Pages

Sunday, November 11, 2012

MKUTANO WA NEC - CCM MJINI DODOMA LEO


Meza Kuu ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (wa nne kulia) wakati Mkutano Mkuu wa Nane wa NEC - CCM ukiendelea ndani ya Ukumbi wa Kizota mjini Dodoma leo.
Kapteni John Komba akiimba mbele ya wajumbe kutoka mikoa mbalimbali

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akiongoza Mkutano Mkuu wa Nane, katika Ukumbi wa Kizota mjini Dodoma leo.
Ukumbi wa Kizota ukiwa umefurika wajumbe kutoka kona mbalimbali.

Popular Posts