Pages

Friday, August 31, 2012

MHARIRI MKUU WA THEHABARI ANAMEREMETA

Mhariri Mkuu wa Thehabari.com, Joachim Mushi (kushoto) akigonganisha glasi na mkewe Hilder Mwaipopo juzi (Agost 25) kwenye hafla ya harusi yao.
Hapa ilikuwa ni wakati wa Mr & Mrs Joachim Mushi kufungua muziki.
Bi. Hilder Mwaipopo (kulia) akijiandaa kumnywesha mvinyo mumewe Joachim Mushi kwenye hafla ya harusi yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Popular Posts