Pages

Friday, September 7, 2012

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

Popular Posts