Pages

Monday, September 10, 2012

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki Atembelea Ofisi ya Tume ya Katiba Zanzibar

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki, akiwa nje ya Jengo la Ofisi ya Tume Maisara, baada ya kuzitembelea Ofisi hizo kuona ,maendeleo yake.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki akizungumza na Katibu wa Tume na Msaidizi wake baada ya kumaliza kutembela Ofisi hizo za Tume Zanzibar.
Katibu wa Tume ya Marekebisho ya Katiba ya Tanzania Assaa Rashid, akitowa maelezo kwaNaibu Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania alipofanya ziara ya kutembelea Ofisi za Tume Zanzibar.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania Angellah Kairuki, akizungumza na Maofisa wa Tume ya Mabadfiliko ya Katiba Tanzania alipokuwa akitembelea Ofisi za Tume zilioko Zanzibar katika Jengo la Mfuko wa Barabara Maisara Zanzibar.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania Angellah Kairuki, akitembelea Ofisi za Tume zilioko katika jengo la Mfuko wa Barabara Maisara kuona maendeleo ya Ofisi hizo zinaliopo Zanzibar.akiwa na Maofisa wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Tanzania.(kushoto) Katibu wa Tume Assaa Rashid.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah KKairuki, akizungumza na Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tamzania Assaa Rashid alipofika katika Ofisi za Tume hiyo zilioko Zanzibar katika maeneo ya Maisara katika Jenjo la Mfuko wa Barabara Zanzibar.

Popular Posts