Pages

Sunday, November 11, 2012

MKUTANO WA TAFITI KUHUSU JINSIA NA MASUALA YA UUNDWAJI WA KATIBA 2012 WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM


 Jaji wa mahakama kuu ya Tanzani, Sivangilwa Mwanges (kushoto)akikata utepe kuzindua kitabu cha utafiti kuhusu jinsia na mifano bora katika masuala ya uundwaji wa katiba ya 2012 tafiti kutoka nchi za Ghana, Kenya ,Rwanda,na Afrika ya kusini.mara baada ya kufungua mkutano huo wa siku mbili (kulia)mwenyekiti wa jukwaa la jinsia , Magdalena Rwebaugira.
Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania, Sivangilwa Mwangesi (kulia) akitoa hotuba wakati wa uzinduzi wa mkutano wa utafiti kuhusu jinsia na mifano bora katika masuala ya uundwaji wa katiba ya 2012 tafiti kutoka nchi za Ghana, Kenya ,Rwanda,na Afrika ya kusini mkutano huo wa siku mbili unaofanyika kwenye ukumbi wa karimjee jijini Dar es saalaam ulioshirikisha makamishna wa tume ya katiba,na wajumbe kutoka nje ya nchi ulioandaliwa na chama cha wanasheria wanawake Tanzania (TWLA) kushoto mwenyekiti wa jukwaa la jinsia (GFC) ,Magdalena Rwebaugira.
Baadhi ya wanachama wa jukwaa la jinsia na katiba wakiwa katika mkutano wa uzinduzi wa utafiti kuhusu jinsia na mifano bora katika masuala ya uundwaji wa katiba ya 2012
Baadhi ya wanasheria wakimsikiliza kwa umakini Mwenyekiti wa jukwaa la jinsia (GFC) (watatu kulia), Magdalena Rwebaugira mara baada ya kuharishwa kwa mkutano huo wa utafiti kuhusu jinsia na mifano bora katika masuala ya uundwaji wa katiba ya 2012.
Mjumbe wa tume ya kuregebisha Sheria, Maria Kashoda akichangia mada kwenye mkutano huo.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania, Deus Kibamba akichangia mada kwenye mkutano huo

Popular Posts