Pages

Monday, September 3, 2012

SENSA YA MAKAZI NA WATU KUMALIZIKA TAREHE 8 SEPTEMBA 2012.

Kamishna wa Sensa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Hajjat Amina Mrisho Said akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juzi jijini Dar es salaam kuhusu zoezi la Sensa ya watu na makazi 2012 linaloendelea nchi nzima na kutoa wito kwa wananchi ambao bado hawajahesabiwa kutoa taarifa kwa viongozi wa serikali za mitaa.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Kamishna wa Sensa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Hajjat Amina Mrisho Said (hayupo pichani)juzi jijini Dar es salaam wakati akitoa taarifa ya kuongezwa kwa muda wa zoezi la Sensa ya watu na makazi litakalomalizika tarehe 8 Septemba 2012.Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

Popular Posts