Pages

Monday, August 27, 2012

Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein na Familia Yake Washiriki Zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein, akijiandikisha na familia yake kwa Karani Asia Hassan Mussa, (kushoto) katika zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi, lililoanza leo nchini kote,Rais akiwa katika Shehia ya Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,(kulia ) Mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

Popular Posts