Pages

Tuesday, June 19, 2012

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi Azindua Kampeni ya Utii wa Sheria Bila Shuruti kwa Viongozi wa Dini ya Kiislamu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Alli Hassan Mwinyi(katikati) akimkabidhi vitabu vya Utii wa sheria ni dhawabu na Baraka za Utii Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam Alhad Mussa Salum baada ya kuvizindua jijini Dar Es Salaam jana.Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Said Mwema na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Baraza la makanisa ya kipetenkoste Askofu Daniel Aweti
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Alli Hassan Mwinyi(katikati) akizungumza na viongozi wa dini za Kikristo na kiislamu( hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Utii wa Sheria bila shuruti ulioambatana na uzinduzi wa vitabu vya "Utii wa sheria ni thawabu pamoja na Baraka za Utii jijini Dar es Salaam jana.(Kushoto ni Inspekta Jenerali wa Polisi Said Mwema na kulia ni Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam Alhad Mussa Salum.
Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja (wa Pili kutoka kushoto) akiwa pamoja na viongozi wa dini za kiislamu na kikirsto wakifuatilia kwa makini hotuba wakati wa uzinduzi wa Vitabu vya Utii wa Sheria ni thawabu pamoja na Baraka za Utii vilivyozinduliwa jana na RaisMstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Alli Hassan Mwinyi.

Popular Posts