Pages

Showing posts with label UVCCM. Show all posts
Showing posts with label UVCCM. Show all posts

Wednesday, October 24, 2012

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete Afungua Mkutano Mkuu wa nane wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Mjini Dodoma


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM Bw. Benno Malisa alipowasili ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi toka kwa  Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM Bw. Benno Malisa katika  ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kabla ya kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012
Nderemo baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwasili ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.
Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM Bw. Benno Malisa akihutubia katika  ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kabla ya kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012
Meza kuu na sehemu za wajumbe katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano huo
Bendi ya muziki ya Vijana Jazz Orchestra 'Wana Pambamoto' ikitumbuiza kwa wimbo maalumu katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma ikiwa ni shamra ya kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012
 Wanachama wa umoja wa vijana kutoka nchi rafiki mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagwa na wajumbe baada ya kufungua mkutano huo
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa Chipukizi wa  UVCCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa UVCCM pamoja na ujumbe wa viongozi wa jumuiya za vijana toka nchi mbalimbali marafiki.Picha na IKULU

Friday, August 31, 2012

KAMANDA UVCCM IRINGA AWAPA SOMO VIJANA IRINGA VIJIJINI

kamanda wa UVCCM wilaya ya Iringa vijijini Arif Abri akifungua mkutano wa uchaguzi wa UVCCM wilaya ya Iringa vijijini leo
Wajumbe wakiwa wamependeza kwa sare zilizotolewa na kamanda huyo na mbunge Lukuvi na Mgimwa
Waandishi wakipewa kadi za CCM Leo


CHANGAMOTO imetolewa kwa vijana wa Chama cha mapinduzi ( UVCCM) wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa kufanya kazi kwa kujituma zaidi badala ya kuendelea kulalamika vijiweni bila kufanya kazi.

Changamoto hiyo imetolewa Leo katika ukumbi wa Sekondari ya Mwembetogwa mjini Iringa na mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM ambaye pia ni kamanda wa UVCCM wilaya ya Iringa vijijini Arif Abri .

Abri amesema kuwa hivi sasa imejitokeza tabia ya vijana kulalamika juu ya hali ngumu ya maisha hata kuhoji juu ya maisha bora huku sehemu kubwa ya vijana hao wakiendelea kushinda vijiweni jambo ambalo ni kinyume na harakati za kujitafutia maisha bora kwa kila mtanzania.

Hata hivyo amewataka vijana hao kuendelea kujishuguulisha na shughuli za Uzalishaji mali ikiwa ni pamoja na kujiunga katika vikundi vya kiuchumi ili kuiwezesha serikali kuweza kuwasaidia mikopo yenye masharti nafuu.

Abri amesema kuwa vijana ambao ni tegemeo kubwa katika Taifa bado wanalojukumu kubwa la kuendelea kuwavuta vijana wenzao ambao wanakimbilia vyama vya upinzani.

wakati huo huo Abri amewapongeza wanahabari watano mkoani Iringa ambao wamejiunga na UVCCM wilaya ya Iringa vijijini.

Katibu wa UVCCM wilaya ya Iringa vijijini Frank Kibiki aliwataja wanahabari walioniunga na CCM kuwa ni meneja wa IT Ebony Fm Eliud Kalokola , Flora Kamaghe kutoka gazeti la Uhuru, Zuhura Zukheli kutoka radio Qibra ten ,Wiliam Muro kutoka gazeti la kwanza jamii na NEEMA Mgulanga mwanahabari wa kujitegemea .

MWISHO

Mwenyekiti mpya UVCCM Iringa vijijini ni Benitho Kayugwa

Mwenyekiti mpya UVCCM Iringa vijijini Benitho Kayugwa akieleza mikakati yake baada ya kutangazwa mshindi

Vijana wa UVCCM Iringa vijijini wakiwa wamembeba mwenyekiwa wao mpya

Haya ndio matokeo ya uchaguzi UVCCM Iringa vijijini


Hata hivyo kutokana na kukatika ghafla kwa umeme kutokana na Hitirafu iliyotokea Ipogolo mwenyekiti huyo alijikuta akikabidhiwa kiti hicho gizani .

