Pages

Thursday, August 16, 2012

BUS LA MUHAMED TRANS LAPATA AJALI BUKOBA MJINI

Lori lenye nambari T814 liliokua baada ya kugongwa na bus kwa kutokea nyuma.
Lori likiwa limeharibika vibaya.
RPC Kelenge kulia akijadili jambo na RTO Willy eneo la tukio
Bus la muhamed trans lenye nambari T884 likiwa limepinduka baada ya kupata ajali kwa kuligonga lori la mchanga. Ambapo bus hilo lilikua likisafiri kutoka bukoba mjini kuelekea Mwanza, na abiria wote wamenusurika.
Ajali hii imetokea asubuhi ya leo majira ya saa moja kasoro ni eneo la kyetema km 5 kabla ya kifika kemondo na ni umbali wa km 15 kutoka Bukob mjini. Shukrani za pekee ziwaendee BukobaWadau Blog

Popular Posts