Pages

Monday, August 27, 2012

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akagua shuguli za maendeleo Wilaya ya Mlele

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua uenzi wa daraja la Msyada linalounganisha vijiji vya Mwamapuli na Chamalendi wilayani Mlele Agosti 26,2012.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na vijana wa kijiji cha Kavuddo wilayani mlele wakati alipokagua eneo litakapojengwa daraja linalounganisha eneo la Majimoto na Inyonga wialyani Mlele Agosti 26,2012.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mashine ya kukoboa mpunga na kupanga madaraja ya mchele katika kijiji cha Mwamapuli wilayani Mlele Agosti 26,2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Popular Posts