Pages

Monday, September 10, 2012

Rais Jakaya Kikwete Apokea Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Balozi wa Ubelgiji na Qatar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ubelgiji hapa nchini Mheshimiwa Adam Koenvaad huko Ikulu tarehe 10.9.2012.
Rais Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na Balozi wa Qatar hapa nchini Mheshimiwa Jassim Mohamed Mubarak Darwesh mara baada ya Balozi huyo kutoa hati zake za utambulisho kwa Rais Kikwete huko Ikulu tarehe 10.9.2012.Picha Zote na John Lukuwi

Popular Posts