![]()  | 
| Mh. Charles Tizeba , akiwahakikishia wananchi wa Wilaya ya Sumbawanga mjini kuwa kiwanja cha ndege kitajengwa kama ilivyopangwa. | 
![]()  | 
| Mh.Ole Nangolo ,Naibu Wizara ya Mifugo akihutubia wananchi wa Mkoa wa Rukwa mipango madhubuti ambayo serikali inaifanyia kazi juu wa masuala yanayohusu mifugo | 
![]()  | 
| Wananchi wa Mkoa wa Rukwa wakiuliza maswali kwa viongozi wao na walipatiwa majibu hapo kwa papo. | 
![]()  | 
| Mh.Aggrey Mwanri akiiwasili kwenye viwanja vya Msakala,mkoani Rukwa ,Wilaya ya Sumbawanga Mjini. | 
![]()  | 
| Katibu wa Halmashauri kuuu ya Taifa akihutubia kwenye mkutano wa hadhara mkoani Rukwa | 
![]()  | 
| Mh.Adam Malima akizungumza na Wananchi wa Sumbawanga mjini masula mbali mbali yanayohusu kilimo na nchakula pamoja na kutatuliwa kwa tatizo la umeme. | 
![]()  | 
| Waziri wa maji, Prof.Jumanne Maghembe akihutubiwa wananchi wa mkoa wa Rukwa ambapo aliwapasha kuwa suala la matatizo ya maji litakuwa limekwisha karibuni | 
![]()  | 
| Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wananchi wa wilaya ya Sumbawanga mjini. | 
![]()  | 
| Mzee Crisant Mzindakaya akiwasalimu wananchi wa Wilaya ya Sumbawanga mjini. | 








