

   Mbunge wa bumbuli(CCM)na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Mh  January Makamba akihutubia wananchi wake(wapiga kura)kata ya Mgwashi  Jimboni kwake Bumbuli,Kwa mara ya kwanza 

Mbunge  wa bumbuli(CCM)na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Mh January  Makamba akilakiwa na wapiga kura wake muda mfupi baada ya kumaliza  mkutano wake kata ya mgwashi Bumbuli Mei 28,2012,