Pages

Monday, August 27, 2012

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA JUMUIYA YA ULAYA NCHINI TANZANIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akiagana na Balozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kusalimiana na Rais. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Popular Posts