Pages

Thursday, June 14, 2012

Wafanyakazi Wa Umoja wa Mataifa Wachangia Damu Dar Es Salaam

Mshauri Mkuu wa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Christopher John Ozga (kushoto) akiwa katika zoezi la kuchangia damu ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya uchangiaji damu duniani. Aliyesimama ni Afisa kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama Bw. Deochris Kaimukilwa.
Mshauri Mkuu wa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Christopher John Ozga akifanyiwa vipimo na Bw. Deochris Kaimukilwa baada ya kujitolea damu.
Mtangazaji wa Radio France International (RFI Kiswahili) Emmanuel Makundi akifanya mahojiano na Bw. Hashim Mahige wakati wa zoezi kuchangia damu lililofanyika katika Ofisi za shirika la Afya Duniani (WHO) jijini Dar es Salaam ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya uchangiaji damu duniani.
Ramadhani Ndimba kutoka NASP .
Charles Lutandula wa (WHO) katika zoezi la uchangiaji damu.
Charles Lutandula wa WHO akifanyiwa vipimo vya awali na Mtaalamu kutoka mpango wa Taifa wa Damu Salama Bi. Edith Senga kabla ya kuchangia damu.


Popular Posts