Pages

Sunday, July 15, 2012

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akutana na Bw.Aliko Dangote

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mwekezaji kutoka Nigeria, Bw.Aliko Dangote (kulia) ambaye anakusudia kujenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, baada ya mazungumzo yao jijini Dar es salaam Julai 15,2012.Kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dr. Ishaya Manjabu.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Popular Posts