Pages

Sunday, July 15, 2012

WANANCHI MKOANI RUKWA WAONGEA ANA KWA ANA NA VIONGOZI WA CCM

Mh. Charles Tizeba , akiwahakikishia wananchi wa Wilaya ya Sumbawanga mjini kuwa kiwanja cha ndege kitajengwa kama ilivyopangwa.
Mh.Ole Nangolo ,Naibu Wizara ya Mifugo akihutubia wananchi wa Mkoa wa Rukwa mipango madhubuti ambayo serikali inaifanyia kazi juu wa masuala yanayohusu mifugo
Wananchi wa Mkoa wa Rukwa wakiuliza maswali kwa viongozi wao na walipatiwa majibu hapo kwa papo.
Mh.Aggrey Mwanri akiiwasili kwenye viwanja vya Msakala,mkoani Rukwa ,Wilaya ya Sumbawanga Mjini.
Katibu wa Halmashauri kuuu ya Taifa akihutubia kwenye mkutano wa hadhara mkoani Rukwa

Mh.Adam Malima akizungumza na Wananchi wa Sumbawanga mjini masula mbali mbali yanayohusu kilimo na nchakula pamoja na kutatuliwa kwa tatizo la umeme.
Waziri wa maji, Prof.Jumanne Maghembe akihutubiwa wananchi wa mkoa wa Rukwa ambapo aliwapasha kuwa suala la matatizo ya maji litakuwa limekwisha karibuni
Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wananchi wa wilaya ya Sumbawanga mjini.
Mzee Crisant Mzindakaya akiwasalimu wananchi wa Wilaya ya Sumbawanga mjini.

Popular Posts