Pages

Saturday, June 23, 2012

PICHA MBALIMBALI TOKA VIWANJA VYA BUNGE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge Bumbuli na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mh. January Makamba (katikati) na Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 22, 2012.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akibadilisha mawazo na mbunge wa Simanjiro(CCM)Ole Sendeka
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole- Sendeka (kushoto) na Mbunge wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 22,2012.
Mbunge wa Mbeya Mjini joseph Mbilinyi (SUGU) akibadilishana mawazo na Mbunge Mwenzie kutoka Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe leo wakati wa mapumziko ya mchana ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (kushoto) na Mbunge wa Same Mashariki, Anna Kilango Malecela kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Juni 22, 2012.
Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(katikati) akibadilishana mawazo jana na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (kushoto) MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela (kulia),wakati wa mapumziko ya mchana ya kikao cha Bunge la bajeti linaloendelea mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Simanjiro,Christopher Ole Sendeka (kushoto) na Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 22, 2012.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Dkt. Makongoro Mahanga(kushoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Msalala Ezekiel Maige wakati wa mapumziko ya mchana ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.
Baadhi ya wabunge wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakijaza fomu za vitambulisho vya Taifa leo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

Popular Posts