Pages

Wednesday, July 18, 2012

SIMBA YAICHAPA SPORTS MABAO 3-0 KOMBE LA KAGAME

Mshambuliaji wa Simba (kulia) akichuana na beki wa timu ya Sports katika mchezo wa Kombe la Kagame, ambapo mchezo huo umemalizika huku Simba wakiibua na ushindi wa mabao 3-0. Mabao ya Simba yamefungwa katika dakika 60 na 64,bao la kwanza likifungwa na Abdallah Juma na la pili likifungwa kwa mkwaju wa penati katika dakika hiyo ya 64, baada ya mchezaji wa Sports, kuunawa mpira akiwa ndani ya eneo la hatari.
Mwinyi Kazimoto (kushoto) akiwania mpira na beki wa Sports.

Popular Posts