Pages

Tuesday, June 19, 2012

Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar

Muakilishi wa Jimbo la Chakechake Omar Ali Sheheakiwa pamoja na Mwakilishi wa kuteuliwa Panya Othman CCM wakiingia katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais Mohd Aboud akibadilishana mawazo na Muakilishi wa Mji Mkongwe Ismail Jusa Ladhu ndani ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi huko Bweni Nje ya Mji wa Zanzibar.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakisikiliza kwa makini hoja mbalimbali zinazotolewa ndani ya Baraza hilo huko Bweni Nje ya Mji wa Zanzibar.
Wanafunzi wa Skuli ya SOS ya Kiembe samaki waki wa nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi wakijitayarisha kuingia kwaajili ya kusikiliza Michangio mbalimbali inayotolewa na Wajumbe wa Baraza hilo.Picha na Yussuf Simai-Maelezo,Zanzibar

Popular Posts