Pages

Monday, June 18, 2012

Mama Salma Kikwete akiwahutubia washiriki wa mkutano wa Global Network of Religions for Children

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma Kikwete akiwahutubia washiriki wa mkutano wa Global Network of Religions for Children (GNRC) wakati wa chakula cha jioni huko Kilimanjaro hoteli tarehe 17.6.2012.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Rev.Keishi Miyamoto, Rais wa Arigatou International and Chairman of the Board of Myochikai kutokana na mchango wake mkubwa juu ya malezi ya watoto wakati wa chakula cha jioni kilichofanyika katika hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa Global network of Religions for Children (GNRC) tarehe 17.6.2012.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Rais wa Arigatou International andna mwenyekiti wa Myochikai Rev. Keishi Miyamoto wakati wa chakula cha usiku kilichofanyika katika hoteli ya Kilimanjaro tarehe 17.6.2012.Picha Zote na John Lukuwi

Popular Posts