Pages

Tuesday, June 26, 2012

TBL YAKAGUA MRADI WA MAJI WA SH. MIL. 25 GEITA

Mkandarasi wa mradi wa visima vya maji, Enock Kangasa akisukuma pump ya moja ya visima vya maji mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie (kushoto), kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa gharama ya sh. milioni 25 katika Kijiji cha Mkolani I, wilayani Geita juzi.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (aliyeweka miwani kifuani) akifurahia jambo wakati Mkuu wa Wilaya ya Geita , Manzie Mangochie akijaribu moja ya pump ya visima vya maji katika mradi unaojengwa kwa sh. milioni 25 na TBL katika Kijiji cha Mkolani I, Geita, viongozi hao walikwenda kukagua mradi huo juzi
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Manzie Mangochie, akisistiza jambo wakati akikagua juzi mradi wa visima vya maji unaotekelezwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika Kijiji cha Mkolani I wilayani Geita, Katikati ni Mhandisi wa Maji wilayani Geita, Enock Kangasa Mradi huo umegharimu milioni 25.

Popular Posts