Pages

Tuesday, September 11, 2012

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe Atembelea Wilaya Mpya Ya Nyasa, Aangalia Mpaka Kati Ya Tanzania Na Malawi





Mkuu wa Brigedi ya kusini Songea Kanali John Chacha akisamiliana na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernad Membe mjini Songea
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernad Membe akisalimiana na mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Ruvuma Daud Masiko .
Mzee aliyefahamika kwa jina moja la Ngatunga akizungumza jana wakati wa ujumbe wa wataalamu kutoka Serikalini ulipotembelea ziwa nyasa wilayani nyasa Ruvuma ili kupata ushahidi wa mmiliki halali wa ziwa nyasa ambalo limeziingiza katika mgogoro Malawi na Tanzania.
Mzee Gidion Ndembeka kulia akimuonesha Waziri wa mambo ya nchi za nje Bernad Membe kitabu chenye mipaka halali kati ya Malawi na Tanzania iliyopo ndani ya Ziwa Nyasa. Picha na Muhidin Amri

Popular Posts