Pages

Thursday, November 8, 2012

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AMUAPISHA VUAI MWINYI KUWA MKUU WA WILAYA YA KATI UNGUJA


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akimuapisha Bw.Vuai Mwinyi Mohamed,kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja,Ikulu Mjini Zanzibar leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiagana na Bw.Vuai Mwinyi Mohamed,baada ya kumuapisha leo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Pandu Ameir Kificho,(kushoto) Mshauri wa Rais Kilimo,Buruhani Saadat Haji,(kati) na Naibu Katibu Mkuu Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Wazanzibar wanaoishi Nje ya Nchi,Saidi Natepe,wakiwa katika hafla ya kuapishwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. Picha na Ramadhan Othman Ikulu

Popular Posts