Pages

Friday, August 31, 2012

Mwenyekiti mpya UVCCM Iringa vijijini ni Benitho Kayugwa

Mwenyekiti mpya UVCCM Iringa vijijini Benitho Kayugwa akieleza mikakati yake baada ya kutangazwa mshindi

Vijana wa UVCCM Iringa vijijini wakiwa wamembeba mwenyekiwa wao mpya

Haya ndio matokeo ya uchaguzi UVCCM Iringa vijijini


Hata hivyo kutokana na kukatika ghafla kwa umeme kutokana na Hitirafu iliyotokea Ipogolo mwenyekiti huyo alijikuta akikabidhiwa kiti hicho gizani .

Huku akiendelea kuwahutubia vijana kwa kutumia mwanga wa tochi za simu za mikononi kabla ya katibu wa mbunge jimbo la Isimani Thomas Malenga kujitolea kukimbia nyumbani kwake kuchukua taa

Popular Posts