Pages

Wednesday, May 30, 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MJUMBE WA RAIS WA BURUNDI IKULU

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012 kutoka serikali ya Burundi alioletewa na Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012 Mjumbe maalumu kutoka serikali ya Burundi, Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. Kati ni Balozi wa Burundi nchini Tanzania
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma ujumbe alioupokea Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012 toka kwa Mjumbe maalumu kutoka serikali ya Burundi, Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. shoto ni Balozi wa Burundi nchini Tanzania.Picha na IKULU

Popular Posts