Huku akiendelea kuwahutubia vijana kwa kutumia mwanga wa tochi za simu za mikononi kabla ya katibu wa mbunge jimbo la Isimani Thomas Malenga kujitolea kukimbia nyumbani kwake kuchukua taa

Saturday, August 18, 2012

Majina ya Wanaowania Nyadhifa mbalimbali UVCCM

1. MWENYEKITI TAIFA

1 Asila Ali SALIM
2 Jamal K. ALI
3 Lulu Mcham ABDALLAH
4 Lusekelo W. MALEMA
5 Mbarouk M. MBAROUK
6 Mwana Amina Haji FARUK
7 Nadra Juma MOHAMED
8 Rashid Simai MSARAKA
9 Sadifa Juma KHAMIS
10 Thabit Jecha KOMBO

2. MAKAMU MWENYEKITI WA TAIFA

1 Abubakari Damiani ASENGA
2 Adolph Florian MILUNGA
3 Ally Salum HAPI
4 Antony MAVUNDE
5 Augustino Oscar MATEFU
6 Daniel Moses ZENDA
7 Daud Paulo MSUNGU
8 Donatus T. RUTAGIMBWA
9 Faidha Suleiman SALIM
10 Felician MTAHENGERWA
11 Godwin E. KUNAMBI
12 Goodhance R. MSANGI
13 Idd Yasini MAJUTO
14 Innocent MELECK
15 Jackson KANGOYE
16 John Maurice DEYA
17 Joseph Kulwa MALONGO
18 Langton ZACHARIA
19 Masoud Hamis MASOUD
20 Mboni MHITA
21 Odilia Abraham BATHLOMEO
22 Paul Christian MAKONDA
23 Peter H. LUENA
24 Salum Halfan MTELELA
25 Sango I. Gungu KASERA
25 Silanda MGOMBELO
26 Theresia Adrian MTEWELE
27 Zangina S. ZANGINA

3. HALMASHAURI KUUYA CCM TAIFA – NAFASI SITA - BARA

1 Abubakari Damiani ASENGA
2 Adolph Florian MILUNGA
3 Ahmed Mustafa NYANG’ANYI
4 Ally Mussa SAMIZI
5 Ally Salum HAPI
6 Amani Wilfred NDUHIJE
7 Angella Onesmo MWANRI
8 Augustino P. NDIMBO
9 Augustine S. SIMWIYA
10 Bertha Yona MINGA
11 Busoro Mohamed PAZI
12 Daud Babu MRINDOKO
13 Daud Paulo MSUNGU
14 Edna Erasto KWILASA
15 Emma Julius MEDDA
16 Emmanuel John SHILANTU
17 Faidha Suleiman SALIM
18 Faidha Suleiman SALIM
19 Fatma Jumbe MWALIM
20 Gilead John TERI
21 Godwin E. KUNAMBI
22 Halima BULEMBO
23 Hadija Mtambi SAID
24 Hassan H. CHAMSHAMA
25 Idrisa Washngton MCHOME
26 Jonas Estomih NKYA
27 Joyce Judith MARTINE
28 Kaeni Edwin NJUNWA
29 Kelvin MBOGO
30 Kheri L. WILLIAM
31 Luhende Richard LUHENDE
32 Lulu Abbas MTEMVU
33 Lusekelo Williard MALEMA
34 Modesta KAMONA
35 Mohamed A. KAPUFI
36 Mohamed Omary MASENGA
37 Mboni Mohamed MHITA
38 Neema K. NYANGALILO
39 Olivia Herry SANARE
41 Peter Isaya KASERA
42 Rahim Juma NG’WANANG’WAKA
43 Rashid GEWA
44 Richard Raymond MBILINYI
45 Salim Rajab KISEBENGO
46 Sango Issaya G. KASERA
47 Saul Thom MWAISENYA
48 Suleiman H. J. SERERA
49 Stephen J. NYAGONDE
50 Theresia Adrian MTEWELE
51 Vaileth Elias SAMBILWA
52 Zuberi Said BUNDALA
53 Lumola Stephen KAHUNDI


