Pages

Monday, September 3, 2012

MWILI WA ALIYEKUWA KATIBU WA CCM MKOA WA MOROGORO ASHA KIPANGULA WAWASILI MKOANI IRINGA KWA MAZISHI

Vijana wa CCM wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu Asha Kipangula
Jeneza likiingizwa nyumbani kwa marehemu mjini Iringa
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, John Chiligati akiagana na baadhi ya waombolezaji kabla ya mwili wa aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Mayr Chipangula, kuondoka Hospitali ya Taiafa Muhimbili Dar es Salaam,jana asubuhi kupelekwa Iringa kwa ajili ya maziko.
Msafara wa kuupeleka mkoani Iringa mwili wa marahemu Asha Kipangula ukiwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Morogoro jana, ukitokea Dar es Salaam, ambapo kwenye ofisi hiyo ulisimamishwa kwa muda kutoa fursa kwa wana-CCM na waombolezaji wenmgine kuaga
Muombolezaji akiangua kilio nyumbani kwa marehemu mjini Iringa
Mmoja wa viongozi wa CCM akilia kwa huzuni baada ya mwili kufika Morogoro jana
Katibu wa CCM, Mary Chatanda akiangua kilio mwili wa marehemu Asha Chipangula ulipofikishwa nyumbani kwao Iringa jana jioni
Sheikh Mohammed Kairo akiongoza dua, mwili wa marehemu Asha Kipangula uliowasili mjini Morogoro jana
Nape akizungumza na baadhi ya waombolezaji mjini Morogoro. Aliyesimama ni Kada wa CCM, Asas
Kiongozi wa msafara, LKatibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itiladi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akijadiliana na baadhi ya viongozi mwili ulipowasili mjini Morogoro. Baadhi ya viongozi hao ni Kaimu Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Sixtus Mapunda.Picha na Bashir Nkromo

Popular Posts