Pages

Tuesday, June 19, 2012

Mwakilishi Marina Joel Thomas Aapishwa

Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rais Marina Joel Thomas akila kiapo mbele ya Spika wa Baraza hilo Pandu Amer Kificho huko katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rais Marina Joel Thomas wakatikati akiwa katika picha ya pamoja na Familia yake nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi baada ya kuapishwa na Spika wa Baraza hilo Pandu Ameir Kificho.
Mhe. Marina akiwa katika picha ya pamoja na Familia yake baada ya kumaliza kula kiapo, akiwa nje ya jengo la Baraza Chukwani.

Popular Posts