4. BARAZA KUU VITI VITANO - BARA

1 Abubakari Damiani ASENGA
5 Ally Mussa SAMIZI
6 Ally Salum HAPI
7 Amani Wilfred NDUHIJE
8 Augustine S. SIMWIYA
8 Baraka NKATURA
9 Bertha Yona MINGA
10 Dotnatus T. RUTAGIMBWA
11 Benson Peter MOLLEL
12 Kaeni Edwin NJUNWA
13 Mohamed A. KAPUFI
14 Fatma Jumbe MWALIM
15 Felician MTAHENGERWA
16 Halima BULEMBO
17 Adinani Selemani LIVAMBA
18 David MWAKIPOSA
19 Ester Charles MAMBALI
20 Emmanuel John SHILANTU
21 Kelvin MBOGO
22 Kheri L. WILLIAM
23 Luhende Richard LUHENDE
24 Mboni MHITA
25 Mwita I. NYAGONDE
26 Nassor Ally CHUMA
27 Salum Rajab KISEBENGO
28 Olivia Herry SANARE
29 Mohamed Omary MASENYA
30 Masoud Hamis MASOUD
29 Sango Issaya G. KASERA
30 Neema Kumba NYANGALILO
31 Saul Thom MWAISENYA
32 Lusekelo Williard MALEMA
33 Peter Isaya KASERA
34 Rahim Juma NG’WANANG’WAKA
35 Rashid Semindu PAWA
36 Rashid GEWA
37 Shedrack Gabriel MBOGOYE
38 Joyce Judith MARTINE
39 Busoro Mohamed PAZI
40 Richard Raymond MBILINYI
41 Stephen J. NYAGONDE
42 Suleiman H. J. SERERA
43 Vaileth Elias SAMBILWA
44 Theresia Adrian MTEWELE
45 Yohana Haruni MUNEMA
46 Zuberi Said BUNDALA
47 Isane Njale MAZWILE
48 Cretus MPIGA
49 Jerome Raymond TINGISI

5. NAFASI MOJA UWAKILISHI UWT

1 Frida WILFRED
2 Joyce Judith MARTINE
3 Josephine S. MWAGOSE
4 Hawa Mchafu CHAKOMA
5 Mboni Mohamed MHITA
6 Neema K. NYANGALILO
7 Vaileth Elias SAMBILWA
8 Rabia Abdalla HAMID

6. NAFASI MOJA UWAKILISHI WAZAZI

1 David John MWAKIPOSA
2 Karim Furaha LICHELA
3 Yusuph Masige LIMA
4 Salum Salum MGAYA
5 Yohana Haruni MUNEMA

7. WAGOMBEA WAHALMASHAURI KUU CCM TAIFA - VITI VINNE ZANZIBAR

1. Abubakari Ali HAMDANI
2. Asha Juma OTHMAN
3. Asha Khamis ABDALLAH
4. Asha Mohamed OMARI
5. Ashura Abdallah SIMAI
6. Bakari Musa VUAI
7. Bukheri Juma SULEIMAN
8. Chirstina Joram ANTHON
9. Daudi K. J. ISMAIL
10. Fahym Ally MWINYI
11. Fadhila Nassor ABDI
12. Haji Shabani MWALIMU
13. Ismail Malick MOHAMED
14. Jumanne Alli HAJI
15. Khamis Juma KHATIBU
16. Khamis Mtumwa ALI
17. Khamisi Rashid KHEIR
18. Latifa Kassim MABROUK
19. Lulu Mshami ABDULLAH
20. Mihayo J. S. N’HUNGA
21. Mwatima Salum HAMED
22. Nadra Ghulam RASHID
23. Omar Juma AMEIR
24. Omari Sleiman MOHAMED
25. Rabia Abdalla HAMID
26. Ramadhan A. SLEIMANI
27. Sadifa Juma KHAMIS
28. Salumu Khamis HAJI
29. Samra Bakari YUSUF
30. Shaka Hamdu SHAKA
31. Suna Jumanne SALEH
32. Thabit Jecha KOMBO

Source: http://www.wavuti.com/#ixzz23v2DEb00

Majina ya Wanaowania Nyadhifa mbalimbali UVCCM

1. MWENYEKITI TAIFA

1 Asila Ali SALIM
2 Jamal K. ALI
3 Lulu Mcham ABDALLAH
4 Lusekelo W. MALEMA
5 Mbarouk M. MBAROUK
6 Mwana Amina Haji FARUK
7 Nadra Juma MOHAMED
8 Rashid Simai MSARAKA
9 Sadifa Juma KHAMIS
10 Thabit Jecha KOMBO

