Pages

Friday, November 23, 2012

KINANA ALIPOTUA KWA MUDA TABORA NA KUKUTANA NA VIONGOZI WA MKOA


 Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, akimsalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa, wakati alipotua kwenye uwanja wa Ndege wa Mkoani humo leo asubuhi kwa ajili ya kukutana na baadhi ya Viongozi wa CCM wa mkoa huo. Wengine ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na  Seif Khatib, anayeshuka kwenye ngazi ndegeni ni Mwanri.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM mkoa wa Tabora alipotua kwa muda mkoani humo wakati akitoka Rukwa kuelekea Geita asubuhi hii.
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akipotua kwa muda mkoani humo akitokea Rukwa kwenda Geita asubuhi hii.

Popular Posts