Pages

Thursday, September 6, 2012

UZINDUZI WA KAMPENI WA CUF JIMBO LA BUBUBU

Makamu Mwenyekiti wa CUF Machano Khamis, akimtambulisha Mgombea wa Chama hicho Issa Khamis, kwa Wananchi wa Jimbo la Bububu katika Mkutano wa Uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Skuli Bububu.
Mwakilishi wa Mji Mkongwe Ismail Jussa akitowa sera za Chama chake kwa wananchi waliofika katika uzinduzi wa kampeni katika viwanja vya skuli ya bububu jana
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha CUF Machana Khamis, akizinduwa Kampeni za Uchaguzi wa Chama chake katika viwanja vya skuli ya bububu jana
Mgombea wa Chama cha CUF Issa Khamis akijitambulisha kwa Wananchi wa Jimbo la Bububu wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Uchaguzi Mdogo unaofanyika kutokana na Kifo cha aliyekuwa Mwakilishi wa jimbo hilo Salim Amuor Mtondoo
Waheshimiwa wakiwa katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chama cha CUFya Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo.uliozinduliwa na Makamu Mwenyekiti wa CUF Taifa Machano Khamis.
Waheshimiwa wakiwa katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chama cha CUFya Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo.uliozinduliwa na Makamu Mwenyekiti wa CUF Taifa Machano Khamis.

Popular Posts