Pages

Friday, August 17, 2012

JIJI LA DAR ES SALAAM - DAR ES SALAAM CITY

Picture
Ni Taswira za Mchana wa tarehe 3 Juni 2012 (picha via TembeaTz.blogspot.com)
Picture
Watu wakipanda na kushuka katika daraja la Manzese. Watu wachache hulitumia daraja hilo huku baadhi wakisema hawalitumii kutokana na kuona tabu kulipanda na wengine wakisema usalama ni wa mashaka katika eneo hilo kutokana na kuripotiwa kuwepo kwa vitendo vya uhalifu. (picha: Yoel Mshana via Rundugai blog)
Picture
Picha imepigwa kutokea juu, Manzese Darajaji (picha: Yoel Mshana via Rundugai blog)
Picture
Ni Taswira za Mchana wa tarehe 3 Juni 2012 (picha via TembeaTz.blogspot.com)
Picture
hapa ni kwenye mzunguko, Mtaa wa Mkwepu, Manispaa ya Ilala. (picha: Othman Michuzi "Mtaa kwa Mtaa" blog)
Picture
(picha: Othman Michuzi "Mtaa kwa Mtaa" blog)
Picture
Ni Taswira za Mchana wa tarehe 3 Juni 2012 (picha via TembeaTz.blogspot.com)
Picture
Picha ya Agosti, 2012 (picha via blogu ya Ziro & Tina)
Picture
photo via JijiLaDar.com

Popular Posts