Pages

Friday, October 19, 2012

CHADEMA Wamnadi Mgombea Udiwani Shinyanga

 Dkt Slaa akimtambulisha mgombea udiwani wa chama chake wa kata ya Mwawaza,Shinyanga
 Dkt.Slaa akihutubia
 Mgombea udiwani wa CHADEMA
Ndg Wilfred Lwakatare,Mkurugenzi wa taifa wa ulinzi na usalama na mratibu wa kitaifa wa kampeni za udiwani

Huu ni mkutano wa kumnadi mgombea wa CDM wa udiwani katika kata ya Mwawaza ulioongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr Wilbroad Slaa.Kumbuka huu ni mkutano tu katika mojawapo ya vijiji vya kata hiyo.

Popular Posts