. Nyuma yake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na ujumbe wa kampuni inayojenga bomba la gesi asilia kutoka Mtwata hadi Dar es salaam, Benki ya Exim ya China na viongozi waandamizi wa serikali alipowakaribisha Ikulu kwa mazungumzo baada ya uzinduzi rasmi wa ujenzi wa bomba hilo maeneo ya Kinyerezi jijini Dar es salaam.Picha na IKULU

Monday, August 27, 2012

AUDITION YA 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013' JIJINI DAR .

Ally Rehmtullah.
Casting Coordinator wa ALLY REHMTULLA'S COLLECTION 2012 Audition Martin Kadinda akitoa mwongozo wa zoezi hilo kwa Models walioshiriki.
Baadhi ya Models wa kiume waliojitokeza Serena Hotel wakisubiri usaili.
Pichani Juu na Chini ni Models wa kike na wa kiume wakipita mbele ya Majaji wakati wa usaili.
Meza kuu ya Majaji kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Alliance Auto Bw. Alfred Minja akiwakilisha CFAO Motors wauzaji wa Magari ya Mercedes Benz ambao ndio wadhamini wakuu wa 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013', Aysha Mbarak Meghji kutoka Ayman Garage-Convolution Ideas Ltd, Administrative Assistant Mawalla Advocate na pia ni Model Myler Nyangasa, Mwasisi na CEO wa Missie Popular Blog Mariam Ndabagenga na Fashion Stylist wa Fashionnjukii.com Rosemary Kokuhilwa.
Pichani Juu na Chini Models wa kike wakionyesha umahiri wa Catwalk wakati wa Audition kwa ajili ya kuwania nafasi ya kushiriki "ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013".
Pichani Juu na Chini ni baadhi ya Models wa kiume wakipita jukwaani mbele ya majaji.
Baadhi ya Models wakiwa katika tafakari ya SIJUI NITAPITA wakati wa usaili huo kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.
Meneja Masoko wa CFAO Motors Tharaia Ahmed ambao ni wauzaji wa magari aina ya Mercedes waliodhamini onyesho la 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013' akielezea kuwa Mercedes Benz imedhamini Onyesho hilo kwa mara ya kwanza kwa sababu kwanza wanamkubali Ally Rehmtullah kama mmoja wa wabunifu wenye hadhi ya juu hapa nchini na kuwa wamechagua Brand ya Mercedes Benz kwa sababu ni magari yenye kiwango cha juu na Rehmtullah ana ubunifu wa hali ya juu.
Mercedes Benz imekuwa ikijihusisha na udhamini wa 'High and Fashion Show' duniani kote pia Orchestra, Baley na Sailing matukio ambayo yanaendana na hadhi ya magari ya Mercedes. Kulia ni Chief Editor wa MO BLOG Lemmy Hipolite.
Sales & Marketing Representative kutoka RAHA Preetkamal Bansal akielezea kuwa kampuni yake imekuwa na furaha kushirikiana na Ally Rehmtullah kwa kuwa ubunifu wake ni wa hali ya juu kama wao wanavyotoa huduma za Intaneti za hali ya juu na wamekuwa wakitoa huduma ya ISP (Internet Service Provider) kwa muda wa miaka 16 kwa kiwango kilekile.
RAHA wakiwa wadhamini muhimu watawezesha watu kuona Live 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013' itakayofanyika September 8 mwaka huu ambapo Watu duniani kote wataona kupitia www.ar.co.tz
Amemalizia kwa kusema "On the day the Jungle puts on its show Our Broadband let you watch it Live".
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Quality Furniture Limited Bw. Mahad A Nur akisema wameamua kujihusisha kudhamini show hii ya Ally Rehmtullah ili kutoa ufahamu kwa umma juu ya ubora wa bidhaa wanazotengeneza na siku ya Onyesho hilo watatoa Furniture zitakazotumika sehemu ya wageni maalum (VIP).

Quality Furniture Limited wanatengeneza bidhaa zenye Quality kama lilivyojina lao na kama ilivyo show ya Ally Rehmtullah lakini pia Bw. Mahad amesema wako tayari kuwadhamini wabunifu chipukizi watakaokuja na ubunifu wenye Quality.
Majaji Aysha Mbarak Meghji na Rosemary Kokuhilwa wakibadilishana mawazo baada ya kazi kubwa ya kuchagua Models watakaoshiriki 'ALLY REHMTULLAH COLLECTION 2013'.
Hawa pia nao walikuwepo.

Popular Posts