2. MAKAMU MWENYEKITI WA TAIFA

1 Abubakari Damiani ASENGA
2 Adolph Florian MILUNGA
3 Ally Salum HAPI
4 Antony MAVUNDE
5 Augustino Oscar MATEFU
6 Daniel Moses ZENDA
7 Daud Paulo MSUNGU
8 Donatus T. RUTAGIMBWA
9 Faidha Suleiman SALIM
10 Felician MTAHENGERWA
11 Godwin E. KUNAMBI
12 Goodhance R. MSANGI
13 Idd Yasini MAJUTO
14 Innocent MELECK
15 Jackson KANGOYE
16 John Maurice DEYA
17 Joseph Kulwa MALONGO
18 Langton ZACHARIA
19 Masoud Hamis MASOUD
20 Mboni MHITA
21 Odilia Abraham BATHLOMEO
22 Paul Christian MAKONDA
23 Peter H. LUENA
24 Salum Halfan MTELELA
25 Sango I. Gungu KASERA
25 Silanda MGOMBELO
26 Theresia Adrian MTEWELE
27 Zangina S. ZANGINA

3. HALMASHAURI KUUYA CCM TAIFA – NAFASI SITA - BARA

1 Abubakari Damiani ASENGA
2 Adolph Florian MILUNGA
3 Ahmed Mustafa NYANG’ANYI
4 Ally Mussa SAMIZI
5 Ally Salum HAPI
6 Amani Wilfred NDUHIJE
7 Angella Onesmo MWANRI
8 Augustino P. NDIMBO
9 Augustine S. SIMWIYA
10 Bertha Yona MINGA
11 Busoro Mohamed PAZI
12 Daud Babu MRINDOKO
13 Daud Paulo MSUNGU
14 Edna Erasto KWILASA
15 Emma Julius MEDDA
16 Emmanuel John SHILANTU
17 Faidha Suleiman SALIM
18 Faidha Suleiman SALIM
19 Fatma Jumbe MWALIM
20 Gilead John TERI
21 Godwin E. KUNAMBI
22 Halima BULEMBO
23 Hadija Mtambi SAID
24 Hassan H. CHAMSHAMA
25 Idrisa Washngton MCHOME
26 Jonas Estomih NKYA
27 Joyce Judith MARTINE
28 Kaeni Edwin NJUNWA
29 Kelvin MBOGO
30 Kheri L. WILLIAM
31 Luhende Richard LUHENDE
32 Lulu Abbas MTEMVU
33 Lusekelo Williard MALEMA
34 Modesta KAMONA
35 Mohamed A. KAPUFI
36 Mohamed Omary MASENGA
37 Mboni Mohamed MHITA
38 Neema K. NYANGALILO
39 Olivia Herry SANARE
41 Peter Isaya KASERA
42 Rahim Juma NG’WANANG’WAKA
43 Rashid GEWA
44 Richard Raymond MBILINYI
45 Salim Rajab KISEBENGO
46 Sango Issaya G. KASERA
47 Saul Thom MWAISENYA
48 Suleiman H. J. SERERA
49 Stephen J. NYAGONDE
50 Theresia Adrian MTEWELE
51 Vaileth Elias SAMBILWA
52 Zuberi Said BUNDALA
53 Lumola Stephen KAHUNDI


