Pages

Sunday, September 2, 2012

Rais Jakaya Kikwete Ashiriki Mazishi ya Kiongozi wa Ethiopia Marehemu Meles Zenawi

Mmoja wa Askari Nchini Ethipia akilia kwa uchungu
Jeneza la aliyekuwa Waziri mkuu wa Ethiopia Marehemu Meles Zenawi likiletwa katika viwanja vya Addis kwaajili ya maombolezo ya kitaifa kabla ya mazishi yake yaliyofanyika leo. Askari wa kike akilia kwa uchungu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya kusini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi jijini Addis Ababa leo mchana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Yoweri Kaguta Museveni wakati wa mazishi ya kiongozi wa Ethiopia marehemu Meles Zenawi yaliyofanyika leo jijini Addis Ababa.Picha na Freddy Maro-IKULU

Popular Posts