Katibu  Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Nevile Meena akihutubia  katika  mkutano uliofanyika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam jana,  kulaani  ktendo cha Polisi kumuua kwa bomu Mwandishi wa habari wa Kituoc  ha  Televisheni cha Channel Ten, Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi   katika vurumai zilizotokea wakati Chadema wakifungua tawi katika Kijiji   cha Nyololo, wilayani Mufindi hivi karibuni.

 Huyu ni Manyerere Jackton na bango lake


  Hili ni moja ya mabango waliyokuwa nayo waandishi

 Jese Kwayi, Mzee Maro na mwezake wakiwa kwenye maandamano hayo

 "  Dk. Nchimbi ondokaaaaa" mwandishi akipaza sauti kuungana na wenzake  waliokuwa wanamkataa kuwepo Kwa waziri wa mambo ya ndani Dk Emmanuel  Nchimbi 

  Mwandishi Lauden Mwambona akiwa amefunga mdomo kama hivi wakati wa maandamano hayo

  Hawa nao wakati mmoja ameziba mdomo, mwenzake akaziba macho kufikisha ujumbe wa kulaani mauaji ya Mwangosi
 Waziri  wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano   wa  wanahabari  viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana   kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,


 Waziri  wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akajaribu kuwatuliza...  waandishi bila mafanikio amabao walimtaka aondoke haraka enepo hilo



Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akiondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri

 Waandishi wakiingia viwanja vya Jangwani.Picha zote na Mdau Richard Mwaikenda na  Bashir Nkromo