4. BARAZA KUU VITI VITANO - BARA

1 Abubakari Damiani ASENGA
5 Ally Mussa SAMIZI
6 Ally Salum HAPI
7 Amani Wilfred NDUHIJE
8 Augustine S. SIMWIYA
8 Baraka NKATURA
9 Bertha Yona MINGA
10 Dotnatus T. RUTAGIMBWA
11 Benson Peter MOLLEL
12 Kaeni Edwin NJUNWA
13 Mohamed A. KAPUFI
14 Fatma Jumbe MWALIM
15 Felician MTAHENGERWA
16 Halima BULEMBO
17 Adinani Selemani LIVAMBA
18 David MWAKIPOSA
19 Ester Charles MAMBALI
20 Emmanuel John SHILANTU
21 Kelvin MBOGO
22 Kheri L. WILLIAM
23 Luhende Richard LUHENDE
24 Mboni MHITA
25 Mwita I. NYAGONDE
26 Nassor Ally CHUMA
27 Salum Rajab KISEBENGO
28 Olivia Herry SANARE
29 Mohamed Omary MASENYA
30 Masoud Hamis MASOUD
29 Sango Issaya G. KASERA
30 Neema Kumba NYANGALILO
31 Saul Thom MWAISENYA
32 Lusekelo Williard MALEMA
33 Peter Isaya KASERA
34 Rahim Juma NG’WANANG’WAKA
35 Rashid Semindu PAWA
36 Rashid GEWA
37 Shedrack Gabriel MBOGOYE
38 Joyce Judith MARTINE
39 Busoro Mohamed PAZI
40 Richard Raymond MBILINYI
41 Stephen J. NYAGONDE
42 Suleiman H. J. SERERA
43 Vaileth Elias SAMBILWA
44 Theresia Adrian MTEWELE
45 Yohana Haruni MUNEMA
46 Zuberi Said BUNDALA
47 Isane Njale MAZWILE
48 Cretus MPIGA
49 Jerome Raymond TINGISI

5. NAFASI MOJA UWAKILISHI UWT

1 Frida WILFRED
2 Joyce Judith MARTINE
3 Josephine S. MWAGOSE
4 Hawa Mchafu CHAKOMA
5 Mboni Mohamed MHITA
6 Neema K. NYANGALILO
7 Vaileth Elias SAMBILWA
8 Rabia Abdalla HAMID

6. NAFASI MOJA UWAKILISHI WAZAZI

1 David John MWAKIPOSA
2 Karim Furaha LICHELA
3 Yusuph Masige LIMA
4 Salum Salum MGAYA
5 Yohana Haruni MUNEMA

7. WAGOMBEA WAHALMASHAURI KUU CCM TAIFA - VITI VINNE ZANZIBAR

1. Abubakari Ali HAMDANI
2. Asha Juma OTHMAN
3. Asha Khamis ABDALLAH
4. Asha Mohamed OMARI
5. Ashura Abdallah SIMAI
6. Bakari Musa VUAI
7. Bukheri Juma SULEIMAN
8. Chirstina Joram ANTHON
9. Daudi K. J. ISMAIL
10. Fahym Ally MWINYI
11. Fadhila Nassor ABDI
12. Haji Shabani MWALIMU
13. Ismail Malick MOHAMED
14. Jumanne Alli HAJI
15. Khamis Juma KHATIBU
16. Khamis Mtumwa ALI
17. Khamisi Rashid KHEIR
18. Latifa Kassim MABROUK
19. Lulu Mshami ABDULLAH
20. Mihayo J. S. N’HUNGA
21. Mwatima Salum HAMED
22. Nadra Ghulam RASHID
23. Omar Juma AMEIR
24. Omari Sleiman MOHAMED
25. Rabia Abdalla HAMID
26. Ramadhan A. SLEIMANI
27. Sadifa Juma KHAMIS
28. Salumu Khamis HAJI
29. Samra Bakari YUSUF
30. Shaka Hamdu SHAKA
31. Suna Jumanne SALEH
32. Thabit Jecha KOMBO

Source: http://www.wavuti.com/#ixzz23v2DEb00

Wednesday, August 8, 2012

ORODHA YA WALIOCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI UVCCM

ORODHA YA WALIOCHUKUA FOMU NGAZI YA TAIFA
NAFASI YA MWENYEKITI TAIFA
SNA
JINA LA MGOMBEA
NAFASI ALIYOOMBA
ANAKOTOKA
1.
Thabit Jecha Komba
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
2.
Sadifa Juma Khamis
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
3.
Rashid S. Msaraka
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
4.
Nadra J. Khamis
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
5.
Mwanaamina Haji Farouk
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
6.
Jamal K. Ali
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
7.
Mbarouk Mrakib
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
8.
Asila Ali Suleiman
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR
9.
Lulu Mcham Abdalah
Mwenyekiti Taifa
ZANZIBAR





