Pages

Sunday, September 2, 2012

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo leo
ikulu ya Addis Ababa
kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa Ethiopia Marehemu Meles Zenawi anayetarajiwa kuzikwa kesho.
Wengine katika picha ni baadhi ya wajumbe waliofuatana na Rais Kikwete watakoshiriki mazishi ya kiongozi huyo.
Kutoka kushoto ni Mbunge wa Mtera Mhe.Livingstone Lusinde, Aliyewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini
Ethiopia Jenerali Mirisho Sarakikya, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Mhe.Joram Boswaro,
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe.Zitto Kabwe na Waziri wa Kazi wa
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.

Picha kwa hisani ya Ikulu!!

Popular Posts