Pages

Saturday, June 23, 2012

Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makazi ngazi ya kitaifa

Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makazi ngazi ya kitaifa wakishiriki katika mafunzo ya kujaza dodoso fupi la sense ya watu na makazi leo katika mafunzo ya siku 10 yanayoendelea mjini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa ajili ya kuwajengea uwezo wakufunzi hao ili nao waweze kuendesha katika ngazi za mikoa mbalimbali hapa nchini.Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO-Dodoma na Ofisi ya Waziri Mkuu

Popular Posts