NAFASI YA MAKAMU M/KITI TAIFA
S/NA
JINA LA MGOMBEA
NAFASI ALIYOOMBA
ANAKOTOKA
1.
Theresia Adrian Mtewele
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
2.
Sango I. Gungu Kasera
Makamu M/Kiti (T)
RORYA- MARA
3.
Ally Salum Hapi
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
4.
Adolph Florian Milunga
Makamu M/Kiti (T)
MOROGORO
5.
John Deya
Makamu M/Kiti (T)
MWANZA
6.
Inocent Meleck
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
7.
Peter H. Luena
Makamu M/Kiti (T)
SONGEA
8.
Zangina S. Zangina
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
9.
Abubakar Asenga
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
10.
Mboni Mhita
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
11.
Paul Christian Makonda
Makamu M/Kiti (T)
KILIMANJARO
12.
Godwin E. Kunambi
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
13.
Masoud Hamis
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
14.
Faidha Salim
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
15.
Salum Halfan Mtelela
Makamu M/Kiti (T)
TANGA
16.
Felician Mtahengerwa
Makamu M/Kiti (T)
DAR E SALAAM
17.
Silanda Mgombelo
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
18.
Langton Zacharia
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
19.
Goodchance R. Msangi
Makamu M/Kiti (T)
DAR ES SALAAM
20.
Idd Y.Majuto
Makamu M/Kiti (T)
PWANI
21.
Odilia A. Bathlomeo
Makamu M/Kiti (T)
ARUSHA
22.
Saul Mwaisenye
Makamu M/Kiti (T)
MBEYA
23.
Daud Msungu
Makamu M/Kiti (T)
LINDI
24.
Antony Mavunde
Makamu M/Kiti (T)
DODOMA





NAFASI YA HALMASHAURI KUU CCM (T)
S/NA
JINA LA MGOMBEA
NAFASI ALIYOOMBA
ANAKOTOKA
1
Theresia Adriad Mtewele
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
2.
Halima Bulembo
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
3.
Oivia Herry Sanare
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
4.
Ahmed Mustafa Nyang’anyi
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
5.
Sango I. Gungu Kasera
Halmashauri Kuu (T)
MARA
6.
Vaileth Sambilwa
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
7.
Faidha Salim
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
8.
Augustino S. Simwiya
Halmashauri Kuu (T)

9.
Adolph Florian Milunga
Halmashauri Kuu (T)
MOROGORO
10.
Zuberi Bundala
Halmashauri Kuu (T)
SHINYANGA
11.
Bertha Yona Minga
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
12.
Suleiman Serera
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
13.
Ally Mussa Samizi
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
14.
Daud Msungu
Halmashauri Kuu (T)
LINDI
15.
Kelvin Mbogo
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
16.
Abubakar Asenga
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
17.
Mboni Mhita
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
18.
Rahim Ng’wanang’waka
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
19.
Joyce Judith Martin
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
20.
Ally Salum Hapi
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
21.
Samra Bakar Yusuph
Halmashauri Kuu (T)
ZANZIBAR
22.
Mohamed Masenga
Halmashauri Kuu (T)

23.
Peter Isaya Kasera
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
24.
Godwin E. Kunambi
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
25.
Lulu Abbas Mtenvu
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAM
26.
Mohamed A. Kapufi
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
27.
Hassan H. Chamshama
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
28.
Heri L. William
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
29.
Emma Julius Medda
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
30.
Felician Mtahengerwa
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
31.
Salum Halfan Mtelela
Halmashauri Kuu (T)
TANGA
32.
Gilead Terry
Halmashauri Kuu (T)
PWANI
33.
Augustino P. Ndimbo
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAM
34.
Edwin Kaena
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
35.
Busoro M. Pazi
Halmashauri Kuu (T)
DAR ES SALAAM
36.
Edna Erasto Kwilasa
Halmashauri Kuu (T)
SHINYANGA
37.
Stephen Nyagonde
Halmashauri Kuu (T)



ORODHA YA MAJINA INAENDELEA BOFYA HAPA

KWA WALE WALIOCHUKUA FOMU KATIKA MIKOA WANAYOISHI AMA KUFANYIA KAZI ORODHA YA MAJINA YAO ITAENDELEA KUKUSANYWA NA YATAINGIZWA HIVI PUNDE

Popular Posts