Pages

Tuesday, September 11, 2012

WANANCHI WA MCHINGA WAMPONGEZA MBUNGE WAO KWA KUCHAGULIWA KUWA MBUNGE WA AFRICA MASHARIKI

Mbunge wa Mchinga(CCM) Mheshimiwa Said Mtanda akiongea na wananchi wake na kuwashukuru sana kwa pongezi na ameahidi kufanikisha mengi ya maendeleo katika jimbo lake. 
Mheshimiwa Tambwe Hiza(CCM) akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mchinga katika sherehe za kumpongeza Mbunge wao Mh. Said Mtanda kwa kuchaguliwa kuwa mbunge wa Africa mashariki
Mbunge wa Mchinga Mheshimiwa Said Mtanda akipokewa kwa Shangwe na Vijana wa Jimbo lake

Popular Posts