Pages

Monday, November 12, 2012

VODACOM YATOA MIKOPO YA MWEI KWA AWAMU YA PILI BUIGIRI DODOMA


Mwanachama wa kikundi cha Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani Dodoma, Diria Yaledi  Mtumwa (kushoto) akihesabu  fedha  baada ya kukabidhiwa ikiwa ni mkopo unaotolewa na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Mikopo ya jumla ya kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 17 ilitolewa kwa wanawake wa Buigiri  kwenye makabidhiano hayo  ya awamu ya pili ya mikopo ya MWEI yalifanyika  jana kijijini Buigiri mkoani Dodoma jana .
Mwanachama wa kikundi cha Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani Dodoma, Diria Yaledi  Mtumwa (kushoto) akipokea fedha ikiwa ni mkopo unaotolewa na kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Mikopo ya jumla ya kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 17 ilitolewa kwa wanawake wa Buigiri na kukabidhiwa na Meneja wa Vodacom Foundation, Grace Lyon (kulia) huku  Afisa wa Vodacom Ally Mbuyu (wa pili akishuhudia). Makabidhiano hayo  ya awamu ya pili ya mikopo ya MWEI yalifanyika jana kijijini Buigiri mkoani Dodoma jana.
Mwanakijiji wa Buigiri mkoani Dodoma Nyendo Yohana Chisoma akihesabu fedha  baada ya kukabidhiwa ikiwa ni mkopo unaotolewa na kampuni ya Mawasiliano ya  Vodacom Tanzania kwa kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Mikopo ya jumla ya kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 17 ilitolewa kwa wanawake wa Buigiri  kwenye makabidhiano  hayo  ya awamu ya pili ya mikopo ya MWEI yalifanyika jana kijijini Buigiri mkoani Dodoma .
Wanakijiji Buigiri mkoani Dodoma wakipata malekezo kutoka kwa Meneja wa Vodacom Foundation,Grace Lyon (kulia) juu ya  mikopo inayotolewa  na Vodacom kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Mikopo ya jumla ya kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 17 ilitolewa kwa wanawake wa Buigiri  kwenye makabidhiano hayo  ya awamu ya pili ya mikopo ya MWEI yalifanyika  jana kijijini Buigiri mkoani Dodoma jana.

Popular Posts